Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath

Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath

Tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa nashangaa kuona padri anakunywa pombe, tena pombe za kienyeji kama mtukuru na komoni, pombe ya uwele na mahindi. Mshangao zaidi anavuta tumbaku kwa kutumia kiko/mtemba. Ni baada ya kutoka kuendesha ibada ya misa tena padri mwenyewe ni mzungu. Nilishangaa sana mtu wa mungu anatumia vilevi
Wapo wanaotumia na wapo ambao hawatumii padre ni mtu tu km wewe na MIMI wao pia wana mambo yao nje ya Imani wanaporomosha majumba makali kwao kila padre unaemuona kwao nyumbani kwao alipokua kuna mjengo wa maana sio kichuguu hata umkute anausokota msokoto wa bobu wengi ni wajanja nimeishi na ma-father tangu nikiwa mdogo kitu nilikua sipendi ni hicho cha kuona wanapiga tungi Ila baadae nilielewa kwanini wanapiga tungi, wewe upelekwe sehemu bila 100 nyeusi sehemu peupe pee uambiwe hapa tunataka Kanisa liote hapa tena Kanisa la mabillion ya Shilling wewe upo apeche uanze kuchangiwa na waumini wa hapo uanze kulala machakani chumba cha giza huko ndipo tungi inapoanzia kukata mawazo na kubakia kwenye Mstari yaan hapo ukomae mpaka kanisa la mabillion liote kwenye hilo eneo utafanyaje akili kumkichwa utajua wewe unafanyaje Ila Kanisa lazima liote

Nezt
 
Taarifa ya kanisa katoliki Jimbo la Bukoba ni kuwa wamekiri kumtambua Padre Elipidius Rwegoshora

Pia hatua waliyochukua ni kumsimamisha kutoa huduma mpaka swala (tuhuma) lake litakapo isha ndipo nao watachukua hatua zaidi kulingana na taratibu zao

Chanzo: Gazeti la kanisa (kiongozi) na Mwandishi Delpina Rubyema

View attachment 3022695
Taarifa nzuri.Sasa turudi "Rau madukani";-
1-swala
2-suala
3-(?)
 
Miaka mingi nyuma nimewahi kuandika threads humu nikielezea "uchafu wa kanisa katoliki". Narudia tena kusema, kanisa katoliki ni kanisa linalomilikiwa na Ibilisi. Yaani hili kanisa lilianzishwa na Lucifer mwenyewe na wala sio kanisa la MUNGU.

Anayebisha na aendelee kubisha.
 
Sasa wewe hapa hoja yako ni nini? Huu ni utaratibu wa kanisa katoliki kumsimamisha mtumishi wake kutoa huduma (hata kama ni mtumishi ambaye siyo padre) katika mazingira kama haya. Hata serikali humsimamisha kazi mtumishi wake akiwa na tuhuma za kijinai na hata za madai. Padre ni mtumishi wa kanisa kama alivyo mtumishi wa serikali.
Nalipongeza jeshi la polisi kwa hatua hii. However our Police Force should be converted into a Police Service for obvious reasons.
Hoja yangu ni "tuhuma kuisha. " Wewe huelewi? Soma hiyo Reply uelewe ndipo ujibu.
 
Back
Top Bottom