Chukua tahadhari wewe, watu kufa Marekani na wapi sijui si sababu au justification ya wewe kufa pia, acha ujingaMarekani wamekufa, Italia wamekufa, wazungu wengi wamekufa na wanaendelea kufa. Hawa ndiyo wataalamu na wanasayansi wa dunia, wanajua kujihami kuliko sisi, na watu makini na wenye maendeleo kuliko sisi. Hawa watu wameweka lockdown lakini korona imewafuata mpaka majumbani, hata viongozi wa nchi zao wamepatwa na huu ugonjwa. Swali ni Je? Nini unaweza kuwa utatuzi? Tusaidiane kutafakari tusiache misimamo ya kisiasa itutawale.
Population ya Wamarekani wapo wangapi?Marekani wamekufa watu nusu milioni. Vipi kule nako ukweli ukoje?
Hivi yule wa Kagera aliyefunga kanisa una mkumbuka? Baada ya kufunga kanisa aliishi kwa amani mbele ya Hawa wachumia tumbo wa CCM?Kwanini wasifunge kabisa makanisa ili tuone kweli wako serious kuliko hii ya kuallamika tu?
Umemweleza rais wako kwamba ni kweli corona ipo?Imetokea hivyo Kwa mama yangu na Mzee wangu, wote sasa wakonyumbani na wanaendelea na maisha, lkn kilichosababisha ni Yale maneno ya faraja,
Ulimweleza rais wako juu ya hii faraja unayoizungumzia hapa, ili na yeye awe na moyo wa faraja kwa raia anaowaongoza?Hili ni janga, na kila mtu anajua Hilo, lakini katikati ya janga kama hili ikikosekana faraja linakuwa janga kubwa zaidi.
Povu lote hili ni kwa sababu tu padri kasema corona ipo na imeua watumishi wake kibao? Ama unachuki nyingine na padri wetuAkafunge makanisa yao akuna anaye mzuia,mtumishi gani aamini nguvu za Mungu,eti Mungu si hirizi.Magonjwa hayo yalikukuwapo hata enzi Musa lakini Mungu alimwambia Musa achonge nyoka wa shaba atakaye mwangalia ndie atayepona (soma Hesabu 21:4-9) mtumishi gani anaogopa kifo, wakati kila siku wanatuubiria uzima wa milele.Yesu alisha wasema kuwa kuna wachungaji wa mshahara wakiona mbwa mwitu wanakimbia na kuwaacha kondoo(Yohana 10:11-12) Mtumishi apaswi kuogopa kifo inaswa kumwogopa Mungu na nguvu zake.
Nafikiri hayo makanisa kama wako serious wangefunga kabisa ibada mpaka gonjwa lipiteUtatuzi unaanza kwa kukubali tatizo lipo na kutoa data.
Huko kote ulikotaja wamekubali tatizo lipo na wametoa data.
Tanzania serikali haitaki kutoa data, hili ni tatizo, ndiyo maana makanisa yanaanza kuona bora yatoe data zao.
Ushaelewa somo?
Mungu mwenye haki akuchukue PINC upesi tena kwa corona ya ajabu ajabu; na kumlinda Rais wetu Mhe.Dkt.John J.P. Magufuli kinyume na dua zenu.Ee mwenyezi Mungu mtenda miujiza nakuomba unichukulie huyu mwanasiasa anayewadanganya wananchi kuwa hakuna janga huku wanaendelea kufa tu.UU
Mchukue hata akawe mfagia choo huko.
Amen.
Kwa hiyo unataka kusema rate ya vifo hapa kwetu na wao ipo sawa?Population ya Wamarekani wapo wangapi?
Hakupaswa kutoa hizi takwimu, siyo wajibu wake, amesababisha hofu na taharuki isiyo na sababu! Ashitakiwe kwa mujibu wa Sheria ya takwimu!! Yeye angetahadharisha tu! Hawa maaskofu na mapadri wakiheshimiwa wasidhani kuwa wako juu ya Sheria!!Hii nchi, unaweza ukasikia yale ya Open University..., Taasisi na Wadau wenzake kuita Kikao na kumwambia aombe msamaha wa kutoa hizi Takwimu...
Sasa alifanywa nini? Hakuna mtu alimbughudhi, tena alikuja kufungua hayo makanisa mwenyewe bila kulazimishwa na mtu na hata kwenye mikusanyiko ya maelfu ya watu kwenye mikutano ya Lisu wakiwa hawajavaa barakoa akawa anaenda.Hivi yule wa kagera aliyefunga kanisa una mkumbuka? Baada ya kufunga kanisa aliishi kwa amani mbele ya Hawa wachumia tumbo wa ccm?
Hujui ulisemalo,Kama watu wanadhalilishwa hadharani huko sirini so ndo kwenye shida kabisa?Sasa alifanywa nini? Hakuna mtu alimbughudhi, tena alikuja kufungua hayo makanisa mwenyewe bila kulazimishwa na mtu na hata kwenye mikusanyiko ya maelfu ya watu kwenye mikutano ya Lisu wakiwa hawajavaa barakoa akawa anaenda.
Nadhani hawa hawataki kutumia dawa za asili kwa dhana ya kishirikina wanaimani na dawa za wazungu tu.Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu awajibike na atumie uwezo wake kufikiri.
Bila kuchukua tahadhari na kufuata ushauri wa maafisa wa afya,kama sisi idadi ya vifo mpaka sasa ingekuwa maradufu.Marekani wamekufa watu nusu milioni. Vipi kule nako ukweli ukoje?
Eeenh Heee.Zile za kushona unapaswa kuwa nazo nne kwenye mkoba. Unakua na kifuko cha safi na chafu. Ukishapata breakfast na kuvaa barakoa huigusi tena. Unaitoa kabla ya kula lunch, una nawa mkono na kula. Baada ya kula una nawa mikono na kutoa barakoa safi unavaa.
Jioni ukirudi nyumbani unazifua zote na asubuhi unazipiga pasi.
Shule ulienda kufanya ko nini ?! Kama Padri amezungumzia kanisa lake . Siyo takwimu za nchi kama Tz . Hivi ukiwa mfuasi wa u dictator na u communist lazima uwe hamnazo ?!Hakupaswa kutoa hizi takwimu, siyo wajibu wake, amesababisha hofu na taharuki isiyo na sababu! Ashitakiwe kwa mujibu wa Sheria ya takwimu!! Yeye angetahadharisha tu! Hawa maaskofu na mapadri wakiheshimiwa wasidhani kuwa wako juu ya Sheria!!
Mbona sisi tuliendelea na maisha ila hatujafa kwa malaki?Bila kuchukua tahadhari na kufuata ushauri wa maafisa wa afya,kama sisi idadi ya vifo mpaka sasa ingekuwa maradufu.
Na tatizo la Corona lilisabishwa na dharau za kichwamaji Trump mwanzoni alichukulia maambukizi ya Corona kwa kejeli na dharau,makosa yaliyoigharimu pia nchi ya Italia.
Bagonza alidhalilishwaje baada ya kufunga misa?Hujui ulisemalo,Kama watu wanadhalilishwa hadharani huko sirini so ndo kwenye shida kabisa?
Ningemwelewa huyo m-tec kama angetoa tamko la kufungwa kwa ibada zote kanisa katoliki tanzania; na kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu wanafuata kivitendo na kuacha kupayukapayuka kwenye vyombo vya habari na mitandao ya jamii kushindana muumini wake hadharani!Kama kweli wanajali wasimamishe mikutaniko ya jumuiya. Kitubio kitafutiwe aina nyingine ya kuungama
Misa zipunguzwe au zisimame kwa muda kuepusha kusambaa kwa ugonjwa
Hadi leo Vatican hakuna mtu aliyepoteza maisha tangu Corona ibishe hodi pale.Pale Vatcan wamekufa wangapi?