Kanisa Katoliki lina mkono wake katika vurugu za CHADEMA za kuipinga Serikali? UVCCM, turuhusuni vijana wenu tuingie Kanisani na bendera, nguo za CCM

Unafiki na udini unakutesa sana. Ulimoinga Magufuli kumbe zilikuwa chuki za udini tu
 
Ni lini lilikuwa limekataza mpaka Sasa useme limeruhusu?
 
Katiak Jina la Yesu nakurejeshea uovu wako na ushetani wako juu ya bichwa lako.
Yesu mnazareti hana ushirika na wewe wa ukoo wa nyoka,shetani mlaaniwa,nakupiga laana kuu kwa mamlaka niliyopewa na mbingu
 
Sehemu salama iliyotakiwa kuwa ni Mirembe tu tena chini ya uangalizi maalumu.
Halafu unajiona umeandika uzi kumbe utopolo mtupu, Unafikiri kanisa katoliki lina ujinga kama wako! Kenge wewe!
 
Mbona pia hao hao wakatoliki walikuwa wakimsurubu JPM naye ilikuwaje? kwa mtazamo wangu JPM na ukatoliki wake waislam na na walokole ndo walikuwa naye bega kwa bega kuliko wakatoliki ...huo ni mtazamo wangu lakini
Na rais ukishasuswa na wakatoliki aisee hauna maisha ..kuna mtu aliwahi nitonya mahala kanisa katoliki ni moja kati ya taasisi yenye ushawishi sana hapa tz katika kuamua nani akalie kile kiti pale juu.
 
Mbona pia hao hao wakatoliki walikuwa wakimsurubu JPM naye ilikuwaje? kwa mtazamo wangu JPM na ukatoliki wake waislam na na walokole ndo walikuwa naye bega kwa bega kuliko wakatoliki ...huo ni mtazamo wangu lakini
JPM hakuwa nao close Kuna maeneo aliwabananisha sana hao wanyonyaji wa Kirumi.
Wanapewa ruzuku na serikali lakini gharama za huduma ni kubwa kuliko uhalisia, JPM aliwaonya wakamuona mbaya.
 
Peleka uendawazimu mbali hatushawishiki ngo kuwa wafia dini
 
Kanisa katholic haliwezi kutumika kizembe ninavyojua kanisa likiamua kusimamama nchi haitatulia
Hawa wapuuzi wa chadema ndio wanataka kulitumia kanisa tu
 
Shida sio CHADEMA kuingia kanisani wamevaa mavazi ya chama, na wala sio kanisa katoliki kuwaruhusu kuingia kanisani, Bali shida ni CCM kukosa AMANI kutokana na kutafunwa na laana ya utawala wa dhuluma! Majimbo yote ni yao, Kata zote ni zao, Mitaa yote ni yao! Polisi, mahakama na vyombo vyote vya dola ni vyao! Msajili wa vyama ni wao! Ajabu CHADEMA kuingia kanisani kumuomba Mungu tayari wanapata hofu ya ajabu, tena na hapo ni kwenye mkoa mmoja tu je ingekuwa nchi nzima hali ingekuwaje???
 
Haya majamaa hayajitambui, unamtenga vipi kiongozi wa kidini na siasa, wakati hao anaowahubiria analenga wafanikiwe kiroho na kimwili, na mafanikio ya kimwili yanaathiriwa na siasa za eneo husika.......
 
Katu michadema hamtotawala nchi hii. Mna mambo ya ovyoovyo hamna muelekeo. Mtashindwa kwa damu ya YESU. HAMFAI KUTAWALA NCHI HII
YESU yupi huyo unayemjua wewe? Mwenyekiti wako si alikuwa anajitangaza kanisani kila siku kuwa analindwa na Mungu, lakini Mbona Mungu hakuzuia difibrilator isikate umeme? Mungu hadhiakiwi kamwe!
 

Ukatoliki uliingia katika familia yetu miaka zaidi ya 100 iliyopita, hatukuona kanisa likiruhusu upuuzi huu was kufanya siasa kanisani
Najifunza mambo mawili matatu katika hizi post zako. Kwanza wewe ni muislam na mmezoea dhambi ya vurugu na ndiyo hulka yenu, na pili hakuna Mkristu yoyote anayeweza kufikiri kwenda kanisani kufanya fujo kama unavyotaka wewe. sisi wakristu tunajua kanisani ni pahala pakufanya toba na maombi. kama nyinyi huwa mnakutana misikini kupanga visasi na hujuma kwa wasio dini yenu , kwetu sisi wapenda Kristu haiko hivyo. na mwisho mnatuaminisha kwamba hao viongozi unaowataja ni washirika wa mikakati ovu dhidi watu wa imani tofauti na yenu.
 
Kw
Kwani akili ya kawaida tuu vijana wa uvccm hawawezi vijana wa upinzani.
 
Ninyi mna nuksi na laana.Mbaki hukohuko miferejini.Mna gundu.😝😝😝😝
 
Kanisa mtu anavaa nguo yoyote la msingi izingatie maadili so weee mtu kuvaa nguo ya chadema kanisan ndo kufanya siasa?
 
Rubbish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…