Kanisa Katoliki lina mkono wake katika vurugu za CHADEMA za kuipinga Serikali? UVCCM, turuhusuni vijana wenu tuingie Kanisani na bendera, nguo za CCM

Una Mungu wewe? Kufa zoga la Mbweha wewe. Na kwa taarifa yako wewe humjui Mungu na Mungu hawezi kujibu jitu lenye mashetwani kama wewe.
Laan azako nazirudisha juu ya kichw achako. Subiri kidogo utaanza kula nywele!. Pumbavul
 
Ole wako wewe,ukoo wa mapepo na mashetani, mkono wa Bwana utakupiga upanga mkali
Upanga mliomuua nao Kamanda Mawazo? Korimba? Mvungi? au upanga gani? Maana mmeua wengi. Kwangu sahau!. Uovu wako unakuitia shimoni. na kila ovu liwazialo kwa binadamu yeyote nalirejesha kwako mara mia katika Jina la Yesu Kristo aliye hai milele.
Tubu upumbavu wako na utakufa wala hao mizimu yako haikusaidii.
 
Hayo ni mambo madogo sana mkuu. Hizo sare watavaa kwa muda mfupi watachoka wenyewe. Tujikite kwenye mambo ya msingi kama katiba, uchumi, elimu nk.
Deni la taifa linakua kwa kasi kulikoni?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Akili ndogo kujadili mambo makubwa
 
Kwe
Mbona pia hao hao wakatoliki walikuwa wakimsurubu JPM naye ilikuwaje? kwa mtazamo wangu JPM na ukatoliki wake waislam na na walokole ndo walikuwa naye bega kwa bega kuliko wakatoliki ...huo ni mtazamo wangu lakini
Kweli kabisa.
 
Kwani Kuna makatazo kuvaa jezi ya yanga kanisani?hats Della vaa tu
 
Nyie Nchi yenu hii Mbona Ccm ilifanya Mkutano ndani ya KANISA PALE TUNDUMA Bora CHADEMA wanaenda kusali tu
Nakushauri nyie wa uvccm,mlichokipanga usidhani hatuna uwezo tunasema njooni na mtakipata mnachotafuta na aliyewahamasisha mwambieni kanisa katoriki liko tayali.
 
... Je, CCM wajibu mapigo kwa kuingia na bendera, madera na nguo za chama makanisani?
Mkuu, hakuna anayezuia kuhudhuria misa kanisani, ila kama sio Mkatoliki na umehudhuria, usishiriki ekaristi ya Bwana. Lakini pia hilo dera usije nalo, vaa nguo nadhifu tu hata kama zina rangi ya kijani na njano, hii hutegemea pia na maelekezo ya Paroko wa hapo. Mbona misa za mazishi zinazofanyikia kanisani, pamoja na mikesha ya Pasaka, Christmas na Mwaka Mpya, huwa wanakuja wapagani na watu wa dini na madhehebu mengine, na kama ni kuhudhuria tu, huwa hakuna shida!
 
Tutakutana makanisani, siasa inapigwa mahali popote, na padri akitushambulia kwa maneno, tutamjibu palepale bila kusubiri ibada iishe, na ikibidi ibada itavunjika na ngumi zitapigwa
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, Hii itakuwa Kali ya karne
 
Mtumishi wa Mungu kuwa mtu wa mlengo fulani kisiasa sidhani kama ni kosa ila kosa kama anatumia nafasi yake kutangaza huo mlango wa kisiasa
 
Hizi hasira baada ya Askofu kwenda kuwatetea wanachadema waliowekwa ndani kihuni?
 
Hivi wiwavi wa kijani ndio wa kutushauri dressing code?Nchi ya maajabu hii.
 
Moderator Paw Wand Please tunaomba mu-intervene kwenye hii thread kama ambavyo baadhi ya watu wanavyo raise concern,Hili andiko linalenga kupotosha ukweli kwa kuwatuhumu viongozi wa kiimani kwa mambo ambao ushahid haupo,kujenga chuki za kidini katika jamii jambo ambalo ni kinyume na guidelines zenu-JamiiForums' Community Engagement Guidelines (2006) hasa kwa kuzingatia kipengele cha 16
"16) Maudhui tata: Kwakuwa hatuwezi gusia kila kitu lakini sheria hii inagusia kila jambo... Tambua kuwa hili ni jukwaa la Umma kwahiyo unapaswa kutenda kama mtu ambaye yuko mbele ya macho au umati wa watu. Masuala mengine yote yameachwa chini ya wasimamizi wa maudhui ambayo yanajumuisha mambo yote ya uongo, upotoshaji, matusi, machukizo, udhalilishaji wa kijinsia, kutishia, uvamizi wa faragha za watu au kufanya mambo mengine yanavyovunja sheria na kuchochea uhalifu."
 
Tutakutana makanisani, siasa inapigwa mahali popote, na padri akitushambulia kwa maneno, tutamjibu palepale bila kusubiri ibada iishe, na ikibidi ibada itavunjika na ngumi zitapigwa
Moderator Wand Paw Mleta mada ana-encourage violence against Catholic Church and i'ts leaders.This kind of behaviour should not be tolerated.
 
Tatizo ni Katiba au watu? Usikute Katiba haikatazi watu kujumuika kanisani kwa maombi hata Kama wamevaa nguo za chama Fulani lakini ndiyo hivyo tena wamekamatwa na hayupo anayeandamana. Hiyo Katiba inaweza kupatikana na isiwe na msaada Kama tunavyofikiria. Viongozi wakakiuka hiyo Katiba na watu tuko kimya tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…