Kanisa Katoliki lina mkono wake katika vurugu za CHADEMA za kuipinga Serikali? UVCCM, turuhusuni vijana wenu tuingie Kanisani na bendera, nguo za CCM

Dera lina shida gani?
 
Una Mungu wewe? Kufa zoga la Mbweha wewe. Na kwa taarifa yako wewe humjui Mungu na Mungu hawezi kujibu jitu lenye mashetwani kama wewe.
Laan azako nazirudisha juu ya kichw achako. Subiri kidogo utaanza kula nywele!. Pumbavul
Unaendaa kuniroga ewe mkuu was wachawi? Sasa utakutana na Yesu atakujmbisha.. Nakukemea ewe malaika was kuzimu uzururaye huku na kule na makufuru yamchukizayo Bwana
 
Mie si mkatoliki na angalau Sina tamaa ya kuwa mkatoliki.Kwa hili unawaonea waziwazi wakatoliki na hasa viongozi wao ambao wameweka msimamo wao wazi na hoja bayana kuhusu mavazi mbalimbali katika ibada na maeneo ya kanisa.
Pili katika ulimwengu huu wa mwili hakuna mtu anaweza kupambana na kanisa katoliki na akashinda. Kama huamini dare it uone kilichomtoa kanga manyoya.
 
Nafikiri tumefika mwisho wa kufikiri, mnataka sasa kuingiza siasa makanisani. CCM tusipokuwa na ukomavu na kuanzisha vitu vya kijinga mtaipasua hii nchi. Je Waislam nao wakitumia jukwaa hilo mnalolishabikia sasa. Vitu vingine muwe macho na mnachokiongea na kukikuza kinaweza kuzaa msichotarajia. Labda chama changu kimeenda mikononi mwa mamluki wasiojua mbinu za kisiasa. Mtailipua hii nchi.
 
Mi napinga Kanisa kutukanwa, kuitwa "Chadema" wakati Chadema ni brief case party .
Kwanza,Chama halali cha siasa unaweza vipi kusema kinaleta vurugu za kuipinga serikali? Kama kuna mtu yoyote anafanya vurugu---ni CCM.
 
Koroboi sijakusikia wala kukuelewa ongeza sauti usikike.
 
Labda tuanze na policeccm ndipo miaanze vurugu zenu kanisani. Uliambiwa kanisani kunatolewa zawadi ya mavazi au Kuna upendeleo wa kumwomba mungu.

Wewe nenda hata na matambara . Imanu yako itakuponya.

Unachuki na kanisa katoliki acha unyani jiamini.
 
Wakati Mwendakuzimu anatukana Maaskofu Kwenye Mimbari ya Kanisa mlikuwa mnafurahia
 
Mleta mada ulitakiwa kuwa sehemu mbili tu;
Ulishajifia zamani sana na usiwepo ktk dunia ya kizazi cha leo AU
Mirembe ukitibiwa uendawazmu,
 
Kenya:
Waislam ni 15% tu
Wakristo ni over 80%

Uganda:
Waislam ni 14% tu
Wakristo ni over 80%

Rwanda Wakristo ni 90%

Burundi Wakristo ni over 90%

Ni Tanzania pekee ndipo unakuta ni almost 50% na hapa ndio tatizo la kuichukia RC linapoanzia. Ktk dunia RC ni kanisa na pia ni mamlaka ya kiserikali ivyo ni ngumu kudhoofishwa na baadhi ya wajinga.
 
Mnako elekea siko, wingi au uchache hauhalalishi chochote kila mwanadamu anastahili heshima na ulinzi wa serikali yake bila kutegemea dini yake. Nchi kama nchi haina dini ila wananchi wake ndio wenye dini. Nchi hii ni ya wote hakuna dini yenye hati miliki ya serikali.
 
Soon tutaingia na sare pendwa za kijani na bendera, tunasubiri muongozo tu,ole wao watuzuie
Kanisa halinajisiwi na matahira,muulizane JPM alichokipata...sisi hatutumii polisi maana yupo anaetupigania kimya kimya. Ndie mwenye nchi hii.
 
Hili jina Chinembe limekaa kimatusi matusi

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
ndugu yangu nafikiri haujatembea sana kwenye makanisa ya katoliki hasa yaliyopo vijiji. ni jambo la kawaida sana kuwakuta watu hasa wanawake wakihudhuria ibadani na nguo (kanga au Vilemba) vya ccm zile zimeandikwa chagua ccm, chagua ... (mkapa/kikwete/magufuli) kuvaa hizi nguo wakati mwingine ni hali za maisha kwa wanaovaa. kama hiyo nguo ndiyo mtu aliyonayo sio mbaya kuvaa.
 
Mruhusiwe mara ngapi?

 
Kumbe wewe ni mpumbavu sana....nakushauri acha kabisa kulihusisha kanisa na upumbavu wenu wa CCM na Chadema....
Uvccm ndio takataka gani....hivi unafikiri kanisa katoliki ni sawa na makorido ya lumumba au ufipani kinondoni?...
Unaomba ruhusa wewe si unajiamini sogelea kanisa ndio utajua hujui....
 
Mikwala hiyo,mwaka 2000,muongoza ibada mmoja wa bwana,kwenye ibada alitoa picha ya mgombea ambae ni kondoo wake,akawaambia anaowaongoza,mchagueni huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…