Ndioo ndiooWatu wengi wanaishi kwa kuangalia macho ya watu, kuangalia jamii inawaonaje, si kwa kuangalia wao wenyewe wanataka kuishi vipi?
Matokeo yake unafiki mwingi.
Unatoa kwa kulazimishwa huku roho inakuuma, bora hata tuliojiamukia tusiende kanisani kabisa, hatutaki unafiki.
Fedha tunaiona inavyotumika mkuu! Huko kwa Mwamposa mlimsaidia kujenga hoteli ya nyota 4 pale Mbeya sijui una taarifa?Zinajengwa Kila siku?we ni katibu wa parokia nini?
Unyenyekevu bila upevu wa akili ni ujingaUnyenyekevu uendane na kufikiri kwa akili. Tuanze kujua kuwa kuna mambo makuu mawili ktk hizi dini zetu;
1. Imani
2. Tafakari chanya
Tafuta hela uone raha kulichangia kanisa lakoMnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamua waumini michango hadi wanachukia dini.
Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena wanakamuliwa wazazi kupitia harambee tena siyo tu kuwahusisha wanaume katoliki na wanawake katoliki bali wanaitwa watoto wanapangwa mbele na kuitwa kila mzazi aje kumgombowa mtoto, halitoshi mama aliyesuka vizuri anapelekewa kikapu.
Acheni kuwadhalilisha wazazi kama alibakiwa na buku 2 hatimaye anashindwa hata kukodi boda. Michango ya ujenzi ina utaratibu wake haya mengine ni unyanyasaji.
Mhhh!!Tafuta hela uone raha kulichangia kanisa lako
Nakubaliana naweMUNGU haitaji pesa zako ety umtolee yeye , wapigaji wanawadanganya eti unamtolea MUNGU π€ sasa nani anampelekea MUNGU hzo sadakaπ€ . MUNGU anataka uwasaidie binadamu wenzako wenye shida huu ndo upendo unaotakiwa , nje ya hapo ni michango tu ya kanisa kama michango mengine ukijiskia kutoa sawa usipojskia sawa usilazimishwe na mtu et utoe mchango wa askofu sijui paroko wakati jirani Yako Hajala siku ya tatu
πππDuh, kazi ipo
Halafu kwenye Jumuiya kuna ujinga wa ku Propose Michango,target ikiwa ni MTU Fulani ambaye wanahisi ana KipatoMnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamua waumini michango hadi wanachukia dini.
Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena wanakamuliwa wazazi kupitia harambee tena siyo tu kuwahusisha wanaume katoliki na wanawake katoliki bali wanaitwa watoto wanapangwa mbele na kuitwa kila mzazi aje kumgombowa mtoto, halitoshi mama aliyesuka vizuri anapelekewa kikapu.
Acheni kuwadhalilisha wazazi kama alibakiwa na buku 2 hatimaye anashindwa hata kukodi boda. Michango ya ujenzi ina utaratibu wake haya mengine ni unyanyasaji.
................... Ndio waliwaoAmbatanisha na hawa kwenye file! Sijui ni Kanisa gani
Makanisani.Wapi huko mkuu?
Yani umeambiwa utoe laki unatoa 50k au?Halafu kwenye Jumuiya kuna ujinga wa ku Propose Michango,target ikiwa ni MTU Fulani ambaye wanahisi ana Kipato
Mimi najua jinsi ya kwenda nao, wakipitisha Michango yao namna ya kutoa ni Pasu Pasu, yaani unaigawa sawa Kwa kila Kichwa
Mpaka akili ziwake sawa
Ukiendekeza Sana hiyo Michango hutafanya la Maana
Jamaa anabiti.Ambatanisha na hawa kwenye file! Sijui ni Kanisa gani
Leo wamekuja na michango ya Dada Wadogo jimbo la Dar es Salaam. Hii ni michango ya kila mwaka. Eti UWAKA wanashindana kuchangia. Akili mkichwa.Ndioo ndioo