Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

Uje penda kuzungumzia mambo ya Parokia yako na Paroko wako na viongozi wako uliowachagua.

Kila mtu ana parokia yake na jimbo lake. Hivyo jambo likifanyika kwenye parokia au kigango chako usianze kulihusisha kanisa zima Katoliki.

Kila Jimbo, Parokia au kigango kila utaratibu wake na uongozi wake.

Na unao Uhuru kamili wa kutoa maoni, mapendekezo, ushauri lipi baya halifai au lipi jema liendelee kupitia jumuiya yako, mikutano ya Kigango au Parokia yako ambapo wajumbe wa mikutano hiyo wanatokana na jumuiya.

Ila kama huwa husali jumuiya au kushiriki masuala yote ya kanisa unavizia matukio tuu, ubatizo, kipaimara, komunyo au ndoa na misiba hakika wacha mnyooshwee kisawa sawa.
Katoliki bwana.

Zamani walikuwa wanatia sadaka randomly ila wakabadili gia angani wakalazimisha sadaka wananyanyuka benchi kwa benchi ili wakwepaji sadaka waaibike.
Ila kuna watu kwenye hizi dini wanapiga hela ndefu kupitia ulaghai wa kumtolea Mungu.
 
Mnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamua waumini michango hadi wanachukia dini.

Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena wanakamuliwa wazazi kupitia harambee tena siyo tu kuwahusisha wanaume katoliki na wanawake katoliki bali wanaitwa watoto wanapangwa mbele na kuitwa kila mzazi aje kumgombowa mtoto, halitoshi mama aliyesuka vizuri anapelekewa kikapu.

Acheni kuwadhalilisha wazazi kama alibakiwa na buku 2 hatimaye anashindwa hata kukodi boda. Michango ya ujenzi ina utaratibu wake haya mengine ni unyanyasaji.
.KUU NIMEKUTAAA HAYA MALALAMIKO JUMUIYAA LEOO NAHISI MNABEMBELEZANA. NAFANYA WATU WASIPELEKE WATOTO. KUSALI WANAFANYA SEHEMU YAM ITAJI
 
Uje penda kuzungumzia mambo ya Parokia yako na Paroko wako na viongozi wako uliowachagua.

Kila mtu ana parokia yake na jimbo lake. Hivyo jambo likifanyika kwenye parokia au kigango chako usianze kulihusisha kanisa zima Katoliki.

Kila Jimbo, Parokia au kigango kila utaratibu wake na uongozi wake.

Na unao Uhuru kamili wa kutoa maoni, mapendekezo, ushauri lipi baya halifai au lipi jema liendelee kupitia jumuiya yako, mikutano ya Kigango au Parokia yako ambapo wajumbe wa mikutano hiyo wanatokana na jumuiya.

Ila kama huwa husali jumuiya au kushiriki masuala yote ya kanisa unavizia matukio tuu, ubatizo, kipaimara, komunyo au ndoa na misiba hakika wacha mnyooshwee kisawa sawa.
Unachoandikaaa unasahauu kinakujumba na wewe unaehudhuria jumuiyaaa. Ninekyta malalamiko jumuiy..msifanye mitaji watotoo wetuuu mnatafuta dhambi
 
Mingine inazungushwa. Mi ni Mroma naelewa sana hizi changamoto. Si tulipigwa msalaba wa bati laki 8. Paroko kaja kujua msalaba umepandishwa Usiku wa manane
Sasa waumini unyonge ni mwisho.tuwe tunashauri twende hivi hili ndiyo kwa sasa na hili hapana kwa sasa.
 
Ndio mmiliki wa shule ya sekondari ya Alfa.
Ukweli anaishi kifukara na pengine ni moja wapo wa mapadre wachache wanao ishi viapo na nadhiri zao kikamilifu.
Padre wa kanisa katoliki anaweka nadhiri na kiapo cha Ufukara, useja na utii.
Wengi wa mapadre ufukara hawajaweza kuwa waaminifu kwa hilo.
Kwa hiyo kanisa lenu ufukara na kupretend maisha ni sifa.. hizi dini bana ndiomaana mnazidi kuwa machizi, hao wachungaji wanawaibia mamilion ya pesa kupitia michango ya pesa zenu, huku wakijifanya wanaishi maisha mnayoishi ninyi.

Mngetumia akili japo kidogo mngeona kuwa mafundisho ya hizo takataka zenu za makanisani ni tofauti na biblia, yaan mnaenda kinyume na biblia inavyotaka muwe.

Anyway, kama mnazipenda hizo dini kwanini mnalialia kukamuliwa pesa? Endeleeni kutoa sadaka mpaka mwisho wenu, maana ndio maisha mliyoyachagua.

Kiuhalisia sadaka ya kweli kwa kizazi hiki ni kuwasaidia masikini, wajane wenye uhitaji, wagonjwa na mayatima, tofauti na hapo mnapoteza bure hizo pesa zenu na hakuna linalobadirika ktk maisha yenu.

Mnapoteza muda wenu buree makanisani.
 
Pia suala la kujenga makanisa kila siku limekuwa kero sana. Kanisa moja likiisha tayari wanaleta mpango wa kujenga lingine. K.K.K.T Dar es Salaam na kanisa katoliki mjitafakari sana.
 
saivi wameanza kuwakamua madogo kwa "gia ya kuwazoesha kutoa wakiwa bado wadogo" wamegundua wazazi wamekuwa watata ila dogo akija kukulilia lazima mzazi ulegee mwenyewe
 
Katoliki bwana.

Zamani walikuwa wanatia sadaka randomly ila wakabadili gia angani wakalazimisha sadaka wananyanyuka benchi kwa benchi ili wakwepaji sadaka waaibike.
Ila kuna watu kwenye hizi dini wanapiga hela ndefu kupitia ulaghai wa kumtolea Mungu.
Hasa wale wanaohesabu sadaka na mweka hazina jaman hawa watu wanapiga sadaka hatar tumeshafukuza mmoja aibu tele na kanisan haji tena
 
Unyenyekevu uendane na kufikiri kwa akili. Tuanze kujua kuwa kuna mambo makuu mawili ktk hizi dini zetu;
1. Imani
2. Tafakari chanya
 
Back
Top Bottom