Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo

Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo

Vitu gani hivi unajaza jaza kwenye server za watu humu, utakua umeshikishwa ukuta hapo Buza unatiwa na wavaa makobaz wenzako.
Kama wewe unapigiliwa miti hapo kibera na machokoraa wenzako,hapo wivu umekushika
 
Huwa mnadhani wapelestina wote waislam,na kuegemea kwa Israel kwenye Vita hivi, Israel anaua wapelestina waislam na wakiristo
kwamba israel anaamka na kuua tu ? hamsemi kuwa huw mnaanza kuwashambulia waisrael ? nyiny ni sw kuua wengine ila kuuliwa sio sawa ? mnataka musababishe matatizo kwa wengine ima mjibiwa mnalalamika , achen uzezeta wenu
 
kwamba israel anaamka na kuua tu ? hamsemi kuwa huw mnaanza kuwashambulia waisrael ? nyiny ni sw kuua wengine ila kuuliwa sio sawa ? mnataka musababishe matatizo kwa wengine ima mjibiwa mnalalamika , achen uzezeta wenu
'nyinyi!'..mi mpalestina!?..ushakaa kwenye dini,utakua na uwezo kupambanua haki na batili katika hili!?..mi mnyamwezi wa tabora,mtanzania...wewe muisrael!?
 
Wengi wamehojiwa na kusema kwa walivyopokewa yaani hawajaona upendo kama huo kwa muda mrefu.
Hongereni sana Wakristo kwenye hilo kanisa, waonyesheni inawezekana kuishi na watu bila kuwachinja kwa jina Mungu, na kwamba dini inapaswa kuwa kitovu cha amani na utulivu.....
=========================


The Church of Saint Porphyrius has become a sanctuary for those displaced by Israeli bombing, across all faiths.

Orthodox Christians celebrate Christmas with divine service at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City

Orthodox Christians celebrate Christmas at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City, Gaza on January 6, 2023 [Mustafa Hassona/Anadolu Agency via Getty Images]

Gaza City – When an Israeli air raid destroyed Walaa Sobeh’s house and much of her neighbourhood, the Palestinian Muslim sought shelter in Gaza’s oldest church.

At the Church of Saint Porphyrius, she found not just sanctuary, but a feeling of belonging to “one family” — united by both the terror of bombs exploding around them and a hope that they could survive Israel’s attacks.
So she telephoned other relatives in north Gaza and asked them to make their way to the church, too. Sobeh and her family are among hundreds of Palestinians across different faiths who have found safety — at least for now — at the church.

At a time when the deadly Hamas attack on Israel on October 7 and Israel’s subsequent bombardment of Gaza have sparked a surge in Islamophobia in parts of the world, the Greek Orthodox church has emerged as an emblem of a deeper identity as Palestinians.

“We are here living the day, not sure if we can make it to the night. But what eases our pain is the humble and warm spirit of everyone around,” Sobeh said. She described receiving “enormous support from the priests and other people in the church who volunteer tirelessly around the clock to help the displaced families”.

So far, the church has escaped Israeli missiles.
“The Israeli military has bombed many places of sanctuary,” said Father Elias, a priest at Saint Porphyrius, adding that he was “not sure that Israel won’t bomb the church”, even though it provides shelter for hundreds of civilians.

Israeli bombs have hit several mosques and schools sheltering people whose homes have been blown up.

Any strike on the church “would not only be an attack on religion, which is a vile deed, but also an attack on humanity”, Father Elias said. “Our humanity calls us to offer peace and warmth to everyone in need.”

Palestinian Orthodox Christians attend the Christmas Mass at St. Porphyrius Church in Gaza City
Palestinian Orthodox Christians attend Christmas mass at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City on January 7, 2023 [Mohammed Saber/EPA]

Kwani si hata nguruwe ukizidiwa njaa unamla watafanyaje sasa
 
Wengi wamehojiwa na kusema kwa walivyopokewa yaani hawajaona upendo kama huo kwa muda mrefu.
Hongereni sana Wakristo kwenye hilo kanisa, waonyesheni inawezekana kuishi na watu bila kuwachinja kwa jina Mungu, na kwamba dini inapaswa kuwa kitovu cha amani na utulivu.....
=========================


The Church of Saint Porphyrius has become a sanctuary for those displaced by Israeli bombing, across all faiths.

Orthodox Christians celebrate Christmas with divine service at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City

Orthodox Christians celebrate Christmas at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City, Gaza on January 6, 2023 [Mustafa Hassona/Anadolu Agency via Getty Images]

Gaza City – When an Israeli air raid destroyed Walaa Sobeh’s house and much of her neighbourhood, the Palestinian Muslim sought shelter in Gaza’s oldest church.

At the Church of Saint Porphyrius, she found not just sanctuary, but a feeling of belonging to “one family” — united by both the terror of bombs exploding around them and a hope that they could survive Israel’s attacks.
So she telephoned other relatives in north Gaza and asked them to make their way to the church, too. Sobeh and her family are among hundreds of Palestinians across different faiths who have found safety — at least for now — at the church.

At a time when the deadly Hamas attack on Israel on October 7 and Israel’s subsequent bombardment of Gaza have sparked a surge in Islamophobia in parts of the world, the Greek Orthodox church has emerged as an emblem of a deeper identity as Palestinians.

“We are here living the day, not sure if we can make it to the night. But what eases our pain is the humble and warm spirit of everyone around,” Sobeh said. She described receiving “enormous support from the priests and other people in the church who volunteer tirelessly around the clock to help the displaced families”.

So far, the church has escaped Israeli missiles.
“The Israeli military has bombed many places of sanctuary,” said Father Elias, a priest at Saint Porphyrius, adding that he was “not sure that Israel won’t bomb the church”, even though it provides shelter for hundreds of civilians.

Israeli bombs have hit several mosques and schools sheltering people whose homes have been blown up.

Any strike on the church “would not only be an attack on religion, which is a vile deed, but also an attack on humanity”, Father Elias said. “Our humanity calls us to offer peace and warmth to everyone in need.”

Palestinian Orthodox Christians attend the Christmas Mass at St. Porphyrius Church in Gaza City
Palestinian Orthodox Christians attend Christmas mass at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City on January 7, 2023 [Mohammed Saber/EPA]

Si kuna kipindi Hamas walitaka kuripua hili Kanisa...!?
 
Wezi wa mifugo wanaiba n akujinufaisha, ina mantiki, lakini nyie mazombi mnaua watu kisa mungu ambaye mliletewa na muarabu, mungu ambaye hata hamumjui, hamna namna ya kudhihirisha uwepo wake, unaua mwafrika mwenzako kwa ujinga, yaani sijui mko vipi kwa kweli.
Hayo ya waislam hayanihusu, Nachojua Palestine wanapigania uhuru wao kama wanachofanya Ukraine au Tigray cha ajabu unatumia gia ya udini. Wewe mwenyewe umepost kuhusu uwepo wa makanisa Gaza at the same time unadai Palestine ni waislam tu? Pia unasahau hata Israel ni 30% Muslims.

Hii vita ina mambo mengi ila kama ni dini basi Hamas wasingeua waislam wenzao wanaoishi Israel.
 
Hayo ya waislam hayanihusu, Nachojua Palestine wanapigania uhuru wao kama wanachofanya Ukraine au Tigray cha ajabu unatumia gia ya udini. Wewe mwenyewe umepost kuhusu uwepo wa makanisa Gaza at the same time unadai Palestine ni waislam tu? Pia unasahau hata Israel ni 30% Muslims.

Hii vita ina mambo mengi ila kama ni dini basi Hamas wasingeua waislam wenzao wanaoishi Israel.

Wacha kuzunguka zunguka kama digidigi huna msimamo wowote, mara ubwatuke humu ukitetea uislamu mara useme haukuhusu, hovyo sasa na mtapigwa mpaka siku mjue umuhimu wa kuishi na watu kwa amani, haiwezekani dini moja tu iwe kero kwa kila dini, mnazinguana na Mabudha, Wahindi, Wakristo n.k.
Mnaanzisha ugomvi ila mkipigwa mnaanza kulia lia kwamba mnaonewa.
 
Mkenya umesahau kufuta hiyo.
wakipewa chakula, wakashiba, wakatulia, hilo kanisa lazima walichome moto. ndicho walichofanya Lebanon, wakristo waliwapokea hivyohivyo, wakageuka kuwachinja. lakini hatutakiwi kulipiza baya kwa baya, Mungu ndiye atahukumu.
 
Kuna mpuuzi kila post yeye ni chuki tu,sijui nani kamwambia palestina wapo waislam tu,,,Israel wamelipua Hospital ya kanisa huko imeua watu wasio na hatia, mipunguani huku Africa inashangilia utazani Israel wanaujal huo ukristo smh
 
Sio waislamu rudia kusoma 😅😅

Tafuta mtu akutafsirie maana ya hii sentensi "the Palestinian Muslim sought shelter in Gaza’s oldest church."
Mtafundishwa upendo mpaka siku mtaelewa nini maana yake... Wakristo au dini zingine zote hutaka kuishi na nyie watu kwa amani lakini mlivyo, yaani ugomvi na fujo ni asili yenu....


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM
 
Tafuta mtu akutafsirie maana ya hii sentensi "the Palestinian Muslim sought shelter in Gaza’s oldest church."
Mtafundishwa upendo mpaka siku mtaelewa nini maana yake... Wakristo au dini zingine zote hutaka kuishi na nyie watu kwa amani lakini mlivyo, yaani ugomvi na fujo ni asili yenu....


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM

Sio wale ulioleta jamaa kwa propaganda zako huwezi kuangusha Uislamu 😅😅
 
Kwani kuna shida hapo.
Walengwa unadhani ni Waislamu pekee, ngoja wawamalize waislam watahamia kwa Wakristo.
 
Back
Top Bottom