Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo

Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo

Chuki mpaka unatafuta habari za uongo 😅😅

Hehehe!! Yaani mnakaribishwa kwa upendo kanisani halafu unasema ni chuki, halafu mlivyo mazombi ya hovyo mnaweza kulianzisha humo humo.
 
Umeanza propaganda tena? Ungejua hao wayahudi hate Christians more than Muslims usingejikomba hivi. Hivi unajua waislam huko Israel ni wengi kuliko wakristo?

Hilo ni kanisa limepokea waislamu, mnapaswa mjifunze kitu hapo, kwamba inawezekana binadamu wakaishi bila kujilipua mabomu eti ndio mbinu pekee za kumuabudu Mungu.
 
Wewe jamaa ni mpumbavu,umekalia udini shwain,kwa taarifa yako palestina ina wakristo wengi tu na israel haina hata mkristo m1,makanisa yote ya jerusalem na yako chini ya usimamizi wa hao wapalestina wakristo,kwa kichwa chako kibovu unadhani zile missile zinawaua wapalestina waislam tu!

Ndugu zako wamepokewa kwa amani na upendo, wanaonyeshwa jinsi gani ya kuishi bila chuki au kujilipua mabomu.
 
View attachment 2783895
Hii post yako inaonyesha ni jinsi gani huna akili,palestian orthodox christian hawa bombu za israel aziwagusi kabisa sio?halafu umepata vilaza humu wanakusapoti,kuna milions of palestina christians wewe boya

Siajelewa unlia lia nini, kwani orthodox sio Wakristo? Au shida nini haswa, kaeni mjifunze kitu, mumefundishwa vibaya sana kwenye hayo madrassa yenu, maisha ya kuua na chuki.
 
Siajelewa unlia lia nini, kwani orthodox sio Wakristo? Au shida nini haswa, kaeni mjifunze kitu, mumefundishwa vibaya sana kwenye hayo madrassa yenu, maisha ya kuua na chuki.
Huna akili,so orthodox wa kipalestina bomb za israel zikiwafikia awafi?acha kufurahia vita we msenge yan huko kwenu kenya mlivyokuzwa kichuki chuki mkawa ampendani wenyewe kwa ukabila kumekuharibu kabisa
 
Ndugu zako wamepokewa kwa amani na upendo, wanaonyeshwa jinsi gani ya kuishi bila chuki au kujilipua mabomu.
Kwa taarifa yako mimi niko hapa israel na ni muislam na sijawahi kubaguliwa kwa udini hapa,na tena at least uislam una nguvu kiasi baada ya jewish,hawa jamaa washaachana na akili za kitumwa za kidini kama mlivyo huko uchafuni,hii vita ni ya waarabu na wayahudi hamna vita ya kidini
 
Huna akili,so orthodox wa kipalestina bomb za israel zikiwafikia awafi?acha kufurahia vita we msenge yan huko kwenu kenya mlivyokuzwa kichuki chuki mkawa ampendani wenyewe kwa ukabila kumekuharibu kabisa

Utakua umechanganya madawa maana sielewi nini unalialia kuhusu, ila hadi hapo ujifunze kitu, hiyo dini yenu mnafundishwa chuki kupigana na kila mtu mnaishiwa kuuawa kama senene.....

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
 
Kwa taarifa yako mimi niko hapa israel na ni muislam na sijawahi kubaguliwa kwa udini hapa,na tena at least uislam una nguvu kiasi baada ya jewish,hawa jamaa washaachana na akili za kitumwa za kidini kama mlivyo huko uchafuni,hii vita ni ya waarabu na wayahudi hamna vita ya kidini

Israel ipi, ya Pale Buza au.....
Nafikri mpaka sasa akili imewaingia, tafuta MB utizame haya mapicha Mapicha: Majengo ya Gaza yamebaki magofu, yaani ghost town, jamani HAMAS waliwaza nini
 
Israel ipi, ya Pale Buza au.....
Nafikri mpaka sasa akili imewaingia, tafuta MB utizame haya mapicha Mapicha: Majengo ya Gaza yamebaki magofu, yaani ghost town, jamani HAMAS waliwaza nini
IMG-20231017-WA0000.jpg

Wewe endelea kuzoa mavi hapo kibera na akili yako mbovu,mnavyoichukulia hali hii vita hadi mnajitoa akili!
 
Back
Top Bottom