Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo

Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo

Kwani nini issue hapo, hao kusherehekea Kristmasi January inahusianaje na kingereza.
Kimsingi mjifunze kitu, huo uzombi wa kulipukia watu mabomu ni ushetani.
Chuki mpaka unatafuta habari za uongo 😅😅
 
weweunaweza kuingia msikitini?
Kwa dharura kwanini nisiingie?

Nisiwe mnafiki,lakini mnihakikishie kwanza usalama wangu maana kama waumini wenyewe ni kama wewe unabagua hadi jengo ukijua mimi siyo muislam unanihakikishiaje usalama wangu?
 
Unaona hizo suti?ebu tulia angalia hizo picha.alafu nioneshe muislam yupo wapi ?picha zinaonesha kabisa watu wapo kanisani wanaendelea na ibada yeye anasema wapo kwenye hifadhi.kwenye hifadhi ungewaona wamesimama?hata watoto hawapo.aache uongo
Suti siyo tatizo,ni namna tu ya mwanadamu kutaka kujiweka sawa na wanaoingia humo.

Kwamba kwa kuvaa kwao suti ndiyo kuwafanye wasiwe waislam huo utakuwa ubishani wa kitoto
 
Suti siyo tatizo,ni namna tu ya mwanadamu kutaka kujiweka sawa na wanaoingia humo.

Kwamba kwa kuvaa kwao suti ndiyo kuwafanye wasiwe waislam huo utakuwa ubishani wa kitoto
Usinichoshe.angalia hizo picha kwa kutumia jamii forum Web.zimewekewa maelezo.una akili zitumie.
 
Wengi wamehojiwa na kusema kwa walivyopokewa yaani hawajaona upendo kama huo kwa muda mrefu.
Hongereni sana Wakristo kwenye hilo kanisa, waonyesheni inawezekana kuishi na watu bila kuwachinja kwa jina Mungu, na kwamba dini inapaswa kuwa kitovu cha amani na utulivu.....
=========================


The Church of Saint Porphyrius has become a sanctuary for those displaced by Israeli bombing, across all faiths.

Orthodox Christians celebrate Christmas with divine service at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City

Orthodox Christians celebrate Christmas at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City, Gaza on January 6, 2023 [Mustafa Hassona/Anadolu Agency via Getty Images]
By Mohammed R Mhawesh
Published On 16 Oct 202316 Oct 2023
Gaza City – When an Israeli air raid destroyed Walaa Sobeh’s house and much of her neighbourhood, the Palestinian Muslim sought shelter in Gaza’s oldest church.
At the Church of Saint Porphyrius, she found not just sanctuary, but a feeling of belonging to “one family” — united by both the terror of bombs exploding around them and a hope that they could survive Israel’s attacks.
So she telephoned other relatives in north Gaza and asked them to make their way to the church, too. Sobeh and her family are among hundreds of Palestinians across different faiths who have found safety — at least for now — at the church.

At a time when the deadly Hamas attack on Israel on October 7 and Israel’s subsequent bombardment of Gaza have sparked a surge in Islamophobia in parts of the world, the Greek Orthodox church has emerged as an emblem of a deeper identity as Palestinians.

“We are here living the day, not sure if we can make it to the night. But what eases our pain is the humble and warm spirit of everyone around,” Sobeh said. She described receiving “enormous support from the priests and other people in the church who volunteer tirelessly around the clock to help the displaced families”.

So far, the church has escaped Israeli missiles.
“The Israeli military has bombed many places of sanctuary,” said Father Elias, a priest at Saint Porphyrius, adding that he was “not sure that Israel won’t bomb the church”, even though it provides shelter for hundreds of civilians.

Israeli bombs have hit several mosques and schools sheltering people whose homes have been blown up.


Any strike on the church “would not only be an attack on religion, which is a vile deed, but also an attack on humanity”, Father Elias said. “Our humanity calls us to offer peace and warmth to everyone in need.”



Palestinian Orthodox Christians attend the Christmas Mass at St. Porphyrius Church in Gaza City
Palestinian Orthodox Christians attend Christmas mass at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City on January 7, 2023 [Mohammed Saber/EPA]
Unaweza kukuta hata magaidi ya hammas yamejificha huko kanisani

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Mods mtu anaweka picha alafu anaweka maelezo ya uongo anapotosha watu.mnaangalia tu.mnaonekana hampo makini.hizo picha ni za wakristo wa orthodox wakiwa kanisani GAZA.lakini mleta mada anabadilisha maelezo.anasema ni waislam waliokimbilia kanisani kupata hifadhi.mwiaho wa siku tunaonekana wote hatuna akili humu
 
Mods mtu anaweka picha alafu anaweka maelezo ya uongo anapotosha watu.mnaangalia tu.mnaonekana hampo makini.hizo picha ni za wakristo wa orthodox wakiwa kanisani GAZA.lakini mleta mada anabadilisha maelezo.anasema ni waislam waliokimbilia kanisani kupata hifadhi.mwiaho wa siku tunaonekana wote hatuna akili humu
Hizo picha zimetoka Al-Jazeera acha lawama
 
Muhimu sana mjifunze nini maana ya kuishi na watu, wewe huko Canada hao hao Wakristo ndio wamekuhifadhi.
Umeanza propaganda tena? Ungejua hao wayahudi hate Christians more than Muslims usingejikomba hivi. Hivi unajua waislam huko Israel ni wengi kuliko wakristo?
 
Wengi wamehojiwa na kusema kwa walivyopokewa yaani hawajaona upendo kama huo kwa muda mrefu.
Hongereni sana Wakristo kwenye hilo kanisa, waonyesheni inawezekana kuishi na watu bila kuwachinja kwa jina Mungu, na kwamba dini inapaswa kuwa kitovu cha amani na utulivu.....
=========================


The Church of Saint Porphyrius has become a sanctuary for those displaced by Israeli bombing, across all faiths.

Orthodox Christians celebrate Christmas with divine service at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City

Orthodox Christians celebrate Christmas at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City, Gaza on January 6, 2023 [Mustafa Hassona/Anadolu Agency via Getty Images]
By Mohammed R Mhawesh
Published On 16 Oct 202316 Oct 2023
Gaza City – When an Israeli air raid destroyed Walaa Sobeh’s house and much of her neighbourhood, the Palestinian Muslim sought shelter in Gaza’s oldest church.
At the Church of Saint Porphyrius, she found not just sanctuary, but a feeling of belonging to “one family” — united by both the terror of bombs exploding around them and a hope that they could survive Israel’s attacks.
So she telephoned other relatives in north Gaza and asked them to make their way to the church, too. Sobeh and her family are among hundreds of Palestinians across different faiths who have found safety — at least for now — at the church.

At a time when the deadly Hamas attack on Israel on October 7 and Israel’s subsequent bombardment of Gaza have sparked a surge in Islamophobia in parts of the world, the Greek Orthodox church has emerged as an emblem of a deeper identity as Palestinians.

“We are here living the day, not sure if we can make it to the night. But what eases our pain is the humble and warm spirit of everyone around,” Sobeh said. She described receiving “enormous support from the priests and other people in the church who volunteer tirelessly around the clock to help the displaced families”.

So far, the church has escaped Israeli missiles.
“The Israeli military has bombed many places of sanctuary,” said Father Elias, a priest at Saint Porphyrius, adding that he was “not sure that Israel won’t bomb the church”, even though it provides shelter for hundreds of civilians.

Israeli bombs have hit several mosques and schools sheltering people whose homes have been blown up.


Any strike on the church “would not only be an attack on religion, which is a vile deed, but also an attack on humanity”, Father Elias said. “Our humanity calls us to offer peace and warmth to everyone in need.”



Palestinian Orthodox Christians attend the Christmas Mass at St. Porphyrius Church in Gaza City
Palestinian Orthodox Christians attend Christmas mass at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City on January 7, 2023 [Mohammed Saber/EPA]
Wabatizwe kabsa waache ugaidi na kuvaa kobazi
 
Wengi wamehojiwa na kusema kwa walivyopokewa yaani hawajaona upendo kama huo kwa muda mrefu.
Hongereni sana Wakristo kwenye hilo kanisa, waonyesheni inawezekana kuishi na watu bila kuwachinja kwa jina Mungu, na kwamba dini inapaswa kuwa kitovu cha amani na utulivu.....
=========================


The Church of Saint Porphyrius has become a sanctuary for those displaced by Israeli bombing, across all faiths.

Orthodox Christians celebrate Christmas with divine service at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City

Orthodox Christians celebrate Christmas at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City, Gaza on January 6, 2023 [Mustafa Hassona/Anadolu Agency via Getty Images]
By Mohammed R Mhawesh
Published On 16 Oct 202316 Oct 2023
Gaza City – When an Israeli air raid destroyed Walaa Sobeh’s house and much of her neighbourhood, the Palestinian Muslim sought shelter in Gaza’s oldest church.
At the Church of Saint Porphyrius, she found not just sanctuary, but a feeling of belonging to “one family” — united by both the terror of bombs exploding around them and a hope that they could survive Israel’s attacks.
So she telephoned other relatives in north Gaza and asked them to make their way to the church, too. Sobeh and her family are among hundreds of Palestinians across different faiths who have found safety — at least for now — at the church.

At a time when the deadly Hamas attack on Israel on October 7 and Israel’s subsequent bombardment of Gaza have sparked a surge in Islamophobia in parts of the world, the Greek Orthodox church has emerged as an emblem of a deeper identity as Palestinians.

“We are here living the day, not sure if we can make it to the night. But what eases our pain is the humble and warm spirit of everyone around,” Sobeh said. She described receiving “enormous support from the priests and other people in the church who volunteer tirelessly around the clock to help the displaced families”.

So far, the church has escaped Israeli missiles.
“The Israeli military has bombed many places of sanctuary,” said Father Elias, a priest at Saint Porphyrius, adding that he was “not sure that Israel won’t bomb the church”, even though it provides shelter for hundreds of civilians.

Israeli bombs have hit several mosques and schools sheltering people whose homes have been blown up.


Any strike on the church “would not only be an attack on religion, which is a vile deed, but also an attack on humanity”, Father Elias said. “Our humanity calls us to offer peace and warmth to everyone in need.”



Palestinian Orthodox Christians attend the Christmas Mass at St. Porphyrius Church in Gaza City
Palestinian Orthodox Christians attend Christmas mass at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City on January 7, 2023 [Mohammed Saber/EPA]
Wewe jamaa ni mpumbavu,umekalia udini shwain,kwa taarifa yako palestina ina wakristo wengi tu na israel haina hata mkristo m1,makanisa yote ya jerusalem na yako chini ya usimamizi wa hao wapalestina wakristo,kwa kichwa chako kibovu unadhani zile missile zinawaua wapalestina waislam tu!
 
Wamesaliti wakitoka humo wauwawe.
 
Muhimu sana mjifunze nini maana ya kuishi na watu, wewe huko Canada hao hao Wakristo ndio wamekuhifadhi.
Screenshot_20231016-191557_Chrome.jpg

Hii post yako inaonyesha ni jinsi gani huna akili,palestian orthodox christian hawa bombu za israel aziwagusi kabisa sio?halafu umepata vilaza humu wanakusapoti,kuna milions of palestina christians wewe boya
 
Wengi wamehojiwa na kusema kwa walivyopokewa yaani hawajaona upendo kama huo kwa muda mrefu.
Hongereni sana Wakristo kwenye hilo kanisa, waonyesheni inawezekana kuishi na watu bila kuwachinja kwa jina Mungu, na kwamba dini inapaswa kuwa kitovu cha amani na utulivu.....
=========================


The Church of Saint Porphyrius has become a sanctuary for those displaced by Israeli bombing, across all faiths.

Orthodox Christians celebrate Christmas with divine service at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City

Orthodox Christians celebrate Christmas at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City, Gaza on January 6, 2023 [Mustafa Hassona/Anadolu Agency via Getty Images]

Gaza City – When an Israeli air raid destroyed Walaa Sobeh’s house and much of her neighbourhood, the Palestinian Muslim sought shelter in Gaza’s oldest church.

At the Church of Saint Porphyrius, she found not just sanctuary, but a feeling of belonging to “one family” — united by both the terror of bombs exploding around them and a hope that they could survive Israel’s attacks.
So she telephoned other relatives in north Gaza and asked them to make their way to the church, too. Sobeh and her family are among hundreds of Palestinians across different faiths who have found safety — at least for now — at the church.

At a time when the deadly Hamas attack on Israel on October 7 and Israel’s subsequent bombardment of Gaza have sparked a surge in Islamophobia in parts of the world, the Greek Orthodox church has emerged as an emblem of a deeper identity as Palestinians.

“We are here living the day, not sure if we can make it to the night. But what eases our pain is the humble and warm spirit of everyone around,” Sobeh said. She described receiving “enormous support from the priests and other people in the church who volunteer tirelessly around the clock to help the displaced families”.

So far, the church has escaped Israeli missiles.
“The Israeli military has bombed many places of sanctuary,” said Father Elias, a priest at Saint Porphyrius, adding that he was “not sure that Israel won’t bomb the church”, even though it provides shelter for hundreds of civilians.

Israeli bombs have hit several mosques and schools sheltering people whose homes have been blown up.

Any strike on the church “would not only be an attack on religion, which is a vile deed, but also an attack on humanity”, Father Elias said. “Our humanity calls us to offer peace and warmth to everyone in need.”

Palestinian Orthodox Christians attend the Christmas Mass at St. Porphyrius Church in Gaza City
Palestinian Orthodox Christians attend Christmas mass at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City on January 7, 2023 [Mohammed Saber/EPA]

Wakristo tunafundishwa UPENDO kwa watu wote, sio kuwaua wasio Wakristo

Inapendeza sana

Ndugu yangu Mlolongo Mjingamimi Kikwajuni One na FaizaFoxy karibuni katika Ibada ya Kanisa la Adventist Wasabato jumamosi ijayo ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom