Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

askofu ana hekima na busara. Ingekuwa ni upande wenu msiokuwa na hekima na busara ya kuepusha madhara makubwa, mngeanza kuandamana hovyo kwa jazba zenu huku mkilipiza kisasi. Funika kombe mwanaharamu apite
Hapana ameongokopa kwanini afiche uovu haya tuletee hapa ushahidi wako

Nasio kumpakazia askofu uongo ina maana huna adabu na viongozi wako.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
daima nitabaki kuona zaidi kuliko wewe. Hayo majibu si uhalisia hakuna mlevi anayeweza kufanya hayo kanisani labda mwendawazimu. Tungeambiwa ni mwendawazimu tungeamini. Mlevi hapana!
Wewe jamaa bure kabisa unasema na ku vitu kipumbavu kabisa ,kama mtu anakuja Mama yake Mzazi ,Baba yake ,Mtoto akiwa timamu na akili zake kea a nini ishindikane kuiba kanisani?

Juzi juzi tu rafiki yangu mkiristo kanihadithia mtu kanisani kwao muumini wa kabisa hilo kaiba 70K kwenye kapu la sadaka na CCTV camera imemnasa na alikuwa mzima na akili zake halafu wewe unakaza kichwa kuwa hata mlevi hawezi kufanya hivyo ni mwendawazimu tu ,hivi unawajua binadamu kweli? mimi nimeibiwa na nimeshuhudia msikitini waislamu wenyewe wakiwaibia watu na mali za msikitini.
 
unataka nikuambiaje lakini? Narudia tena, anayeweza kufanya hayo kwenye ibada ni mwendawazimu, case closed
 
Hapana ameongokopa kwanini afiche uovu haya tuletee hapa ushahidi wako

Nasio kumpakazia askofu uongo ina maana huna adabu na viongozi wako.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
we jamaa unaijua vizuri dunia lakini? Mambo huwa hayaongozwi kwa jazba na mihemko. Hata mimi nimejifunza kumkabili adui bila kusababisha madhara. Hekima na busara ndio muongozo. Inatosha kusema ni mlevi ndiye kafanya uharibifu ule. Jifunze taarifa za majambazi kufanya shambulizi fulani halafu hao majambazi wawe wanajibizana mashambulizi na polisi. Ukiambiwa ni majambazi ridhika na jibu hilo halafu akili yako isiwaze kujua kama kweli hao ni majambazi
 
Mbon nimekuomba ushahidi mimi
Dunia ndio inatak tufiche uovu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkewangu mtarajiwa ,akisema mke mimi ni nani Mume nipinge ?
binti twende jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki tukachague mada huko tuichambue. Tuachane na hii mada, case closed
 



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…