Kanisa Kuu mbadala wa St. Joseph kujengwa Gezaulole, Jimbo Kuu - Dar es Salaam

Kanisa Kuu mbadala wa St. Joseph kujengwa Gezaulole, Jimbo Kuu - Dar es Salaam

🤣🤣Sehemu wanapogombea urithi wa misikiti na vifrem vya biashara?
Nope
I pass
Rudi katika Uislam. Uislam ndio asili yako. Rudi katika kumuabudu Mola wako peke yake bila kumshirikisha na chochote. Yeye ni Mmoja tu asiye na mshirika yoyote.


1695109756826.png

64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu.
(Qur-an 3 : 64)
 

Attachments

Rudi katika Uislam. Uislam ndio asili yako. Rudi katika kumuabudu Mola wako peke yake bila kumshirikisha na chochote. Yeye ni Mmoja tu asiye na mshirika yoyote.


View attachment 2754346
64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu.
(Qur-an 3 : 64)
uislam unasem Allah asitajwe pamoja na kiumbe yeyote,unaijua shahada ya kiislam inasemaje???
 
Kwa kuwa dini zimesukwa na watu, Mungu wa kweli hahitaji jumba kama hilo, hizo pesa zingejenga kituo cha watoto yatima.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Vituo vya mayatima vitajengwa na makanisa yatajengwa vyote vina umuhimu wake.

Ili uwahubirie watu habari za kusaidia yatima lazima uwe na nyumba ya ibada ambayo ni Kanisa so vyote vinafaa kuwepo.
 
Hizo
Kanisa katoliki Lina viwanda,vyuo vya ufundi,vyuo vya uuguzi,vyuo vikuu,shule zote,mashamba ya kilimo,Apartments,Benki TV,Redio nk..sasa unataka lifanye kipi ikupendeze Mzee.Acha mengine yapite.Kila watu wanapopost Dar es Salaam hawaachi kutumia picha ya st.Joseph Cathedral bila kujali dini ya anayepost kizuri hupendwa na Kila mtu.Mimi mwenye nikionaga miskiti mizuri navutiwa sio kwa mambo yake bali usanifu wake
Hizo shule na hospitali ananufaikaje muumini wa kanisa aliyetoa sadaka kufanikisha hiyo miradi? Je akiugua atatibiwa bure au kwa bei nafuu na kama hana ada mwanae ataweza soma bure au kwa bei nafuu?
 
Kwa nini tusiongeze idadi ya ibada? Ili tuwaudumie waumin wetu wote?

Kujenga kanisa gezaurole ni kutaka kufuta historia ya kanisa ilo kubwa hapo posta.

Kwa nini tusinumye majengo hapo posta tukajitanua?
 
Back
Top Bottom