Kanisa la Kilokole Lavunja ndoa baada ya Bibi harusi kukutwa hana Uke!

Viongozi wa dini wengi watu wa ovyo ,kazi kujiona wasafi na kuhukumu wengine..
 
Na wanaume nao wasiingie kwenye ndoa kama mitambo yao ina kasoro na haifanyi kazi yake ya asili kama kawaida
 
Kabla ya kuoa au kuolewa yafuatayo ni muhimu!
1.Fanya utafiti kule unakooa au kuolewa! Tabia,magonjwa,nk
2.Pili vipimo vya afya ni muhimu
3.Viungo vizima,vipo havipo!
Kwa harakaharaka tu, kama huyo mwanamke angekuwa hana Uke, asingekubali kuolewa...

Just imagine, mwanamue huna gobole 😬😬, unaoa mwanamke wa nini!?? 😁😁, au utatengeneza ya udongo kisha unaibandika na gundi πŸ€”πŸ€”
 
mjomba wapo watoto wanaofungwa kichawi pia swala la ndoa nio baina ya watu wawili.

muhimu kusema mchungaji kataka public intension ila kazingua kinyama.
Ni kweli mkuu wanaofungwa kichawi wapo, ila da hata uke haupo, Kwa upande wa mchungaji sasa anaudhi sana.
 
Kuna jamii moja hapa Tanzania (kabila naweka kapuni) wanawake wanatabia ya kuvuta kile kisimi ile kiwe kirefu eti ndo ujanja/ swagg za huko πŸ˜ƒπŸ€”, ukikaa kizembe tundu hulioni maana wengine vinakua virefu hadi wanavidumbukiza tena kule

Habari njema ni kwamba ni watamu sana na kuna namna ya kuwala na maajabu yao
 
Simpingi mchungaji angeweza kuchagua namna nyingine kuvunja ndoa na kulinda utu wa mwanamke. Hapo kautangazia umma kuwa hayuko sawa kwa maumbile kitu ambacho yeye hakuchagua alizaliwa vile.

Sasa huyo mama hatakanyaga tena kanisani na pia atahama mtaa
 
mchungaji anakwambia katundu kadogo sana.. alfu anacheeekaaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
sio kumdhalilisha tu kamuua kabisa maana kama mwepesi unaweza kujitundika kabisaa!
 
Simpingi mchungaji angeweza kuchagua namna nyingine kuvunja ndoa
hivi kanisa lina uwezo wa kisheria na ki-theolojia kuvunja ndoa ?

ushahidi wa mwanamke kwenye shauri hili la ndoa uko wapi ?
 
Hilo kanisa halina roho was mungu kabisa!

Kama kweli huyo ni mtumishi aliwezaje kufungisha ndoa yenye matatizo!!?

Kuna mengi yanaendelea kwenye haya makanisa Hadi unashangaa kama kweli mungu yupo au lah!!
 
hivi kanisa lina uwezo wa kisheria na ki-theolojia kuvunja ndoa ?

ushahidi wa mwanamke kwenye shauri hili la ndoa uko wapi ?
Wanatoa recomendations au maelekezo kwenye chombo cha sheria iwapo mambo yanayostahili ndoa hayajafikiwa na wahusika wakakiri ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…