Kanisa la Kilokole Lavunja ndoa baada ya Bibi harusi kukutwa hana Uke!

Kanisa la Kilokole Lavunja ndoa baada ya Bibi harusi kukutwa hana Uke!

Habari wadau,

Mchungaji wa kanisa la kilokole akitoa ushuhuda wa kilichotokea kwenye ndoa ya waumini wake. Bwana harusi na yeye anaeleza kwa urefu alichokutana nacho kwenye usiku wa kwanza wa ndoa yake.

Ndoa hiyo ilifungwa katika kanisa la Pentecostal Assemblies of God (PAG) na kuvunjwa kanisani baada ya ushahidi kuonesha tendo la ndoa haliwezi kufanyika sababu bibi harusi hana Uke wake.

Tazama video mwenyewe ujionee balaa la ndoa za "No sex before marriage".

Ukiwa na busara unavunja ndoa "Kwa sababu zisizozuilika" sio kwasababu muolewaji hana uke, pastor kazingua
 
Lazima mtambo utestiwe kabla, mambo ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia hapana๐Ÿคญ

Ila huyu mchungaji ni kama anaona sifa vile mimi naona anamudhalilisha kijana, hakukua na haja ya kumuita public hivo asimulie na kutaka kanisa alilofungua hiyo ndoa๐Ÿค”
 
Lazima mtambo utestiwe kabla, mambo ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia hapana๐Ÿคญ

Ila huyu mchungaji ni kama anaona sifa vile mimi naona anamudhalilisha kijana, hakukua na haja ya kumuita public hivo asimulie na kutaka kanisa alilofungua hiyo ndoa๐Ÿค”
Anahamasish tu test mitambo.sio kijana tu vp huyo mwanamke kamuumza kisakilojia.
 
Jmn kwani kitundu kidogo kinazuia uume kupita??
Si angetumia kirainishi sasa
Kuna wengine nyuchi zao ni ndogo na wana watoto
 
Kuna dada analia kule mahakama ya temeke na yeye kauziwa joka la kibisa. Yaani mbuzi kwenye gunia.

Ndoa za kikristo bila kuonjana unaweza ukauziwa maajabu ya dunia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari wadau,

Mchungaji wa kanisa la kilokole akitoa ushuhuda wa kilichotokea kwenye ndoa ya waumini wake. Bwana harusi na yeye anaeleza kwa urefu alichokutana nacho kwenye usiku wa kwanza wa ndoa yake.

Ndoa hiyo ilifungwa katika kanisa la Pentecostal Assemblies of God (PAG) na kuvunjwa kanisani baada ya ushahidi kuonesha tendo la ndoa haliwezi kufanyika sababu bibi harusi hana Uke wake.

Tazama video mwenyewe ujionee balaa la ndoa za "No sex before marriage".

Hapa ndiyo mtaelewa maana ya kutest mitambo kabla ya kuutangazia umma
 
Huyu mchungaji kenge kabisa, anawezaje kumdhalilisha mtu hadharani na kucheka ulemavu wa mtu tena wa kuzaliwa nao
 
lakini wanaojiita viongozi wa dini wapo kukenua meno tu mbele ya waumini huku wakisubilia sadaka
Worst mindset ever of the so called bishop, huyu alitakiwa kutumia uchungaji au uaskofu wake kumsaidia huyo binti anayepitia kipindi kigumu kwasababu na yeye hakupenda awe hivyo
 
Halafu msambazaji wa hii habari ni mwanamke mwenye jina la Joyce Patofondo, sijui anajisikiaje mwanamke mwenzake akidhalilishwa namna hiyo
1713607897138.png
 
Back
Top Bottom