min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Usijal humu wamelala😁😁😂😂Sasa si unisitiri mweeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijal humu wamelala😁😁😂😂Sasa si unisitiri mweeee
Hayo ni maigizo usiyaamini hata kidogo.Uyo mwanamke naye atakuwa anamatatizo ya akili, anaingia kwenye ndoa ilhali anajua kuna jambo la muhimu hatolitimiza ona sasa alivyoyolewa aibu.
Dunia na maajabu yake [emoji1745]Habari wadau,
Mchungaji wa kanisa la kilokole akitoa ushuhuda wa kilichotokea kwenye ndoa ya waumini wake. Bwana harusi na yeye anaeleza kwa urefu alichokutana nacho kwenye usiku wa kwanza wa ndoa yake.
Ndoa hiyo ilifungwa katika kanisa la Pentecostal Assemblies of God (PAG) na kuvunjwa kanisani baada ya ushahidi kuonesha tendo la ndoa haliwezi kufanyika sababu bibi harusi hana Uke wake.
Tazama video mwenyewe ujionee balaa la ndoa za "No sex before marriage".
Kwahyo mchungaji anataka watu wafanye kwanza? Maana kauli yake eti kauziwa mbuzi kwny gunia...sio kauli ya kichungaji na ni kauli ya kibazazi...
chap sasa 😌Usijal humu wamelala😁😁
Duuh...Kuna dada analia kule mahakama ya temeke na yeye kauziwa joka la kibisa. Yaani mbuzi kwenye gunia.
Ndoa za kikristo bila kuonjana unaweza ukauziwa maajabu ya dunia
Kalpana😁😁😁😄😄😄Duuh...
Ukiandika "duuh"Kalpana😁😁😁😄😄😄
huyu mchungaji anahitaji hekima ya kimungu sana, na kwa maneno yake haya aliyotamka na kusambaza, watu wengi sana watafanya uzinzi na kumwasi Mungu kwasababu yake, manake anawaasa vijana wafanyaje sasa? anaposema aliuziwa mbuzi kwenye gunia, anataka kusema vijana wawe wanatest kwanza kabla ya kutoa mahali? au anamaanisha nini? anaongea katika mwili au katika Roho?Habari wadau,
Mchungaji wa kanisa la kilokole akitoa ushuhuda wa kilichotokea kwenye ndoa ya waumini wake. Bwana harusi na yeye anaeleza kwa urefu alichokutana nacho kwenye usiku wa kwanza wa ndoa yake.
Ndoa hiyo ilifungwa katika kanisa la Pentecostal Assemblies of God (PAG) na kuvunjwa kanisani baada ya ushahidi kuonesha tendo la ndoa haliwezi kufanyika sababu bibi harusi hana Uke wake.
Tazama video mwenyewe ujionee balaa la ndoa za "No sex before marriage".
Walokole nyie ni matapeli na wanafki sana.huyu mchungaji anahitaji hekima ya kimungu sana, na kwa maneno yake haya aliyotamka na kusambaza, watu wengi sana watafanya uzinzi na kumwasi Mungu kwasababu yake, manake anawaasa vijana wafanyaje sasa? anaposema aliuziwa mbuzi kwenye gunia, anataka kusema vijana wawe wanatest kwanza kabla ya kutoa mahali? au anamaanisha nini? anaongea katika mwili au katika Roho?
Nawaasa vijana wa sasa, msimsikilize huyu mchungaji, kuzini kabla ya ndoa ni dhambi, ndio icho Biblia inaita "uasherati", na Biblia inasema waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu. sasa anataka wafanyeje? wawe wanaenda kwa daktari au wawe wanatuma mashangazi wakaangalie kabla ya mahali au wawe wanafanyeje ili kujua ana uke au la? na mbona anavyoongea anaongea kizinzizinzi sana? anategemea matokeo ya hayo anayoongea kwenye jamii iwe nini?
Ndugu zangu msidanganywe, mtenda dhambi ni mtumwa wa dhambi tu.
Ina maana hana dudu kabisaa?Habari wadau,
Mchungaji wa kanisa la kilokole akitoa ushuhuda wa kilichotokea kwenye ndoa ya waumini wake. Bwana harusi na yeye anaeleza kwa urefu alichokutana nacho kwenye usiku wa kwanza wa ndoa yake.
Ndoa hiyo ilifungwa katika kanisa la Pentecostal Assemblies of God (PAG) na kuvunjwa kanisani baada ya ushahidi kuonesha tendo la ndoa haliwezi kufanyika sababu bibi harusi hana Uke wake.
Tazama video mwenyewe ujionee balaa la ndoa za "No sex before marriage".
Bado bado kidogoMmeshalala nafikiri🤫
tumekutapeli nini ndugu yangu? sema hapahapa.Walokole nyie ni matapeli na wanafki sana.
Wanatoa recomendations au maelekezo kwenye chombo cha sheria iwapo mambo yanayostahili ndoa hayajafikiwa na wahusika wakakiri ni kweli.
Uzinduzi wa Album Volume ngapi?Sasa wachungaji kuweni wavumili mkisikia kuna kijana kazindua albamu kabla ya idhini yenu mjue ni kukwepa matokeo haya kabla ya ndoa kufungwa. Hakuna dhambi kuzindua kama mtu umedhamaria awe mke wako anazinduliwa tu bila kizuizi, hayo mambo ya harusi yatafuata kama kuna umuhimu
Mwanamke ana kitundu kidogo kabisaaa!😂😂😂😂Mchungaji hana akili kabisa!!! 🤒🤒🤒,