Kanisa la KKKT kashfa ya ubaguzi ndani yake

Kanisa la KKKT kashfa ya ubaguzi ndani yake

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow

Kanisa la KkKT ndani yake lina ubaguzi sana kuanzia kwenye jumiya mpaka kanisani ukaaji wake ndani ya kanisa kuna matabaka badala kanisa kuwafanya watu wawe wa moja badala yake linawatenga

Unakuta jumiiya ya inaitwa upend ndani yake wamejaa kimario tu na wote wanapesa tu na katika maamuzi hawa wasio nacho hawapewi nafasi ya kutoa maamuzi


Pia kwenye sadaka au mchango wanaanza kuwaita wale wenye pesa waseme watachangia bei gani then wataleta sanduku la sadaka wengine watoe

Hii tofauti kwa roma kama kuna mchango wataweka sanduku wote mtaenda kutoa pale iwe wa 200 au 10000 wote mtatoa pale na hakuna atakae jua kama umetoa 200 labda kama mkristu mmoja ameguswa sana ataenda ofisi ya paroko atatoa sadaka yake na kuficha jina na jumapili ijayo watatanga kuwa familia ya mkristo mmoja imetoa 200000 kwa ajiri ya mshumaa wa pasaka au msalaba ivyo lakini sio kimario ametoa 600000 hii inaleta ubaguzi

Wachungaji wao pia wanawatetemekea sana watu wenye pesa tofauti na roma mapadri wanaona waumin wote ni sawa uwe mwenye pesa au masikin wote sawa
 
Hellow

Kanisa la KkKT ndani yake lina ubaguzi sana kuanzia kwenye jumiya mpaka kanisani ukaaji wake ndani ya kanisa kuna matabaka badala kanisa kuwafanya watu wawe wa moja badala yake linawatenga

Unakuta jumiiya ya inaitwa upend ndani yake wamejaa kimario tu na wote wanapesa tu na katika maamuzi hawa wasio nacho hawapewi nafasi ya kutoa maamuzi


Pia kwenye sadaka au mchango wanaanza kuwaita wale wenye pesa waseme watachangia bei gani then wataleta sanduku la sadaka wengine watoe

Hii tofauti kwa roma kama kuna mchango wataweka sanduku wote mtaenda kutoa pale iwe wa 200 au 10000 wote mtatoa pale na hakuna atakae jua kama umetoa 200 labda kama mkristu mmoja ameguswa sana ataenda ofisi ya paroko atatoa sadaka yake na kuficha jina na jumapili ijayo watatanga kuwa familia ya mkristo mmoja imetoa 200000 kwa ajiri ya mshumaa wa pasaka au msalaba ivyo lakini sio kimario ametoa 600000 hii inaleta ubaguzi

Wachungaji wao pia wanawatetemekea sana watu wenye pesa tofauti na roma mapadri wanaona waumin wote ni sawa uwe mwenye pesa au masikin wote sawa
Ndugu yangu wewe tafuta pesa, vyeo na umaarufu, utakuja hapa kuniambia kama kuna mtu atakubagua popote kwenye dini. Hiyo hali uliyoisema sio kubaguliwa hiyo inaitwa kutambuliwa vs kutokutambuliwa

Sio Lutherani tu hata katoliki kote wenye mkwanja hupewa kipaumbele. Wewe huna hata pesa ya kukarabati kengele ya kanisa, nani akutambue?
 

Tafuta pesa mkuu, Dunia ya sasa kama hauna pesa hakuna sehemu utaheshimika.

Hapo hakuna ubaguzi, ndio uhalisia wa mambo katika Dunia ya leo.

Hata ukifa leo wewe, atakuzika Padre lakini akifa aliyekuwa analichangia Kanisa million 500, Maaskofu watakimbizana kumzika hata kama alioa wake wanne.
 

Tafuta pesa mkuu, Dunia ya sasa kama hauna pesa hakuna sehemu utaheshimika.

Hapo hakuna ubaguzi, ndio uhalisia wa mambo katika Dunia ya leo.

Hata ukifa leo wewe, atakuzika Padre lakini akifa aliyekuwa analichangia Kanisa million 500, Maaskofu watakimbizana kumzika hata kama alioa wake wanne.
Umoj uko wap
 
Hellow

Kanisa la KkKT ndani yake lina ubaguzi sana kuanzia kwenye jumiya mpaka kanisani ukaaji wake ndani ya kanisa kuna matabaka badala kanisa kuwafanya watu wawe wa moja badala yake linawatenga

Unakuta jumiiya ya inaitwa upend ndani yake wamejaa kimario tu na wote wanapesa tu na katika maamuzi hawa wasio nacho hawapewi nafasi ya kutoa maamuzi


Pia kwenye sadaka au mchango wanaanza kuwaita wale wenye pesa waseme watachangia bei gani then wataleta sanduku la sadaka wengine watoe

Hii tofauti kwa roma kama kuna mchango wataweka sanduku wote mtaenda kutoa pale iwe wa 200 au 10000 wote mtatoa pale na hakuna atakae jua kama umetoa 200 labda kama mkristu mmoja ameguswa sana ataenda ofisi ya paroko atatoa sadaka yake na kuficha jina na jumapili ijayo watatanga kuwa familia ya mkristo mmoja imetoa 200000 kwa ajiri ya mshumaa wa pasaka au msalaba ivyo lakini sio kimario ametoa 600000 hii inaleta ubaguzi

Wachungaji wao pia wanawatetemekea sana watu wenye pesa tofauti na roma mapadri wanaona waumin wote ni sawa uwe mwenye pesa au masikin wote sawa
Hilo kanisa bana.. makolokolo meengiii..
Poleni
 
Hellow

Kanisa la KkKT ndani yake lina ubaguzi sana kuanzia kwenye jumiya mpaka kanisani ukaaji wake ndani ya kanisa kuna matabaka badala kanisa kuwafanya watu wawe wa moja badala yake linawatenga

Unakuta jumiiya ya inaitwa upend ndani yake wamejaa kimario tu na wote wanapesa tu na katika maamuzi hawa wasio nacho hawapewi nafasi ya kutoa maamuzi


Pia kwenye sadaka au mchango wanaanza kuwaita wale wenye pesa waseme watachangia bei gani then wataleta sanduku la sadaka wengine watoe

Hii tofauti kwa roma kama kuna mchango wataweka sanduku wote mtaenda kutoa pale iwe wa 200 au 10000 wote mtatoa pale na hakuna atakae jua kama umetoa 200 labda kama mkristu mmoja ameguswa sana ataenda ofisi ya paroko atatoa sadaka yake na kuficha jina na jumapili ijayo watatanga kuwa familia ya mkristo mmoja imetoa 200000 kwa ajiri ya mshumaa wa pasaka au msalaba ivyo lakini sio kimario ametoa 600000 hii inaleta ubaguzi

Wachungaji wao pia wanawatetemekea sana watu wenye pesa tofauti na roma mapadri wanaona waumin wote ni sawa uwe mwenye pesa au masikin wote sawa
Inaelekea wewe mmoja wa wasio watoaji kanisani.
Hao unaona wanatambuliwa ujue wako mbele sana katika kujitoa kwa ajili ya kanisa.
Sasa wewe unatoa 200 kama sadaka, halafu uwekwe mbele!
Kanisa si litakufa?
 
Hellow

Kanisa la KkKT ndani yake lina ubaguzi sana kuanzia kwenye jumiya mpaka kanisani ukaaji wake ndani ya kanisa kuna matabaka badala kanisa kuwafanya watu wawe wa moja badala yake linawatenga

Unakuta jumiiya ya inaitwa upend ndani yake wamejaa kimario tu na wote wanapesa tu na katika maamuzi hawa wasio nacho hawapewi nafasi ya kutoa maamuzi


Pia kwenye sadaka au mchango wanaanza kuwaita wale wenye pesa waseme watachangia bei gani then wataleta sanduku la sadaka wengine watoe

Hii tofauti kwa roma kama kuna mchango wataweka sanduku wote mtaenda kutoa pale iwe wa 200 au 10000 wote mtatoa pale na hakuna atakae jua kama umetoa 200 labda kama mkristu mmoja ameguswa sana ataenda ofisi ya paroko atatoa sadaka yake na kuficha jina na jumapili ijayo watatanga kuwa familia ya mkristo mmoja imetoa 200000 kwa ajiri ya mshumaa wa pasaka au msalaba ivyo lakini sio kimario ametoa 600000 hii inaleta ubaguzi

Wachungaji wao pia wanawatetemekea sana watu wenye pesa tofauti na roma mapadri wanaona waumin wote ni sawa uwe mwenye pesa au masikin wote sawa

Hiyo ndio inaitwa kula na kipofu!
Usipompapatikia huyo mwenye hela huo mchongo unaotaka utatoa wewe?
Ile wanchungaji wanaita hivyo ili mlengwa aone aibu lazma ataropoka tuu hela nginyi
Kingine sio ubaguzi ni ile hali ya mazoea tuu kwa muunini wako maana ni mtoaji
 
Ndugu yangu wewe tafuta pesa, vyeo na umaarufu, utakuja hapa kuniambia kama kuna mtu atakubagua popote kwenye dini. Hiyo hali uliyoisema sio kubaguliwa hiyo inaitwa kutambuliwa vs kutokutambuliwa

Sio Lutherani tu hata katoliki kote wenye mkwanja hupewa kipaumbele. Wewe huna hata pesa ya kukarabati kengele ya kanisa, nani akutambue?

Kuna soda yako inapoa hapa stendi
 
Inaelekea wewe mmoja wa wasio watoaji kanisani.
Hao unaona wanatambuliwa ujue wako mbele sana katika kujitoa kwa ajili ya kanisa.
Sasa wewe unatoa 200 kama sadaka, halafu uwekwe mbele!
Kanisa si litakufa?
Mimi nachopinga ni kile cha kuwatenga wengin kumbuka million aijakamilika kama hakuna 200
 
Hellow

Kanisa la KkKT ndani yake lina ubaguzi sana kuanzia kwenye jumiya mpaka kanisani ukaaji wake ndani ya kanisa kuna matabaka badala kanisa kuwafanya watu wawe wa moja badala yake linawatenga

Unakuta jumiiya ya inaitwa upend ndani yake wamejaa kimario tu na wote wanapesa tu na katika maamuzi hawa wasio nacho hawapewi nafasi ya kutoa maamuzi


Pia kwenye sadaka au mchango wanaanza kuwaita wale wenye pesa waseme watachangia bei gani then wataleta sanduku la sadaka wengine watoe

Hii tofauti kwa roma kama kuna mchango wataweka sanduku wote mtaenda kutoa pale iwe wa 200 au 10000 wote mtatoa pale na hakuna atakae jua kama umetoa 200 labda kama mkristu mmoja ameguswa sana ataenda ofisi ya paroko atatoa sadaka yake na kuficha jina na jumapili ijayo watatanga kuwa familia ya mkristo mmoja imetoa 200000 kwa ajiri ya mshumaa wa pasaka au msalaba ivyo lakini sio kimario ametoa 600000 hii inaleta ubaguzi

Wachungaji wao pia wanawatetemekea sana watu wenye pesa tofauti na roma mapadri wanaona waumin wote ni sawa uwe mwenye pesa au masikin wote sawa
kuna watu bado mnapotezaga muda na maswala ya dini haya na hizi sheria waliojiwekea wanadamu..?
 
Ukikataa kukubaliana na hali ya sasa utateseka sana kihisia.

Jijenge wewe kiuchumi usimame, hakikisha unafanya hivyo, Mchungaji wako ataanza kukutumia watu nyumbani kwako asipokuona kanisani zaidi ya jumapili mbili.

Mkono mtupu haulambwi!
Mh mimi ni mkatoriki padri hanaga mda asipokuona kanisan mkikutana wala hana uho muda wakukuuliza atakwambia mambo mengine kabisa
 
Back
Top Bottom