Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Wengine wamekubaliana n iyo haliHiyo ndio inaitwa kula na kipofu!
Usipompapatikia huyo mwenye hela huo mchongo unaotaka utatoa wewe?
Ile wanchungaji wanaita hivyo ili mlengwa aone aibu lazma ataropoka tuu hela nginyi
Kingine sio ubaguzi ni ile hali ya mazoea tuu kwa muunini wako maana ni mtoaji