Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
Wengine wamekubaliana n iyo haliHiyo ndio inaitwa kula na kipofu!
Usipompapatikia huyo mwenye hela huo mchongo unaotaka utatoa wewe?
Ile wanchungaji wanaita hivyo ili mlengwa aone aibu lazma ataropoka tuu hela nginyi
Kingine sio ubaguzi ni ile hali ya mazoea tuu kwa muunini wako maana ni mtoaji
Wewe tambua tu, kama huna pesa/cheo/umaarufu wa kutosha basi umuhimu wako kwenye jamii unakuwa chini. Hii iko dunia nzima kwenye taasisi zote.Mimi nachopinga ni kile cha kuwatenga wengin kumbuka million aijakamilika kama hakuna 200
Wasio kuwa na pesa wana mawazo mazuri sana na michango yao iko poaWewe tambua tu, kama huna pesa/cheo/umaarufu wa kutosha basi umuhimu wako kwenye jamii unakuwa chini. Hii iko dunia nzima kwenye taasisi zote.
Tafuta pesa ili utambulike na kuthaminiwa.
Sawa mkuu ila mm sikubalian na ubagui🤔Ushauri tu ishi maish yako dini iwe kigezo cha mwisho kupatana na muumba wako maadamu umeshajifunza na kuelewa jinsi ya kusali salia nyumbani kanisani nenda unapoona wewe inafaa dini ni uhuni, dini ni biashara, dini ni sehemu ya kushika watu kifikra, dini ni wizi , weee endelea kuumiza kichwa chako uku wengine wanafaidika kwa wingi wenu kanisani
Ubaguzi lazima uwepo, wewe unataka ufanane na aliyetoa 100,000 na wakati umetoa 200? Lazima ujihisi umebaguliwa, machangizo ni tofauti na sadaka. Watu waliotoa machangizo kwenye biblia kimetajwa na kiasi walichotoa.Hellow
Kanisa la KkKT ndani yake lina ubaguzi sana kuanzia kwenye jumiya mpaka kanisani ukaaji wake ndani ya kanisa kuna matabaka badala kanisa kuwafanya watu wawe wa moja badala yake linawatenga
Unakuta jumiiya ya inaitwa upend ndani yake wamejaa kimario tu na wote wanapesa tu na katika maamuzi hawa wasio nacho hawapewi nafasi ya kutoa maamuzi
Pia kwenye sadaka au mchango wanaanza kuwaita wale wenye pesa waseme watachangia bei gani then wataleta sanduku la sadaka wengine watoe
Hii tofauti kwa roma kama kuna mchango wataweka sanduku wote mtaenda kutoa pale iwe wa 200 au 10000 wote mtatoa pale na hakuna atakae jua kama umetoa 200 labda kama mkristu mmoja ameguswa sana ataenda ofisi ya paroko atatoa sadaka yake na kuficha jina na jumapili ijayo watatanga kuwa familia ya mkristo mmoja imetoa 200000 kwa ajiri ya mshumaa wa pasaka au msalaba ivyo lakini sio kimario ametoa 600000 hii inaleta ubaguzi
Wachungaji wao pia wanawatetemekea sana watu wenye pesa tofauti na roma mapadri wanaona waumin wote ni sawa uwe mwenye pesa au masikin wote sawa
Mchango si sadak?Ubaguzi lazima uwepo, wewe unataka ufanane na aliyetoa 100,000 na wakati umetoa 200? Lazima ujihisi umebaguliwa, machangizo ni tofauti na sadaka. Watu waliotoa machangizo kwenye biblia kimetajwa na kiasi walichotoa.
Acha mawazo potofu.
Kama ilivyo hakuna mwanadamu mkamilifu wote wanamapungufu basi hakuna dini perfect ukienda kwa wakatolik wako mapadre wana kashfa ya kuwalawati watoto we unaona ndogoLakin watu wanakaza fuv
Kanisan hakuna mchango bali ni sadaka hata kwa Mungu anayetoa sadaka sana ananafasi kubwa kuliko yule ambaye hatoi au anatoa kidogoMchango si sadak?
Sambeke hakuoa kanisani alikua jambazi lakin alipokufa alizikwa na askofuMh mimi ni mkatoriki padri hanaga mda asipokuona kanisan mkikutana wala hana uho muda wakukuuliza atakwambia mambo mengine kabisa
Najua ila ipo sababu ilimfanya azikiwe na askofuSambeke hakuoa kanisani alikua jambazi lakin alipokufa alizikwa na askofu
Mitazamo tuKanisan hakuna mchango bali ni sadaka hata kwa Mungu anayetoa sadaka sana ananafasi kubwa kuliko yule ambaye hatoi au anatoa kidogo
Hata ukienda kwenye familia anayetoa zaid wazazi watampenda zaid, ukija kwenye jamii watoaji wakubwa wa maendeleo wanaheshima zaid ya wale ambao hawatoi kabisa au wanatoa kidogo
Sehemu yeyote ile kama hutoi au unatoa kidogo huwez pewa heshima kama yule anayetoa sana in short hekima ya maskin aisikilizwi
Na huu ndio uhalisia !!
Tafuta pesa mkuu, Dunia ya sasa kama hauna pesa hakuna sehemu utaheshimika.
Hapo hakuna ubaguzi, ndio uhalisia wa mambo katika Dunia ya leo.
Hata ukifa leo wewe, atakuzika Padre lakini akifa aliyekuwa analichangia Kanisa million 500, Maaskofu watakimbizana kumzika hata kama alioa wake wanne.
Biblia inasema hekima ya maskin haisikilizwi mhubiri 9:16Mitazamo tu
Hakumsaidia kwasababu ni msaada kwenye sinagogi bali yesu akuja kuleta mwanga na ndio maana akubagua tajir wala masikin alikuwa anawasaidia kulinga na mahitaji yaoBiblia inasema hekima ya maskin haisikilizwi
Kuna siku Yesu walimfuata watu wakamwambia kuna mtu huwa anachangia sana kwenye sinagogi letu amepata shida msaidie na Yesu alimsaidia sababu yule mtu alikua ni msaada kwenye sinagogi
Nachoshangaa unapinga nin
Biblia inasema nasadaka yako iwe siri ata mkono wa pili usijueUmeona wa KKKT wamelalamika? Au umekuja kuwasemea? Sadaka huambatana na baraka, kusema mtu sadaka aliyoitoa hakufanyi kuwa yeye ndo wa thamani sana kuliko wengine lkn Mungu anaweza kumbariki zaidi na huo ukawa ushududa wa moja kwa moja kwa wengine. Lakini pia kutoa siyo shilingi mia mbili au laki mbili, bali inategemea na uchaji ulioambatana na hiyo sadaka. Hiyo wewe unayoisema siyo KKKT ninayoijua mimi.
Tafakari kabla hujauliza swaliMchango si sadak?