Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Status
Not open for further replies.

dosama

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
912
Reaction score
957
Watu wanne wakiwa na chupa nne za bia huku zikiwa na mafuta ya petrol wakatupia ndan ya kanisa na kukimbia huku ikiwa waumini wake wakiwa katika maombi ya kujiandaa na semina ya injili wiki ijayo
---
Ni vijana wa nne walirusha chupa na taa ya chemli, baada ya kutupa ile taa ililipukia ndani, tena kwenye altare (madhabahu) na kulipuka. Ilikuwa ni saa 8 usiku, na kulkuwa na waumini ndani wakisali...

Baadhi ya vitu vimeungua ikiwemo BIBLIA takatifu na makapeti ya ndani.. Moto huo umezimwa na waumini baada ya taharuki kuisha... Ni kanisa la Kkt usharika wa segerea Dar es salaam...

Baada ya kuchoma kipindi cha nyuma makanisa naona wameanza tena mambo haya yasiyo na tija kwa Taifa..nilazima tuyapinge na kuyakataa mambo haya.. Wa Tanzania hatuna utamaduni huu.. LAKINI KWA NINI YAMEKUJA NA KUWA MENGI KWENYE AWAMU HII YA RAISI KIKWETE? kwanini miaka ya nyuma hatukusikia mambo kama haya?

PIA SOMA
- Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana

~ Matukio ya Watu kupotea na wengine kudaiwa kutekwa, nini kinaendelea kuhusu usalama wa raia

- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
 
hii taarifa imerushwa itv,mchungaji wa kanisa kidogo alie.
 
Nimeiangalia hiyo taarifa nimeshangaa sana..... Watanzania tunakoelekea si kuzuri

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kama Policcm wangeachana na CHADEMA na kuanza kufanya kazi zao kwa mujibu wa sharia, matukio kama haya yasingetokea. Waislamu na Wakristo tuungane kuiondoa CCM madarakani 2015, otherwise matunda ya Uhuru tutayasikia tuu
 
Hapo watu wamekwisha jenga hisia......dini fulani hiyo.
 
Hivi, ni kuwa polisi imeshindwa kabisa kukamata wale wa olasaiti? Kwa style hii, makanisa mengi sana yatachomwa moto maana wachomaji na walipuaji wanajua polisi hawawezi watafuta na sembuse kuwakamata, wanasubiri ushahidi wa ofisini.
 
Kwa hiyo watu wanne wameonekana na wakakimbia! Hii nchi tunaelekea wapi? Kweli CCM wametufikisha pabaya. Hii yote ni kwa sababu ya ahadi walizotoa CCM kwa Waislamu na wameshindwa kuzitimiza
 
Nadhani huu ndo mfumo kristu ambao wenzetu wanaulalamikia ndiyo maana yanaungua makanisa tu na si misikiti. Majaribu hayana budi kuja lakini ole wake aletaye majaribu. Selikali yaangalieni mamba haya kwa jicho lenye darubini kali na kutafuta njia sahihi za kutatua matatizo haya kwa kuwa kunasiku moto utawashwa na asiwepo wa kuuzima. Mungu bariki tanzania
 
Kwa hiyo watu wanne wameonekana na wakakimbia! Hii nchi tunaelekea wapi? Kweli CCM wametufikisha pabaya. Hii yote ni kwa sababu ya ahadi walizotoa CCM kwa Waislamu na wameshindwa kuzitimiza

akili yako ina matatizo ya akili ndio mana unaandika upuuzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom