ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Acha kupotosha watu,imerushwa itv,mchungaji wakiwa na waumini kanisan walisikia mlipuko mkubwa mbele madhabahu walipokimbilia wakakuta madhabahu inaungua uku kilichorushwa(chupa iliyo na utambi na petrol) kikionekana mbele ya kanisa wakat linateketeaNi shoti ya umeme mleta mada amepotosha