Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Status
Not open for further replies.
Kipaumbele cha jeshi la polisi nchini ni kupambana na CDM HUO MDA WAKUTAFUTA WALIPUA MABOMU MAKANISANI HAWANA. Wangekua bize kupambana na wahalifu naamini hata askari feki wasingekuwepo.

Labda wanasubiri bomu lipigwe Ikulu ndo watafanya kazi yao kama ilivyokuwa kwa 'ze utamu'.
Polisi fanyeni kazi yenu.
 
Ccm inatafuta mbinu kuwagawa watu ili itawale kama ni wahuni au waislam wachache wenye nia mbaya wanasita nini kuwakamata kwa inteljensia yao wanayoitumiaga kwa wapinzani ....yaani mi ningekuwa mwandishi wa habari nipo kwenye press conference ya policcm nadhani naweza pata hasira nikampiga senzo au yule kengeza na kopo la maji maana wanakera sana hawa shume
 
  • Thanks
Reactions: prs
Hivi hawa watu wanamuabudu Mungu yupi anaependa shari kiasi hiki?

Mungu wao ni Mungu wa laana, visasi, mashetani, uchawi, uzinzi, ulipizaji wa visasi, mauaji,uganga nk ni Mungu wao ni wamapepo!
LAANA YA MUNGU ITAWASHUKIA HUKO WALIKOJIFICHA...
 
Hapo watu wamekwisha jenga hisia......dini fulani hiyo.
Hapana,.... ni wafuasi wa issa ponda sio dini fulani. Wao ndio wanakazana kupandikiza chuki baina ya dini na dini. Ponda yuko jela tupambane pamoja kuhusu harakati zake na wengine kama yeye.
 
Hapana,.... ni wafuasi wa issa ponda sio dini fulani. Wao ndio wanakazana kupandikiza chuki baina ya dini na dini. Ponda yuko jela tupambane pamoja kuhusu harakati zake na wengine kama yeye.
Mkuu kwani Ponda hana dini?
 
Just to correct u,sadaka ina utaratibu wake unaojulikana na kila muumini!kwenye makanisa haya matatu, Roman Catholic,Lutheran na Anglican ni vigumu sana kusikia watu wanagombea sadaka..au wewe unafahamu sehemu walipogombea sadaka?toa uthibitisho!

Tatizo lake mkuu ni kukurupuka.anashindwa kuwatofautisha catholic lutherani na Anglican na haya makanisa madogo... Kanuni ya makanisa hayo matatu hata siku moja hawagombei sadaka.. Na ndo makanisa yanayosomesha %80 ya wasomi wa Tanzania.
 
Mungu wao ni Mungu wa laana, visasi, mashetani, uchawi, uzinzi, ulipizaji wa visasi, mauaji,uganga nk ni Mungu wao ni wamapepo!
LAANA YA MUNGU ITAWASHUKIA HUKO WALIKOJIFICHA...
Hakika huu ni ufedhuli na ushetani uliokidhiri!
 
hao ni wafuasi wa ponda na uamsho tu..
ndiyo mikakati wanayopanga kila siku.
ushahidi naomba vyombo usalama vitembeleee fb page za uamsho asili na marafiki wa radio imaan.

pia group la mujahidina hukohuko fb.
ni kukosa akili huwezi kuangamiza ukristo kwa mtindo huo.wanahangakia ya mwili hao badala mambo ya rohoni nifaida kufa katka krsto.
 
Mwenyenzi MUNGU wewe ni mwingi kwetu wa Rehema Baba wetu wa Mbinguni.
BABA TULINDE SISI WAJA WAKO BWANA WA MAJESHI,SHUSHA MALAIKA WAKO MWENYENZI NA WATULINDE DAIMA, ninaenda kinyume kabisa na mwovu shetani kwani hana mamlaka juu yako Bwana wetu.

AMEN!
 
Tumwombe Mungu ili nchi yetu iendelee kuwa na amani.Ninasema tumwombe Mungu atusaidie maana ni msaada pekee uliopo. Serikali walishakiri Bungeni kwamba walishachoka. Hiyo ni kauli ya kukata tamaa na tusitegemee lolote.
 
Mi maswali yangu ambayo ni magumu, ni kwa nini yanatokea kwenye hii serikali ya awamu ya nne? Kwa nini matukio haya hayakutokea kipindi kingine? Maswali haya hufanya moyo wangu kuwa na hasira sana...
 
People are interested with the topic. There are currently 205 users browsing this thread. (37 members and 168 guests)
Eberhard, Bangoo, BongeMwepesi, LiverpoolFC, MPANDA Jr, Aadilu, Eshacky, Puppy, Torch, Tilalilasema, mjasiria, mtzedi, Kikwajuni one, Elli, Mzito Kabwela, pmwasyoke, socrates jr, ajili ibrahim, Nkoboiboi, KOKUTONA, Prisss, Tanganyika jeki, dosama, St.Apolinary, Kagalala, agatony8l, J. Mangu, Eugeniafaith, Janjaweed, Bobwe, mtungutu, Masanilo, Fitinamwiko, kubukubu, Chibolo, jogi, Meela
 
Kwa mtindo huu bado kuna binadamu wenye roho ngumu sana
 
Nyumba yetu haina baba.kila mtoto kaota mapembe anafanya vurugu anavyotaka.watanzania wenzangu turudishe heshima ya nyumba yetu 2015.tuwarudishe "viongozi" serikalini na sio "wafanyabiashara".
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom