Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Status
Not open for further replies.
Jaman je kuna uchunguzi wowote liofanywa mbona kuna baadhi ya watu washaanza kuwatuhum watu fulan kuhusika bila ya ushaidi jaman tuwen makin na mambo tunayo andika waweza ukaona ni kitu kidogo lakin IMPACT yake ikawa kubwa .REMEMBER NO EVIDENCE NO SAY
 
na hapa tunasubiri FBI waje watupe majibu? wamefanya hivyo maana kiongozi wao yupo segerea
 
Jaman je kuna uchunguzi wowote liofanywa mbona kuna baadhi ya watu washaanza kuwatuhum watu fulan kuhusika bila ya ushaidi jaman tuwen makin na mambo tunayo andika waweza ukaona ni kitu kidogo lakin IMPACT yake ikawa kubwa .REMEMBER NO EVIDENCE NO SAY
Kila siku wanachoma makanisa tunaishia kuwachukulia poa tu who they,sio binadam kama sisi,they deserve smthn just wait...
 
Tunaweza tusiamini lakini ni kweli kwamba "HII CHEMBE YA AMANI ILIYOPO KATI YA WAISLAM NA WASIOKUA WAISLAM" basi ni baraka tu ya Bwana lakini si juhudi za waumini wenyewe!! Kwanini tunatuhumiana katika kila jambo? na kwa nini tunakurupuka baada ya kupata taarifa zenye utata kabla ya kupisha matokeo ya uchunguzi!! Kumbukeni kipindi cha milipuko isemwayo ilikua ya AL-QAEDA, baada la kila mlipuko watu waliamini ama atakua mwarabu, au msomali, lakini baadae ikaja kugundulika MIZUNGU NAYO IMO!! Hakuna haja ya kukashifiana imani zetu, patafutwe sababu ya matokeo haya na hatua stahili zichukuliwe huku jamii yetu ikiwa bado na upendo na umoja....
 
Tunaweza tusiamini lakini ni kweli kwamba "HII CHEMBE YA AMANI ILIYOPO KATI YA WAISLAM NA WASIOKUA WAISLAM" basi ni baraka tu ya Bwana lakini si juhudi za waumini wenyewe!! Kwanini tunatuhumiana katika kila jambo? na kwa nini tunakurupuka baada ya kupata taarifa zenye utata kabla ya kupisha matokeo ya uchunguzi!! Kumbukeni kipindi cha milipuko isemwayo ilikua ya AL-QAEDA, baada la kila mlipuko watu waliamini ama atakua mwarabu, au msomali, lakini baadae ikaja kugundulika MIZUNGU NAYO IMO!! Hakuna haja ya kukashifiana imani zetu, patafutwe sababu ya matokeo haya na hatua stahili zichukuliwe huku jamii yetu ikiwa bado na upendo na umoja....
Hatua zipi toka yaanze kutokea haya,shekhee Kikwete analijua hilo...
 
Watu wote wana mapenzi na dini zao hilo ni jema.Ila kukashifu dini ya mtu mwingine moderator chukueni hatua.
 
Nimesoma Comment nyingi humu najikuta nakata tamaa, kwani nimegundua kazi ya
kuiondoa CCM madarakani ni ngumu sana, yaani mpaka sasa tumeshindwa kujua ni
nani muhusika wa tukio hili?

Nakumbuka rafiki yangu fulani alitumwa kwenda Zanzibar kuchocha mzozo baina ya
Wapemba na Waunguja kule Zanzibar........ TUMEKWISHA NGOJA NIAME NCHI.
 
heshima nikitu kizuri,watanzania tujiangalie.tusisimame nakugombana.tuombe mafisadi napolisi wao wafanye uchunguzi.mtagombanishwa ili mtawaliwe milele.
 
Watu wanne wakiwa na chupa nne za bia huku zikiwa na mafuta ya petrol wakatupia ndan ya kanisa na kukimbia huku ikiwa waumini wake wakiwa katika maombi ya kujiandaa na semina ya injili wiki ijayo
Hizi ni zile fuasi za bwana ponda thus why kule kambini tunamlaumu jamaa aliekikosa kichwa kile akapiga bega yote haya wala msingeskia nakwambieni. polen waungwana na waumini wa hapo segerea.
 
Kuna mtu kule Facebook kwenye group la wasafiri wa kwenda mbinguni alikuwa anawafundisha waislamu wenzake jinsi ya kutengeneza bomu la petrol kwa kutumia petrol, chupa na utambi atafutwe haraka. Post yake bado itakuwepo pale.

Atafutwe na nani??? Polisi wako busy na wapenda kujifotoa wakati wakingonoka
 
nimesikia mlinzi wa kanisa hilo anashikiliwa kwa uchunguzi zaidi dah chonde chonde tuvumiliane tusilipe kisasi kwa wasiostahili.
wakristo ni waungwa mbona tukitaka kulipa kisas tungeuwa hawa omba omba wote, sisi tuna pgana vita vya kiroho sio damu na nyama ila makubwa yatawapata hawa.
 
Just to correct u,sadaka ina utaratibu wake unaojulikana na kila muumini!kwenye makanisa haya matatu, Roman Catholic,Lutheran na Anglican ni vigumu sana kusikia watu wanagombea sadaka..au wewe unafahamu sehemu walipogombea sadaka?toa uthibitisho!


Una uhakika kuwa KKT hakujawahi kutokea manung'uniko juu ya maslahi mkuu? Hili sakata unalikumbuka na liliishia wapi?

http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/8085-mgogoro-mpya-waibuka-kkkt

Unalikumbuka lile sakata la waumini wa kanisa hili kufunga milango ili ibada isifanyike kutokana na kutokubaliana na mambo fulani katika uongozi wa Kanisa?

Unakumbuka sakata la Katibu mkuu wa KKT ndugu Mwenegoha kuwafungulia mashtaka maaskofu kadhaa ndani ya kanisa hili na consequences zake? ( Karugendo Blog: MGOGORO KKKT)

Vipi kuhusu uchaguzi wa Kiongozi mkuu wa Kanisa hapa nchini na lile zengwe lake je lilitatuliwa sawasawa?

nani anajua mwisho wa haya masakata yote na je pande kinzani zilipata mwafaka?

MY TAKE:
Mara kwa mara watu tumekuwa tukikurupuka (Kamanda Moshi hauhusiki na hili) na mawazo yaliyotujaa vichwani mwetu bila kufikiria kwa undani. Hili sakata jeshi la polisi lifanye kazi yake na ukweli utajulikana tu. Na yeyote atakayebainika ashughulikiwe ipasavyo.
 
Hao waliochoma watakuwa wafuasi wa Anglican nasikia haziivi na Kkkt.
 
Kwa hiyo watu wanne wameonekana na wakakimbia! Hii nchi tunaelekea wapi? Kweli CCM wametufikisha pabaya. Hii yote ni kwa sababu ya ahadi walizotoa CCM kwa Waislamu na wameshindwa kuzitimiza
Kama ni hivyo sa si wakachome mali za CCM..??? Kwani makanisa ndo yalitoa ahadi hizo..??? By the way, kwani wkichoma makanisa ndo ahadi zitztimia..???

Kutokamatwa na kushitakiwa hawa wanaofanya haya, kutatufikisha pabaya... Kuna siku wenye makanisa watasema YATOSHA...
 
Shetan mara zote ni mwaribifu sana.inawezekana wafuasi wa ponda coz kuandamana wameshindwa!"magaid"wachoma makanisa hawakubaliki kabisa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom