Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Status
Not open for further replies.
Nadhani huu ndio mfumo kristo ambao wenzetu wanaulalamikia ndiyo maana yanaungua makanisa tu na si misikiti. Majaribu hayana hayana budi kuja lakini ole wake aletaye majaribu. Selikali yaangalieni mambo haya kwa jicho lenye darubini kali na kutafuta njia sahihi za kutatua matatizo haya kwa kuwa kunasiku moto utawashwa na asiwepo wa kuuzima. Mungu bariki Tanzania

Wengi tunaongea humu huenda hawajui propaganda. Je, kwanini wachomaji wakaamua kujaribu kuchoma Kanisa lenye waumini ndani na kuacha yale yaliyofungwa? Chombo kimoja cha habari kumesema kanisa lachomwa na kingine kikasema kanisa lanusurika kuchomwa maana yake nini?

Waislamu na wakirito hawana ugomvi kihivyo mitaani tuaishi kwa amaani kabisa. Mfumo kiristo upo na unaathari mbaya kwa ustawi wa taifa letu lakini wanaoelewa kwa usahihi jinsi ulivyo na jinsi unavyofanya kazi ni wachache sana.

Watanzainia tukiamua tunaweza kuutokomeza mfumo KIRISTO kwa kuyageuzia mgongo maelekezo ya wanaouendesha na kuuimarisha. Watu hao hawana ubavu wa kujitokeza hadharani na kuutetea kwani wanajua ni ubaguzi na haufai. Watu hawa ni waongo na hawamwogopi Mungu, ni wazushi na hawana maana. Kuwahusia waumini wasiwachague watu dini fulani maana yake nini? Je, dhehebu la dini fulani linapoitwa dini na rasimu ya katiba ikaweka kipengele hicho maana yake nini? Ni vyema madhehaebu ya dini yakabakia madhehabu tu na si dhehebu moja kujipa hadhi ya dini na kutumia mawakala wake sehemu mbalimbali kujipatia frusa zisizo sahihi.

Kionja ni pale rais baada ya uchaguzi anapoapishwa, badala ya kusomewa dua na makundi matatu husomewa na makundi 04, hili kundi la nne nani kaipandisha daraja? Limejipandisha lejewa, baisi naliomba lijishushe ili kuwa sawa na makundi mengine.
 
Binafsi sifikirii kama hili suala linahusisha na dini nyingine, bali najaribu kujenga hisia za kwamba: Ikiwa hawa waumini waliamua kusali usiku wa manane, kukawa na sintofahamu za kifamilia kati ya hao waumini pengine za kutoelewana, then inaweza kuwa sababu. Lakini kama maombi hayo yaliambatana na kelele eneo husika, wakazi wanaweza kukerwa na hiyo hali, na ndiyo ikawa sababu ya tukio.
 
hao ni wafuasi wa ponda na uamsho tu..
ndiyo mikakati wanayopanga kila siku.
ushahidi naomba vyombo usalama vitembeleee fb page za uamsho asili na marafiki wa radio imaan.

pia group la mujahidina hukohuko fb.
asante kwa kunipa hint ngoja nikajoin haraka ili niwe nachangia mada
 
Mungu wao ni Mungu wa laana, visasi, mashetani, uchawi, uzinzi, ulipizaji wa visasi, mauaji,uganga nk ni Mungu wao ni wamapepo!
LAANA YA MUNGU ITAWASHUKIA HUKO WALIKOJIFICHA...

watu gani???
 
Binafsi sifikirii kama hili suala linahusisha na dini nyingine, bali najaribu kujenga hisia za kwamba: Ikiwa hawa waumini waliamua kusali usiku wa manane, kukawa na sintofahamu za kifamilia kati ya hao waumini pengine za kutoelewana, then inaweza kuwa sababu. Lakini kama maombi hayo yaliambatana na kelele eneo husika, wakazi wanaweza kukerwa na hiyo hali, na ndiyo ikawa sababu ya tukio.
hizi sala za mikesha sio,kuna mambo ya ajabu hufanyika na sio kila anaeenda anakua hapo kwa lengo la kusari.
 
Kama ni hivyo sa si wakachome mali za CCM..??? Kwani makanisa ndo yalitoa ahadi hizo..??? By the way, kwani wkichoma makanisa ndo ahadi zitztimia..???

Kutokamatwa na kushitakiwa hawa wanaofanya haya, kutatufikisha pabaya... Kuna siku wenye makanisa watasema YATOSHA...

Akili: Usifanye jambo Usilolijua. Do you have right to say without research?
 
Mungu wao ni Mungu wa laana, visasi, mashetani, uchawi, uzinzi, ulipizaji wa visasi, mauaji,uganga nk ni Mungu wao ni wamapepo!
LAANA YA MUNGU ITAWASHUKIA HUKO WALIKOJIFICHA...

dua la kuku kwa mwewe au
 
mtu atakayepinga sio waislamu atakuwa na matatizo ya akili pia ni sawa na kukataa 'nyama wakati ukila mchuzi,'! mambo haya yamelelewa wengine tuliyaona tangu awali nani asiyemjua Mazinge na kazi ya hamasa aliyoifanya mikoani miaka ya 2005-8 kwenye mihadhara ya kiislamu walitarajia matokeo gani kama sio haya?! 'unatafuta kuni kisha unakana moto?' misikiti mingapi imekuwa na jaribio la kuchomwa ? kama sio swala la kidini ni nini basi eti sadaka!!! mwajua mnaambiana nini mskitini lakini hii mtavuna matunda yake siku moja iwe machungu ama matamu.
 
mazee kumbukeni dini tuliletewa, umoja wetu, upendo na mshikamano ni kuijenga Tanzania yetu kwa misingi ya umoja, upendo kati yetu.
 
Mi maswali yangu ambayo ni magumu, ni kwa nini yanatokea kwenye hii serikali ya awamu ya nne? Kwa nini matukio haya hayakutokea kipindi kingine?
Maswali haya hufanya moyo wangu kuwa na hasira sana...

kila awamu ina mambo yake,
kuanzia ya yule wa Butiama hadi hii
 
kanisa_3b018.jpg
 
Usharika wa Segerea wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani.Huu ulikuwa usiku wa kuamkia jana.
Hii ni reality ya Tanzania yetu ya sasa,tunaelekea kama Egypt,Nigeria etc etc.

Watawala wetu hawana clue,Polisi inafanya siasa,hakuna intelligence kabisa.
We are doomed.

 
Kwenye hii thread hatuwataki akina nduki mmefanya ile thrad nyngne ikafungwa,tuachieni wenyewe wenye mapenzi mema tujadiliane,inatuuma sana,hebu fikiria ingekuwa ww ule msikit wenu una chomwa moto.Unaleta uzi hapa wengne wanakuja kuongea uharo uharo hapa,mpaka thread inafungwa.
MUNGU IBARIKI Tanganyika.
 
Last edited by a moderator:
Tukiendelea Kuichekea CCM Nchi itaingia kwenye Vita vya Kidini hivi karibuni.
 
Kama mtoa uzi naomba common sense hapa.Tuko hatarini sasa!
Vilaza viongozi wetu wa serikalini wanakaa Masaki,Oyster Bay,Mbezi ambao wana ulinzi wa polisi kwa tax payers money

Hawakai Salasala tulikojenga sisi.Nasema tena kuna watu katika jamii yetu wame determine kuharibu .
 
Am crying for my lovely country Tanganyika,where did you gone,I micd your peace,harmony and love my Tanganyika, CCM TOOL US OUT PEACE,LOVE AND HARMONY AMONG US. I remember you my country Tanganyika.come back plz......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom