Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucifer Ni fallen angel alifukuzwa heaven kutokana na kuhasi je Lucifer alijiumba mwenyewe ye sio God creation ?Kiza was a result of evil,haikuwa asili ya uumbaji Mshana.In God there is no darkness.Satan is the prince of darkness.
Rejea kitabu cha mwanzo ...ule mstari usemmao hapo mwanzo...!Kiza was a result of evil,haikuwa asili ya uumbaji Mshana.In God there is no darkness.Satan is the prince of darkness.
Mkuu ndio kule RSA alipokatwa mtu kichwa na wewe ukazimia hapohapo?Nimesali mara moja kwenye haya makanisa na nimeshiriki hizi ibada
We jamaa bwana unajua tu wa bongo wengi la7 na form4 ila unavyopenda kuwaandikia cha malkia ndo maana nyuzi zinakosa wa changiaji.
Wewe uliniambia nitakuwa kichaa kwa kuleta conspiracies,halafu all of a sudden unalipongeza kanisa lenu kwa kwenda mahakamani!Na hiyo avatar yako ina depict nini,si Shetani akiwa na vitoto vya kutoa kafara.Usipoangalia utakua kichaa, nadhani unaelekea katika njia ya wale ambao hua wanatembea na majarida sjui au video tapes wanazodai ni za Freemason na kuwasikilizisha watu mtaani kwenye jua Kali.
Kweli? Ni kanisa lipi LA kishetani ulisali?Nimesali mara moja kwenye haya makanisa na nimeshiriki hizi ibada