Kanisa la Shetani laipeleka Serikali ya Texas Mahakamani kwa kuzuia haki yake ya kutoa kafara Watoto wachanga

Kanisa la Shetani laipeleka Serikali ya Texas Mahakamani kwa kuzuia haki yake ya kutoa kafara Watoto wachanga

And who is the king of darkness??
Anayefanya haya 👇ndiye King of daekness,Lucifer(🤘👿) to be exact.His chief agents being Anthony Fauci,Bill Gates and Klaus Schwab.
 

Attachments

  • VID-20210729-WA0001.mp4
    40.3 MB
Kiza was a result of evil,haikuwa asili ya uumbaji Mshana.In God there is no darkness.Satan is the prince of darkness.
Lucifer Ni fallen angel alifukuzwa heaven kutokana na kuhasi je Lucifer alijiumba mwenyewe ye sio God creation ?



NB: Lucifer yeye ndio foundation of darkness
 
Kiza was a result of evil,haikuwa asili ya uumbaji Mshana.In God there is no darkness.Satan is the prince of darkness.
Rejea kitabu cha mwanzo ...ule mstari usemmao hapo mwanzo...!
 
Nafurahi na najivunia kukufahamu Mshana Jr., you are so unique bro!
 
Usipoangalia utakua kichaa, nadhani unaelekea katika njia ya wale ambao hua wanatembea na majarida sjui au video tapes wanazodai ni za Freemason na kuwasikilizisha watu mtaani kwenye jua Kali.
Wewe uliniambia nitakuwa kichaa kwa kuleta conspiracies,halafu all of a sudden unalipongeza kanisa lenu kwa kwenda mahakamani!Na hiyo avatar yako ina depict nini,si Shetani akiwa na vitoto vya kutoa kafara.
 
Back
Top Bottom