Kanisa la Wasabato Mnapaswa Mkosoe maovu ya serikali zaidi kuliko kukosoa wenzenu wa Roman Catholic

Yani unaona viongozi wanaua alafu unakaa kimya kisa hujihusishi na siasa, upumbavu
[emoji2] unamwamini stephano??
Na mitume je.?
Sio hao tuu na watakatifu wengi waliuwawa kwa siasa ambazo nyuma yake imesimama rumi.
Inamana stephano na mitume walikuwa wehu.
Sasa kama wao walikuwa wehu ni bora wehu wao kuliko akili zako
 
Kristu alianzisha Kanisa akamkabidhi Petro, naye baada ya kifo akawa anapata warithi... Sasa aliyepo ni huyu Francis. Umemezeshwa matango pori na yule Kahaba wa Kimarekani hata akili yako haifanyi kazi.
 
Wapi alipojihusisha
Tatizo unalazimisha kumfanya kristo mwanasiasa
Ebu tuambie kristo alijihusishaje na siasa
Unajihusisha na kitu the very moment unapopata contact nacho. He did.
 
Yaani ulichokiandika ni sawa na kusema Chadema hawakemei dhambi au kuhubiri injili kama wenzao wa NCCR na UDP ambao nimekuwa nawasikia wakifanya hivyo na kazi yao Chadema ni kuponda CCM
 
Mmedanganywa biblia imetoka katoliki sio?
Mungu aliiandika biblia kupitia mikono ya watakatifu wake
Petro ,marko daudi, paulo.
Ila mkikaa kanisani mnadangangwa roman ndio walioandoka biblia .
Hao unaowataja wengine hata hawakuandika, inaonekana mtupu sana, anyway hizo nyaraka nyingine za Petro, ziko wapi au unajua mbili tu na kwanini ziliwekwa mbili tu ?
 
Hata zamani taifa la Mungu liliongozwa na Mfalme, Nabii na Kuhani wa Mungu. Haikuwa bahati mbaya. Maisha ya kiroho yapo associated na maisha ya kimwili. Mwanadamu anaumbwa na vyote - roho na mwili.
 
Kristu alianzisha Kanisa akamkabidhi Petro, naye baada ya kifo akawa anapata warithi... Sasa aliyepo ni huyu Francis. Umemezeshwa matango pori na yule Kahaba wa Kimarekani hata akili yako haifanyi kazi.
Huyu wa ushoga ama.
Huyu Francis anaingiaje kwenye urithi wa kanisa la Mungu ilhali yeye ni mpagani??
Amerithi vipi?
Mnarithishana aaf mnasema ni Mungu alimchagua kwa moshi mweupe??
 
Hao unaowataja wengine hata hawakuandika, inaonekana mtupu sana, anyway hizo nyaraka nyingine za Petro, ziko wapi au unajua mbili tu na kwanini ziliwekwa mbili tu ?
Nani hakuandika apo kati ya niliowataja?
Na hao ni mifano tu
Mnaelewa ila mnajifanya vipofu.
Na haya yatasimama mpaka siku ya mwisho.
 
Hamjachelewa bado njooni katika kanisa la kweli la Waadventista wasabato, tutakemea maovu daima na kuifuata kweli ndio nguzo yetu

Suala la kuikosoa serikali mnataka tugeuze madhabahu kuwa jukwaa la siasa??? Hapana, tutafanya uinjilishaji na kutangaza neno la Mungu kwani lengo letu ni kila mmoja aje kwa Yesu
 
Hata humo pia Mungu hayupo ?
Maana hata nyinyi mliacha biblia mkafata kanuni zenu zinazopingana na biblia.
Kiufupi madhehebu yote yameoza
 
Huyu wa ushoga ama.
Huyu Francis anaingiaje kwenye urithi wa kanisa la Mungu ilhali yeye ni mpagani??
Amerithi vipi?
Mnarithishana aaf mnasema ni Mungu alimchagua kwa moshi mweupe??
Ni maarifa wa Mtume Petro.
 
Ni maarifa wa Mtume Petro.
Maarifa yapi ayo??
Wakati petro hajawahi kuzungumza kuhusu ushenzi wa upapa.
Na wala vatican
Mnadangangwa na waalimu vipofu
Maarifa ya jamii ama yapi
Na wapi yameandikwa ayo maarifa kwenye biblia?
Petro aliwekwa kwa ajili ya kuhudumia israel,
Paulo aliwekwa kwa ajil ya kuhudumia mataifa nje ya israel.
 
Pentecost ndo ilikuwa inaenda vizur ila na yenyewe imeangukia kule kule ilipotoka.
 
[emoji2] unamwamini stephano??
Na mitume je.?
Sio hao tuu na watakatifu wengi waliuwawa kwa siasa ambazo nyuma yake imesimama rumi.
Inamana stephano na mitume walikuwa wehu.
Sasa kama wao walikuwa wehu ni bora wehu wao kuliko akili zako
Sasa viongozi wa dini wana kazi gani, au wao kuomba tu amani ikiwa wanajua viongozi wa serikali wanafanya machafuko au matendo ambayo sio sawa, rejea kuuwawa Kwa Yohana mbatizaji

Pili labda kuna utofauti ya tafsiri kuhusu kujihusisha na siasa, naona mleta mada alikusudia kumaanisha kuikosoa serikali pale ambapo imekengeuka na sio kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa.

Je nyinyi wasabato mnafanya hivyo kama mitume na Yesu walivyofanya kuwaonya na kuwasema hata wanasiasa pale walipokosea.

Yesu aliwahi mwita Herode mbweha alipotaka kuuliwa.

Nyinyi mnafanya hivyo, kuisemea kweli ?
 
Niwaulize kwanini roman hawaamini kwenye uponyaji wakiungu.
Wakaweka kakikundi kadogo sijui charismatic wajaribu kuua soo
Ibada nzima ni upagani,bikira mariamu akichukua nafasi ya roho mtakatifu
Baba mwana na mama, io haipo kwenye biblia.
Mariamu hawezi kukuombea wewe
Maana yeye mwenyewe alilia akaomba kristo amuokoe,mpaka siku ya pentecost akaomba mungu amjaze roho wake.
Laa sivyo alikuwa aanapotea.
Lakini huyo nyinyi mmemfanga Mungu awaombee kwa mwanae
Yesu hajawahi kumuita mariami mama.
Kwanini mnamlazimisha??
 
Hao unaowataja wengine hata hawakuandika, inaonekana mtupu sana, anyway hizo nyaraka nyingine za Petro, ziko wapi au unajua mbili tu na kwanini ziliwekwa mbili tu ?
Sasa mkuu kama hao aliowataja hawakuandika biblia, je iliandikwa na akina nani.
 
Kwann inabidi wakosoe watu in first place?
Wasabato wadeal na imani yao na kueneza imani yao, wasiingilie serikali kama chama cha siasa au kukosoa RC mana wao hawawahusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…