nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
sasa malasusa ana tofauti gani na akina nabii tito??Aaaaaahhh wee! Mimi nasali KKKT mkuu hawa wachungaji uchwara hawanipati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa malasusa ana tofauti gani na akina nabii tito??Aaaaaahhh wee! Mimi nasali KKKT mkuu hawa wachungaji uchwara hawanipati.
Hii hamna anaetoa full info.Sema huyu mgogo ni mshamba wa mapenzi kama masanja na wote wamepigwa matukio
Msomisasa malasusa ana tofauti gani na akina nabii tito??
Hizo kazi aliacha au zilimkataa?Mpumbafu San huyu mgogo unaacha umc na uwalimu na uchekeshaji Kisha unakwenda kufanya Kaz ambayo hauna wito nayo
Na bado lzm aje hapa swaswa kuchoma majindibna kula mshikki wa Mia 200
Akili za kupepesa mijicho kilomoNdoa inataka akili zilizotulia
Katibu wakeInasemekana kuna mjuba mmoja wa hapo kanisani alipita na mkewe na kumkula kimasihara.
Dunia sio mbaya Ila walimwengu ndio wabaya 😬Katibu wake
Swali zuri sana hili.Hizo kazi aliacha au zilimkataa?
Hahaha, niliona clip moja kapaka bleach ya mistari nikajua hapa ipo kazi. Anasema kafulia sababu ya mke wake. Eti sio mbaya kufulia sababu ya mke loh.Hizo kazi aliacha au zilimkataa?
😆😆😆😆Hivi ndivyo anafunguka baba mchungaji wa Love Church Mc pilipili....
"Kanisa limenishinda, sasa hivi nahubiri mitandaoni pekee."
Anaendelea kufunguka Mc..
"Pale tulipokuwa tunakutana kila jumapili kwa ajili ya kufanya ibada hatukutani tena na badala yake nimebuni njia mpya ya kuhudumia watu kwa kutumia mitandao ya kijamii."
Kuhusu kuonekana akila bata club baba mchungaji amefunguka....
"Maneno yamekuwa mengi mimi kuonekana Club Element kwenye tukio la Haji Manara, kiukweli mimi nilienda pale kumsapot Manara na sikuangalia kama nipo club, biblia yenyewe haijatukataza kwenda club na kama Biblia ingekataza basi watu wasingekwenda hata Super Dome kufanya shughuli zao huko ".
Kuhusu kugombana na mke wake, baba mchungaji amefunguka....
" Ni kweli nimegombana na mke wangu na chanzo cha kugombana na mke wangu sio kuzaa na mwanaume mwingine kama watu wanavyosema, bali tumepishana kwa mambo yetu mengine na tunazungumza ili kuyamaliza".
Wana familia wa love church tujuane hapa tafadhari View attachment 2881414