Kanisani kwetu bwana Mauno kwenye Madhabahu yamezidi, hili tatizo lazima litatuliwe. Wadau tufanyaje?

Kanisani kwetu bwana Mauno kwenye Madhabahu yamezidi, hili tatizo lazima litatuliwe. Wadau tufanyaje?

Nimealikwa jamani kanisa moja hivi, kabla sijafika nikapewa Stori Kwanza

Kwenda nakutana na mambo yako hivi💃💃
Dada anapambana kweli kweli doh 🙆🙆🏃🏃

Kwa Yesu kunanoga Balaa, Mauno kama Yote

View attachment 1471043
Sikiliza wimbo na midundo,usiangalie wanavyocheza kama utaona unakwazika,inaonekana mkuu ulishawahi kuwa mdhambi flani hivi kwahiyo ukiona hivyo wanavyokatika kuna milango flani ya dhambi inafunguka kichwani mwako,pole sana...
 
Sikiliza wimbo na midundo,usiangalie wanavyocheza kama utaona unakwazika,inaonekana mkuu ulishawahi kuwa mdhambi flani hivi kwahiyo ukiona hivyo wanavyokatika kuna milango flani ya dhambi inafunguka kichwani mwako,pole sana...
Unaongea na Mimi au?!
 
Sikiliza wimbo na midundo,usiangalie wanavyocheza kama utaona unakwazika,inaonekana mkuu ulishawahi kuwa mdhambi flani hivi kwahiyo ukiona hivyo wanavyokatika kuna milango flani ya dhambi inafunguka kichwani mwako,pole sana...
sawa
 
Back
Top Bottom