Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #121
Tupo Buza, kanisa la walokole🏃🏃🏃🏃🏃nipe connection mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo Buza, kanisa la walokole🏃🏃🏃🏃🏃nipe connection mkuu
Me nampenda Yesu Tu, sina jipyaWe mbona unapigia debe sana
Mungu anakuoooona 😂😂😂🏃🏃🏃Likatwa uno tu watu suruali zitachafuka [emoji28][emoji1787][emoji12]
Ameonja utamu wa Yesuuuuu weeeeWimbo mzuri, sauti ya dhahabu ila ...... kiuno sasa
Pepo toka, Pepo la uzinzi shindwaaaa Kwa Jina la Yesu🙏Iblisi nipitie mbali, haya ya mawazo ya kuwazia ujuzi wa huyu binti kitandani yanitoke
Aisee live Yan[emoji31]Hapana utamu wa Yesu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Amen. Ubarikiwe mpendwa kwa maombezi yako 😇
Pepo toka, Pepo la uzinzi shindwaaaa Kwa Jina la Yesu🙏
🙄🙄🙄🙄🙄Vinautamu mahala pale, kwenye ndoa
Doh!Nimealikwa jamani kanisa moja hivi, kabla sijafika nikapewa Stori Kwanza
Kwenda nakutana na mambo yako hivi💃💃
Dada anapambana kweli kweli doh 🙆🙆🏃🏃
Kwa Yesu kunanoga Balaa, Mauno kama Yote
View attachment 1471043
AiseeKwani kiuno kina shida gani au ni tafsiri ya wananzengo tu mtu akitikisa kiuno kiana akili inakwenda kwenye ngono japokuwa hata kwenye 6 kwa 6 kwenyewe siku hizi hakuna mauno watu wanalala kama gogo hivyo hakuna mahusiano kati ya mauno na kile tunachowaza kwa kuwa hata huko tunapopawazia watu hawapatendei haki kwa mauno
Usikose jumapili hii kanisani kwetu BuzaAisee live Yan[emoji31]
Hahahahaha, wamejaa upakoUnaenda kanisani kuomba ili usiingie majaribuni,lakini hatima yake ndo unajikuta unaingia majaribuni oja kwa moja na kondoo alienona.
Woyoooooooo 🔥Doh!
yesu akiwatokea munafanya viteweji hivi,anaweza akawacharaza bakora mpaka kieleweke.
Maana mimi hapo namuona Lusifa anapuliza zumari la ukahaba ,na hakuna cha Imani hapo.
Kanisa la walokole Buza nyuma ya Airport
Kwani kiuno kina shida gani au ni tafsiri ya wananzengo tu mtu akitikisa kiuno kiana akili inakwenda kwenye ngono japokuwa hata kwenye 6 kwa 6 kwenyewe siku hizi hakuna mauno watu wanalala kama gogo hivyo hakuna mahusiano kati ya mauno na kile tunachowaza kwa kuwa hata huko tunapopawazia watu hawapatendei haki kwa mauno
Hahahahaha, wamejaa upako
Unavuta hisia tu kwa mbaliiiiiiiiUno linaushawishi we chezesha mikono kichwa watu hawastuki ukichezesha uno utaona balaa lake