Kanizawadia nusu lita ya asali na elfu 50 siku ya birthday yangu. Nimempiga chini kwa kasi ya 5G

Kama ameshakula mzigo Haina shida , hata ukimpiga chini poa tu
Thubutu yake. Mm sigawi hovyo. Ni mpk mtu apigwe tests kibao. Huyu amefeli test ya kwanza tu ya zawadi ya birthday
 
We umeifanya siku yangu iwe murua indeed 😃 😀 😄 mungu akuweke
 
Mm mwanamke sijaumbwa kutafuta (kula kwa jasho). Ukiona mwanaume huna hela acha kuingia kwenye mahusiano. Vinginevyo utamwagwa tu
Kuwa mkweli dada weka wazi.
Kwamba ukija na fungu fresh
 
Kwa hiyo ..hiyo zawadi umechukua au umemuacha nayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…