Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

We unamsubiri Grace kitoto cha 2018😁😁😁
Daah mkuu...
Ujue grace anazingua sana.
Yaani anajua fika natoka na dada ake alaafu katuma sms kwa simu ya dada ake an hapa nashindwa kujua kuwa anayetumia simu ni G au ni dada mtu...

Ila grace muacheni jamni mtoto mkali nyie khaaaa.
Ana matrako aiseee na sio mda taweka picha yake hapa
 
Acha ufalaaa wewe mwanamke anaolewa kwa ajiri ya uzuri, tako titi sura. Mambo ya mwanamke mpambanaji hi ho sio kigezo.
Sasa mwanamme aura sio nzuri wa nini uoe?
Demu kashifika 30....huyo kwisha habari yake hafai kuolewa. Mwambie akasake wakumuoa ila sio wewe.

2025 wanaume tunaoa wanawake below 25 yrs
 
Mbona unafoka manigaaa πŸ˜…πŸ˜…
 
Oa for love
Kama unampenda oa. Wengi wanadanganya miaka wanarudisha nyuma huyo ni wife material
Kuna wanawake wa kuoa
Na Kuna wale wanaopenda starehe tu
Huyo wako ni wife material angalia viongozi wore wa zamani wake zao no wakawaida ti
Mkapa, nyerere, na wazee wote wa ccm oa my ambaye atakufanya ujione mfalme soon was kukupa stress hujagusia hofu ya mungu, anatakiwa awe muumini mzuri pia.
Wanaume wengi linapokuja swala la kuoa huwa tunakivuta sana
 
Sura yake sio nzuri sana (simaanishi ni mbaya NO) ana sura ya kawaida tu yaan haivutii wala haikeri. mm pia sura yangu sio handsome nawaza watoto wetu si watakua na sura ambazo sio nzuri
Kabla sijamaliza kusoma uzi wote ila kipande hiki si cha kiungwana umenitibua 🀨
 
Yaani mwanaume unakaa unaandika unajisifu u marioooo hata aibu huna? Mjinga sana mwanamke siyo lazima akuombe hela mwehu wewe. Kama mwanaume jukumu mojawapo ni kujua mahitaji ya mwanamke na kuyatimiza kabla hujasaidiwa
Mario wa hovyo kabisa.
Kuna kipande kaandika kuna mda huyo dada anakosa mboga anakula asali huyu mtoa mada yuko Sawa kweli tena anajisifia.
 
Naam mambo hayo ya MUNGU MENGI ila dah! Basi
 
nmekuelewa ila huyu namjua kitambo sana hajuagi ku-act wala ku-fake maisha. na hcho ndo nachowaza je nkimuacha ntapata wapi kama yeye kwenye hii dunia ya leo iliyojaa slay queens na gold digers?
 
Wewe jitafakari tu mkuu.

Unatumiaje simu kuingia JF?

Mbona wenzako tushatoka huko mda?

Au bado unasoma chuo mkuu?
the question is simple, wewe unatumia nn? u never know may be I have no exposure kujua hzo gadget zngne mnazotumia huko dunian
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…