Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

Ninakushauri Usimuoe kwa sababu utamsababishia huzuni huko mbeleni,wewe siyo husband material.Yaani wewe ni mtu flani hivi utakaye mchelewesha yeye kuendelea.unaonekana hujui unakokwenda
kwa nn mkuu
 
Hivi sura italea mtoto? Je, kukuzidi umri nayo nitatizo, ila inaonekana hujajianda kiakili, haujiamini, haujamaliza ujana, huna hela ( umeandika kua hakuombi hela mara mjasiriamal) na haumpendi ndio maana utatafuta justification kwa kutuuliza sisi tukutie moyo. Cha kukusaidia nitumie NAMBA yake nijaribu kumchunguza kama atakufaa!
nkupe namba yake? subutuuuuuu🙂
 
Hivi huwaga mnawahi nini huko kwenye ndoa?

Ushasema UNABANGAIZA sasa unahangaika nini na ndoa kama bado unabangaiza?

Hauonagi shuhuda humu watu wakiwa wanahadithia wanayokutana nayo huko ndoani?

Una umri gani?
🤣Huyu mbangaizaji ni ndugu yangu tundu lisu Huyu
 
Wewe ni mburula kweli 🤔unakuja kujisifu jf kwamba unaogeshwa
una utimamu kweli wewe una 29 au ni 19 you sound totoish
Habari zenu,

Niko kwenye mahusiano na mwanamke ambaye kwa sasa ana miaka 30 kanzidi mwaka mmoja. mahusiano yana zaid ya miaka 6. (haya mahusiano hayakua straight mana kuna muda nlikua nahama mkoa hata miaka mi2, tena narudi tunaendeleza mahusiano). Kimuonekano mm sio handsome. Nina sura ya kawaida tu.

mwanamke huyu ana sifa zifuatazo
Yeye ni multiskilled, ni mpish mzuri sana yan akipika utajiramba, afu ni msusi afu ana ujuzi wa kushona kiufupi yy ni asset sio liability.

Miaka yote hyo hajawahi kuniomba pesa.(kuna watu mtasema eti kuna mwanaume ananisaidia majukumu). NO, huyu mwanamke n mpambanaji anafanya vibarua na sasa anafanya kibarua anacholipwa laki na nusu lakn hajawahi niomba hata 500 ya vocha.

Ni mwanamke mtiifu&anaenijali sana, nkiwa sina hela ya kula naenda kwake nakula nalala na asbuhi ananiogesha na nikiondoka siachi hata 100 na hajawahi nidai

Ni mwanamke mpambanaji na mwenye focus ya maisha yaan analipwa lak na nusu lakn kajibana mpaka kanunua vitu vyote vya ndani mfano kabati la nguo, la vyombo, kitanda, na vngine kwa pesa zake. sometimes hua ananipigia kakosa hela ya mboga anakula ugali na asali🥺

Kazn kwao wanatoka saa11 jion, akitoka kazn anaingia barabaran kwny zile folen anauza mataulo, chaja n. k kwa wale madriver.

LAKINI SASA:
Sikua na mpango wa kuoa kwa sasa lakn leo kanipigia smu anaongea huku akitoa sauti ya uchungu huku analia, anambia yeye anaona umri wake unaenda kwa hyo kama sina mpango wa KUMUOA n bora tuachane tu (naogopa nikimkosa je ntapata wapi mwngne kama yeye?)

Sura yake sio nzuri sana (simaanishi ni mbaya NO) ana sura ya kawaida tu yaan haivutii wala haikeri. mm pia sura yangu sio handsome nawaza watoto wetu si watakua na sura ambazo sio nzuri

Mimi bado nabangaiza na shughuli za ujasiriamali wa bidhaa ndogo ndogo, nikiingia kwny ndoa saiz hayo majukumu ya ndoa ntayaweza kwl?

Kanizid mwaka mmoja.

Nawaza sku nikikutana na mwanamke mwenye sura na muonekano naoutaka afu akanikubali je si ndo chanzo cha kuona nlikosea kuoa?

NB:sijamzalisha wala kumpa mimba.
Najua humu kuna watu wenye ujuzi na uzoefu wa haya mambo naombeni mnishauri jaman nimuoe au niachane nae??
 
Ukimuacha huyo Binti lazima uje ujutee baadae
Nakuambia kama mwanangu
Wanawake wanasumbua mno
Muombe Mungu akuongoze
nakuelewa sana, wanawake wengi wanapenda pesa tu yan, wanapenda show offs, na expensive life ila upendo hamna
 
Huyo yuko kwenye umri wa presha ya kuchelewa kuolewa.

Amepata pa kujishikilia lazima atumie kila resource aliyonayo asipapoteze.
 
Back
Top Bottom