Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukishajieleza unajionaga falaaaaUlikosea sana ulipojielezea, punguza kujielezea jibu lilipaswa liwe "sina".
Ila huyo ke hakupendi hata chembe.
Asingenielewa maaana hapo alishapiga simu kama mvua.. nami sijapokea staki ujinga. Kibunda kipo cha kutosha maana amenivizia tarehe za mshahara anazijua.😅😅Ulikosea sana ulipojielezea, punguza kujielezea jibu lilipaswa liwe "sina".
Ila huyo ke hakupendi hata chembe.
Kazingua jibu lingeishia kwenye sina. Hii code nilipewaga na pisi yangu fulani kipindi hicho.ukishajieleza unajionaga falaaaa
itakuwa jamaa ana mihasira ndo maana kaleta uzi
Sasa hapo ndio kakuelewa kwa majibu hayo? Be shorty and clear mkuu, sina inamtosha.Asingenielewa maaana hapo alishapiga simu kama mvua.. nami sijapokea staki ujinga. Kibunda kipo cha kutosha maana amenivizia tarehe za mshahara anazijua.😅😅
Ila kuna wanawake wana ujasiri utadhani wana mamlaka ya teuzi tz 😂Mbona amesema mwanaume ambaye ana kitu wanini? Au 😥😥
watu tunatesekaKazingua jibu lingeishia kwenye sina. Hii code nilipewaga na pisi yangu fulani kipindi hicho.
Akuvumilie nini, wanawake hawana huruma likishakuwa suala la mahusiano.watu tunateseka
na kuna ile 'nivumilie' dah🤣
unajiona mngese kinoma
Huyo mwanamke ndo alikua mwendeshaji wa ilo husiano. 🤣🤣 Huyu ameachwa na majeraha mengi sana🤣🤣🤣Ila kuna wanawake wana ujasiri utadhani wana mamlaya ya teuzi tz 😂