Kanizingua, Nimemzingua, Tumezinguana. Nimestuka Staki ujinga

Kanizingua, Nimemzingua, Tumezinguana. Nimestuka Staki ujinga

kulikua na haja gan ya kujieleza unalipa deni la wazazu wako? hata mm nibgekujibu hivohivo " mwanaume ambae hana kitu mimi wa nn sasa" hehehe wanaume poleni mnapitia mazito
Tumedumu miaka 2 mpaka sasa so anajua ninachopitia ni ufala wake kichwani tu.. sasa ndio kashajifukuzisha
 
Back
Top Bottom