Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Mida ishakua mibovu hii 😂😂Hata kiss na hug sipati oh mama beibee
She is a sellerMbona amesema mwanaume ambaye ana kitu wanini? Au 😥😥
Wallah kataja mpaka wazazi hahahPunguza urefu wa txt kaka, unatuaibisha.
Wako kimasilahi zaidiAkuvumilie nini, wanawake hawana huruma likishakuwa suala la mahusiano.
Ndio maana nikasema huyo ke hakupendi, mwanamke anaepata ujasiri wa kukwambia maneno kama hayo hakupendi.Papuchi yenyewe kupeana mpaka mbakane ila pesa anajua kuomba na kudai kama zake, Nina hasira sana saivi staki ujinga...
Uyo demu amekupa cheo kikubwa 60k yoote hioo au ye nd alikuw anakutafutia gia ya kukuacha
Dem kamchukulia pia sana, Kesho amnase makofi.Wallah kataja mpaka wazazi hahah
Mpaka mi huku nimeshtuka ujueNdio maana nikasema huyo ke hakupendi, mwanamke anaepata ujasiri wa kukwambia maneno kama hayo hakupendi.
Tuishi nao kwa akili vinginevyo ni maumivu matupu, hawanaga huruma kabisa.Wako kimasilahi zaidi
Wastage of loveNaona Mida ishakua mibovu hii 😂😂
Kuliko ampe 60k yote bora asubiri ligi zianze ampe muhindi kidogokidogoUyo demu amekupa cheo kikubwa 60k yoote hioo au ye nd alikuw anakutafutia gia ya kukuacha
Inashtua mkuu ila kajitakia mwenyewe kwa kujieleza sana, hiyo text ya maelezo lazima huyo ke aliisindikiza na bonge la msonyo.Mpaka mi huku nimeshtuka ujue
Ni wabinafsi sana na ndo asili yaoTuishi nao kwa akili vinginevyo ni maumivu matupu, hawanaga huruma kabisa.
vp Unataka kiss Mama 🤔Wastage of love
Waachane tupate kisses and hugs hahaaa
Sikupingi na aliekuwa anapenda hapa ni mleta mada.Huyo mwanamke ndo alikua mwendeshaji wa ilo husiano. 🤣🤣 Huyu ameachwa na majeraha mengi sana🤣🤣🤣
Tumedumu miaka 2 mpaka sasa so anajua ninachopitia ni ufala wake kichwani tu.. sasa ndio kashajifukuzishakulikua na haja gan ya kujieleza unalipa deni la wazazu wako? hata mm nibgekujibu hivohivo " mwanaume ambae hana kitu mimi wa nn sasa" hehehe wanaume poleni mnapitia mazito
Naah. Ni service charge.She is a seller