Grim Langdon
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 774
- 2,262
Unapogusia swala la puchu sasa hizo ndo chocho za utajiri pita huko uwai kufika kananiImeisha hiyo staki mwanamke bora puchu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapogusia swala la puchu sasa hizo ndo chocho za utajiri pita huko uwai kufika kananiImeisha hiyo staki mwanamke bora puchu tu.
Kashampanda kichwani na hapo lazima anasaidiwa.Wanamsomaga mtu na akili yake itakua mwamba anamtreat kimalikia
Hahaaaa true🤣🤣Everybody should pay for the 😻😺😸😸
Inaumiza sana moyo, ila kwenye maamuzi itumike zaidi akili kuliko hisiaKashampanda kichwani na hapo lazima anasaidiwa.
Nyie 😅Nakazia
Tajiri, tuelewane. Ukipenda kuhudumiwa kama ndoa na ww hudumia kama ndoa..😏😏Mkuu ke akikunyima tunda au akiwa mgumu kukupa hiyo ni redflag, piga chini hata kama unampenda vipi.
Ushauri wa mbolea kwa wanaume wote, kujieleza sana kwa ke ni ulofa. Huwa haisaidii zaidi atazidi kukuona lofa. Nayasema haya kwa experience mkuu.
Mwanaume atumie akili zaidi, hisia ataishia kuumia. Ke wa hivyo hata akijirudi hafai.Inaumiza sana moyo, ila kwenye maamuzi itumike zaidi akili kuliko hisia
punguza kujielezea sana kwenye maisha yako, hakuna anayejali wala kukerekaTumedumu miaka 2 mpaka sasa so anajua ninachopitia ni ufala wake kichwani tu.. sasa ndio kashajifukuzisha
Nipe nikupe, hutaki kunipa chako usitake changu.Tajiri, tuelewane. Ukipenda kuhudumiwa kama ndoa na ww hudumia kama ndoa..😏😏
Hili ni janga kwa sasa. Inbox zimejaa maombi kama utumishi vile kwa sasa, wanaume tuwe makiniii😁
Wanawake hawatumii akili sana sana wanatumia hisia hapo ukute kuna mtu anampa kiburi amkimtema tu atajirudi kwa mwana HyraxMwanaume atumie akili zaidi, hisia ataishia kuumia. Ke wa hivyo hata akijirudi hafai.
Na mwamba kama anatumia akili akijirudi asimpokee.Wanawake hawatumii akili sana sana wanatumia hisia hapo ukute kuna mtu anampa kiburi amkimtema tu atajirudi kwa mwana Hyrax
Aaah kuna watu hawakumbuki fadhila kabisa kmmke mbona nashikwa hasira kabisa..Mkuu kila mwezi nilikuwa namwekea laki 250 kwa mpesa yake just imagine kama ningesave hiyo for 2 yrs si ningekuwa mradi mzuri tu somewhere.
Badala angevunga akabembeleza jamaa angelegeza akatuma hata nusu sasa yeye kajifanya jeuriNyie 😅
Mwakilishi wenu kazingua huko.
Fadhila kwenye mahusiano ya kimapenzi? 😂Aaah kuna watu hawakumbuki fadhila kabisa kmmke mbona nashikwa hasira kabisa..
Kwaio leo kukosa 60k ya kumpa kwa wakati umeonekana huna hela si ndio....
Take it kama somo kuwa mbinafsi kwa mademu piga pita hivi... Ishi na wana tu
😂😂Walipata fadhila zaoFadhila kwenye mahusiano ya kimapenzi? 😂
Waulize waliosomesha wachumba.
60K? Hatumi tena, hatumi tenaaa (in mboneke MC voice)Badala angevunga akabembeleza jamaa angelegeza akatuma hata nusu sasa yeye kajifanya jeuri