Grim Langdon
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 774
- 2,262
Hauko pekee yako mkuu😂Kwa niliyoyapitia nikiumizwa nimeamua mwenyewe au nirogwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauko pekee yako mkuu😂Kwa niliyoyapitia nikiumizwa nimeamua mwenyewe au nirogwe.
Naelewa mkuu kupenda ni shida ila mwamba atayashinda yote.Demu haangaiki anatuma tu view once.
Hyrax kwisha habari yake
Si ndio 🤣🤣🤣Akioneshwa upaja tu shwaaa IMETHIBITISHWA UMEPOKEA Tsh 250K 😂
ILA MAPENZI 🙌🙌
Kikubwa leo kajifunza kitu kipyaNaelewa mkuu kupenda ni shida ila mwamba atayashinda yote.
Na wengine wajifunze najua humu wapo vijana under 25 na ndio wanapitia haya sana, wajifunze kuepusha maumivu yasiyo yalazima.Kwenye hili nimejifunza aisee
Huruma na mapenzi havijawai kukaa pamoja.Kikubwa leo kajifunza kitu kipya
Hii sentence bila kuingia field huwezi elewa maana😂Huruma na mapenzi havijawai kukaa pamoja.
Ila ilo la nije saa ngapi 😂Si ndio 🤣🤣🤣
Au akiulizwa nije saa ngapi? Kashatuma na ya kutolea chap aloooo
Kama ni nice guy huezi elewa mkuu 😂Hii sentence bila kuingia field huwezi elewa maana😂
Nice guy bila mifano mingi hawaelewagi somoKama ni nice guy huezi elewa mkuu 😂
Ukiwa nice guy mapito ni hatari mpaka uje uelewe ni masaa ya mbele sana 😅Nice guy bila mifano mingi hawaelewagi somo
Kweli kabisaUkiwa nice guy mapito ni hatari mpaka uje uelewe ni masaa ya mbele sana 😅
mshamba hachekwi mkuu 😁😁ukishajieleza unajionaga falaaaa
itakuwa jamaa ana mihasira ndo maana kaleta uzi
Sio rahisi kuchomoa🤣Ila ilo la nije saa ngapi 😂
Sijui kwa kipindi hicho kama niliwahi kuchomoa 😂
Daah ndio akujibu hvyo, kisa 60k?hadi huruma ,Mkuu kila mwezi nilikuwa namwekea laki 250 kwa mpesa yake just imagine kama ningesave hiyo for 2 yrs si ningekuwa mradi mzuri tu somewhere.
Huo ni ujinga wala sio ujasiri.Hapo unakuta anaringa bado anajiona kijana na anawapoteza hata wanaume wanao moenda kweli akizeeka sasa ndo hao wanataka wanaume anae pumua tu ili akamkomeshe na stres zakeIla kuna wanawake wana ujasiri utadhani wana mamlaka ya teuzi tz 😂