spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Mbona umekubali defeat kirahisi
UNGEMWAMBIA HAYA KAPIME HIV
UNGEMWAMBIA HAYA KAPIME HIV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akapewa😂😂😂GLOY anaupiga mwingi mana baada ya wewe akamuomba mpenzi wake mwingine
Ishini humo wakuu.Noted..... tunaendelea kujifunza
Ni wachache sana kwasasa kwenye dunia hii ya kizazi cha azuma.Wee anategemea na malezi na tabia ya mtu. Hakuna kitu nakithamini kama mchango wa mtu kwenye maisha yangu.
Mimi na mpenzi wangu tunasaidiana kwa shida na raha. Hakuna kuomba omba hela hivyo, ila kukiwa na big deals hata M 5 tunapeana kwa uaminifu mkubwa.
Usemevipi kuna shuhuda uku
Nmewaza huo uthubutu wa kumwambia mwanaume hayo maneno kautoa wapi, inasikitisha.Huo ni ujinga wala sio ujasiri.Hapo unakuta anaringa bado anajiona kijana na anawapoteza hata wanaume wanao moenda kweli akizeeka sasa ndo hao wanataka wanaume anae pumua tu ili akamkomeshe na stres zake
ss
Ukizingatia ndio chaguo la moyo dah kuchomoa ni kazi.Sio rahisi kuchomoa🤣
NakaziaUkizingatia ndio chaguo la moyo dah kuchomoa ni kazi.
We kweli BoyaMkuu kila mwezi nilikuwa namwekea laki 250 kwa mpesa yake just imagine kama ningesave hiyo for 2 yrs si ningekuwa mradi mzuri tu somewhere.
Si ndiooooo 😂Akapewa😂😂😂
Hee cha azuma.tenqNi wachache sana kwasasa kwenye dunia hii ya kizazi cha azuma.
Ndio kamanda, wewe ni ndezi pro max.Kwa hiyo mimi ndezi si ndio mkuu.
Kwa hulka yake asingenielewa. Na ni jambo jema kumweka mwenzio wazi ili awe aware kwanini utashindwa kumpatia alichokiomba angekuwa ni demu wa siku mbili tatu nisingemwambia.Wewe ni mpuuzi yaani mpaka uwasingizie wazee kule home, kwa nini usiishie tu kusema sina! Kwani angekuua?
Upendo tu bro. Ila wenye true love tunakupenda mara moja tu ukizingua ndio kwaheri.Wakubwa zangu
Hivi hizo pesa za kuwapa wanawake zenu kila mwezi huwa mnazipataje? Hebu nipeni mbinu na mimi!
Mia mbili Hamsini Elfu kila mwezi! Qmmmmmk hata kama anakojoa almasi, sitowahi kufikia upuuzi huo. Hiyo pesa ni bora nikaipeleka shamba tu mpumbavu mimi