Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Nakaziajibu lilipaswa liwe "sina".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakaziajibu lilipaswa liwe "sina".
dronedrakeNdio imeisha hivyo yaani. Nishaagiza sex doll alibaba $450 mimi na wanawake byebye.
Braza baada ya Mama kucheka...ushasahu shidaSema demu kakujibu kikatili meseji ya mwisho.. Nakucheka juu..
Demu katoa jibu la Dharau...Alafu ukute ni demu lenyewe bongee jeusii tii
Hahaha nipo boda naenda ATM mzeeBraza baada ya Mama kucheka...ushasahu shida
Kaendelea tena kukuporomoshea mitusi ?Hapana kabisa haya matusi nayoendelea kuyapokea huku inbox ya whatsapp yananitosha kabisa dah oyaaaa wanawake wanawake
One man downNdio imeisha hivyo yaani. Nishaagiza sex doll alibaba $450 mimi na wanawake byebye.
hahahaha, safi sanaNdio imeisha hivyo yaani. Nishaagiza sex doll alibaba $450 mimi na wanawake byebye.
😁
Yaani mkuu kuna mmoja huyo, kwanza, kanipiga tukio kama kiasi hivi, nikatoa, etii hoo bby naomba ya hisa, nikapiga block nikapita hivi.. Hawa viumbe sio, nawachukia, na hivi nimeoa acha nibaki njia kuu tuAaah kuna watu hawakumbuki fadhila kabisa kmmke mbona nashikwa hasira kabisa..
Kwaio leo kukosa 60k ya kumpa kwa wakati umeonekana huna hela si ndio....
Take it kama somo kuwa mbinafsi kwa mademu piga pita hivi... Ishi na wana tu
Wako kimasilahi zaidi ukiendekeza hisia wanafilisi kiongozi hawana huruma nawewe.Yaani mkuu kuna mmoja huyo, kwanza, kanipiga tukio kama kiasi hivi, nikatoa, etii hoo bby naomba ya hisa, nikapiga block nikapita hivi.. Hawa viumbe sio, nawachukia, na hivi nimeoa acha nibaki njia kuu tu
Yeye hana kazi hata biashara?!mpe tuuShenzi zake, staki ujinga siku hizi.. bora kuishi single.😅
Tena hata sijapiga mkuu, nikaanza kuletewa invoice, Mara bill ya making, Mara umeme, nilijuta kumjua mkuu😀😀😀, sasa Nina Amani pesa inaonekana,Niko huru hata wife now akishika simu Sina wengi, kiroho safi, hata nikisahau simu home sirudi home, kuna story nitaleta humu nikivyokuwa kipanga Zaman.. Yaani nilikuwa nikisahau simu Niko radhi nikodi ambulance inirudishe home😃😃😃, kaka michepuko nimekoma.. Yaani nilichelewa wapi mm kujinasua, Ila nashukuru Mungu ni na Amani sasa, na hela napata kweli sasa.Wako kimasilahi zaidi ukiendekeza hisia wanafilisi kiongozi hawana huruma nawewe.
Sio poa kak
Hahaha 😂 ndo maisha yako hivoTena hata sijapiga mkuu, nikaanza kuletewa invoice, Mara bill ya making, Mara umeme, nilijuta kumjua mkuu😀😀😀, sasa Nina Amani pesa inaonekana,Niko huru hata wife now akishika simu Sina wengi, kiroho safi, hata nikisahau simu home sirudi home, kuna story nitaleta humu nikivyokuwa kipanga Zaman.. Yaani nilikuwa nikisahau simu Niko radhi nikodi ambulance inirudishe home😃😃😃, kaka michepuko nimekoma.. Yaani nilichelewa wapi mm kujinasua, Ila nashukuru Mungu ni na Amani sasa, na hela napata kweli sasa.