Kanizingua, Nimemzingua, Tumezinguana. Nimestuka Staki ujinga

Kanizingua, Nimemzingua, Tumezinguana. Nimestuka Staki ujinga

Papuchi yenyewe kupeana mpaka mbakane ila pesa anajua kuomba na kudai kama zake, Nina hasira sana saivi staki ujinga...
Mimi nilikuwanae huyo alikuwa akiniomba pesa na mwanambia sina,akilalamika shida zake nilikuwa na mjibu najua nikipata nitakupa toka nimjibu hivyo mpaka haja nitafuta. Hayo majibu nilikuwa namjibu kwasababu yeye alikuwa hataki kunipa sexy ila kwenye kuniomba pesa ana penda.
 
Tumedumu miaka 2 mpaka sasa so anajua ninachopitia ni ufala wake kichwani tu.. sasa ndio kashajifukuzisha
Huyo mwanamke sio ustaarabu. Hivi mtu akikuomba kitu chake then akasema hana, si unatafuta sehemu nyingine na umjibu kisaataarabu tu. Kwani unapungukiwa nini? Yeye kama kashindwa kupata hiyo 60k kwa nini adhani mwanamme anayo?
Ni kujidhalilisha tu sisi KE.
Mungu aniepushe na maujinga haya lohh.
 
Huruma
Fadhila
Shukrani
Na mengineyo yanayoendana na hayo usivitegemee kwa mwanamke hasa mkishakuwa ni wapenzi.
Wee anategemea na malezi na tabia ya mtu. Hakuna kitu nakithamini kama mchango wa mtu kwenye maisha yangu.

Mimi na mpenzi wangu tunasaidiana kwa shida na raha. Hakuna kuomba omba hela hivyo, ila kukiwa na big deals hata M 5 tunapeana kwa uaminifu mkubwa.
 
Mkuu kila mwezi nilikuwa namwekea laki 250 kwa mpesa yake just imagine kama ningesave hiyo for 2 yrs si ningekuwa mradi mzuri tu somewhere.
Wakubwa zangu

Hivi hizo pesa za kuwapa wanawake zenu kila mwezi huwa mnazipataje? Hebu nipeni mbinu na mimi!

Mia mbili Hamsini Elfu kila mwezi! Qmmmmmk hata kama anakojoa almasi, sitowahi kufikia upuuzi huo. Hiyo pesa ni bora nikaipeleka shamba tu mpumbavu mimi
 
Back
Top Bottom