Grim Langdon
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 774
- 2,262
Kapata sponsa anampa jeuri maveeyBadala angevunga akabembeleza jamaa angelegeza akatuma hata nusu sasa yeye kajifanya jeuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapata sponsa anampa jeuri maveeyBadala angevunga akabembeleza jamaa angelegeza akatuma hata nusu sasa yeye kajifanya jeuri
Huruma😂😂Walipata fadhila zao
We ni FALAMkuu kila mwezi nilikuwa namwekea laki 250 kwa mpesa yake just imagine kama ningesave hiyo for 2 yrs si ningekuwa mradi mzuri tu somewhere.
Bora uwekeze kwa dada poa mahesabu yake kwa pesa zinavokwenda unaelewa ila sio kwa demu huelew matumizi yanasepaje, mara dinner, vocha, vizawadizawadi just for pussyHuruma
Fadhila
Shukrani
Na mengineyo yanayoendana na hayo usivitegemee kwa mwanamke hasa mkishakuwa ni wapenzi.
Ila nyie wanaume mlivyo maharage ya mbeya, usishangae kesho asubuhi kabebishwa na katuma laki60K? Hatumi tena, hatumi tenaaa (in mboneke MC voice)
😂Nyie ni mashetani tu.Ila nyie wanaume mlivyo maharage ya mbeya, usishangae kesho asubuhi kabebishwa na katuma laki
Ushapigwa na kitu kizito wewe si bure sio kwa povu hiloHuruma
Fadhila
Shukrani
Na mengineyo yanayoendana na hayo usivitegemee kwa mwanamke hasa mkishakuwa ni wapenzi.
Ila bado mnatufata na ushetani wetu😂Nyie ni mashetani tu.
Ndo maana nimemwambia asitumie hisia atumie akili
Ishu ni K tu wala nyie hatuwaitaji kabisaIla bado mnatufata na ushetani wetu
Experience is the best teacher ever 😂Ushapigwa na kitu kizito wewe si bure sio kwa povu hilo
Yah ni kweli, kuna wakati ukiambiwa kitu huwezi elewa mpaka uwe umepitiaExperience is the best teacher ever 😂
Akioneshwa upaja tu shwaaa IMETHIBITISHWA UMEPOKEA Tsh 250K 😂Ila nyie wanaume mlivyo maharage ya mbeya, usishangae kesho asubuhi kabebishwa na katuma laki
Demu haangaiki anatuma tu view once.Akioneshwa upaja tu shwaaa IMETHIBITISHWA UMEPOKEA Tsh 250K 😂
ILA MAPENZI 🙌🙌
Kwa niliyoyapitia nikiumizwa nimeamua mwenyewe au nirogwe.Yah ni kweli, kuna wakati ukiambiwa kitu huwezi elewa mpaka uwe umepitia
Bado unampenda itakuaThubutu yake hapa naona pakuche tu usiku leo ni mrefu sana