Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 669
- 2,309
Be carefulvp Unataka kiss Mama 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Be carefulvp Unataka kiss Mama 🤔
Rental fees hahaaNaah. Ni service charge.
Akili mkuu, akili hawa viumbe ni hatari sana ikishakuwa ni mapenzi.Ni wabinafsi sana na ndo asili yao
🙌🏃🏃🏃Be careful
Shida imeanza pale aliposema poa nambie,Inashtua mkuu ila kajitakia mwenyewe kwa kujieleza sana, hiyo text ya maelezo lazima huyo ke aliisindikiza na bonge la msonyo.
Ms R ni uongo?
Umeona mbali, kesho tu wanarudianaNExt time usijielezee sana. Mwambie tu sina hela.
Njaa zitamrudisha kwakoTumedumu miaka 2 mpaka sasa so anajua ninachopitia ni ufala wake kichwani tu.. sasa ndio kashajifukuzisha
NakaziaUlikosea sana ulipojielezea, punguza kujielezea jibu lilipaswa liwe "sina".
Ila huyo ke hakupendi hata chembe.
Wanamsomaga mtu na akili yake itakua mwamba anamtreat kimalikiaAkili mkuu, akili hawa viumbe ni hatari sana ikishakuwa ni mapenzi.
You are a good guy but pole for investing in a wrong womanNilimpenda
Niliipenda kweli hii pisi maana nilijitoaga mzima mzima mpaka kodi ya nyumba saivi namwambia mambo yangu yalivyo ananijibu ufala wanawake wengi ni shenzi tu.. staki ujinga
Aisee 🤔 Tena?Imeisha hiyo staki mwanamke bora puchu tu.
Mkuu ke akikunyima tunda au akiwa mgumu kukupa hiyo ni redflag, piga chini hata kama unampenda vipi.Nilimpenda
Niliipenda kweli hii pisi maana nilijitoaga mzima mzima mpaka kodi ya nyumba saivi namwambia mambo yangu yalivyo ananijibu ufala wanawake wengi ni shenzi tu.. staki ujinga
🤣🤣Everybody should pay for the 😻😺😸😸Rental fees haha
It hurts but utakuwa okeyDah nashukuru tu ila dah aisee sawa