Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Ñaweza Sema ,ukweli ambao si mzuri kuusikia,
Mtayarishe mkeo kiroho.....wekeza nguvu nyingi kuponya roho yake I mean Muandae,ni ngumu ilà ni muhimu mweke karibu na Mungu kama kuna mila maagano ,dhambidhambi na mambo mengine ya ushirikiana na mambo ya ajabu Acha,
Amrudie Mungu ......aweza ponya roho yake asije akatwseka dunia na motoni.
# ni muhimu kuliko kuwekeza duniani.
Mtafute kiongozi wa kiroho eg tumia redio upendo
  • aungame
  • ajitayarishe KWA wakati wowote
 
Maumivu yakawa makali kiasi sindano za maumivu zikawa hazisaidii ikabidi awe anagewa cookies zenye bangi ndiyo anapoa baadaye dozi ya cookies ikazidishwa.

Tiba mbadala haikujaribiwa
Daaah aisee mpaka cookies za bangi?

Maimivu yalitokana na upasuaji ni kawaida saratani kuwa na maumivu?
 
Sawa kama
 
Ahsante sana dr, nikutafute kwa njia gani niweze kukupata
 
Mkuu hapa mpaka nimetabasamu kwakweli? Hivyo alipona kabisa?

Nitumie nitamtafuta . Nitafanya kila niambiwalo maana sijui msaada utatoka wapi
 
Nina thread ya kumpoteza kaka yangu mpendwa humu, Dr, christopher Kilongola wengi wanamfahamu, aliwahi saidia member watatu humu kwa tatizo kama lako, ila hatukujua kumbe yeye pia alikua muathirika wa cancer, na kusaidiwa watu ilikua ni research yake ili ajiponye, badluck alitutoka last 3 years.
Ndugu, kutana na madaktari, talk to them the world, nenda pale muhimbili, nenda pale ocean road, wapo vijana wanapambana na haya mambo, wanaweza kuwa na kitu, actually issue yako is too sensitive ila kutana na doctor, si kwa appointment ya matibabu, kutana nao ongea nao kama familia. Watakupa kitu,
Nimepoteza kaka na babu kwasababu ya magonjwa hatari kama ya mkeo, ila brother wangu did something yeye kama daktari, naamini yupo mtu sahihi na si dawa za kienyeji.
Mkeo ataishi usijali.
 
Ni ushauri nzuri kuhusu anticancer property ya soursop leaves ila concentration ni kubwa hiyo Kwanza atapata maumivu ya tumbo na inaweza mletea shida katika figo baada ya kutumia muda mrefu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mkuu, Neema ya mungu na iwe pamoja nawe,

Pia mola akutie wepesi, kwa haya unayoyapitia ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…