Nina thread ya kumpoteza kaka yangu mpendwa humu, Dr, christopher Kilongola wengi wanamfahamu, aliwahi saidia member watatu humu kwa tatizo kama lako, ila hatukujua kumbe yeye pia alikua muathirika wa cancer, na kusaidiwa watu ilikua ni research yake ili ajiponye, badluck alitutoka last 3 years.
Ndugu, kutana na madaktari, talk to them the world, nenda pale muhimbili, nenda pale ocean road, wapo vijana wanapambana na haya mambo, wanaweza kuwa na kitu, actually issue yako is too sensitive ila kutana na doctor, si kwa appointment ya matibabu, kutana nao ongea nao kama familia. Watakupa kitu,
Nimepoteza kaka na babu kwasababu ya magonjwa hatari kama ya mkeo, ila brother wangu did something yeye kama daktari, naamini yupo mtu sahihi na si dawa za kienyeji.
Mkeo ataishi usijali.