Kante Amtafute Hakimi, Emmanuel Eboue awe Case Study

Waafrika wengi hawajifunzi. Mwenzao kule States kalia juzi
Cassie kaondoka kalipwa kiasi gani na PDiddy.

Bill Gates, Elon Musk, Jeff Bezos wamelipa kiasi gani kwenye talaka zao.

Au hao athletes weusi walioowa weusi wenzao unataka kusema ndoa zao zote poa. Michael Jordan kamlipa kiasi gani mkewe. Carmelo Anthony anampa Lala kiasi gani kwenye upkeep ya mtoto.

Unadhani hao watu awajui kama wanawindwa na gold diggers wa race zote na hawajui kujilinda.

Shit happens in life akili kukichwa, acheni kujifanya mnajua sana kulinda assets za watu kushinda wao wenyewe ambao wana case studies za wenzao.
 
Unaheshimika sana tu humu JF, kwanini umejaa upepo kiasi hiki?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Husha jiuliza Why Bill Gates, Jordan, Jeff Benzos, Elon Mask kwa nini hawana mpango wa kuoa tena?
 
Unaheshimika sana tu humu JF, kwanini umejaa upepo kiasi hiki?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Sometimes inabidi tuambizane ukweli.

Watanzania tunajifanya tunajua maamuzi ya watu kuliko wahusika wenyewe.

Mfano kulikuwa na mada jukwaa la siasa inazungumzia mshahara wa Ndugulilo atakaopokea kwa nafasi yake ya WHO.

Sasa huyo Ndugulile akujua anaacha nini kwenye ubunge na atapokea nini huko WHO.

Ndugulile katafuta nafasi ya WHO kwa sababu ya mshahara au ni harakati zake za ‘self actualisation’ ambazo anazijua yeye.

Ndio kama hii mada mtu anajifanya anajua maisha ya mtu kuliko muhusika mwenyewe huyo Kante ambae anaelewa footballers wanawindwa na gold diggers.

Na sio mwafrica pia anakuja na jema. Kuna footballers wangapi waafrika walio owa watu wa kwao na baadae kubaini watoto wote baada ya kupima DNA sio wao (just google).

Vilevile kuna wanawake ambao pamoja na matatizo yao hawataki hela za wanaume walioza nao. Mfano Black Chyna baba wa watoto wake wawili ni Rob Kardashian na Tyga Hadai hata shillingi kutoka kwao mradi wenyewe wanajua majukumu ya watoto hawana court agreement.

Likewise Kim Kardashian ni tajiri kuliko baba watoto wake, lakini kwa mwezi anataka alipwe $200,000 ya matunzo ya watoto.

Ni hivi watu wanafahamu risk za maisha yao wanazochukua. Tuache hizi tabia za kudhani tunawajua na kuwakosoa kuliko wao wanavyojijua. Hiyo ndoa ya Kante nani anajua kama kuna prenuptial agreement or not.

Tupambane na hali zetu za maisha
 
Huyu naye bwege kweli kweli....sasa ndio nini hiki anafanya kulea bao la mwanaume mwenzie. Jamaa nilikuwa namkubali kumbe ndezi namna hii
 
Husha jiuliza Why Bill Gates, Jordan, Jeff Benzos, Elon Mask kwa nini hawana mpango wa kuoa tena?
Ushaona hao vimada wao wanavyoishi high life.

Tuachane na maamuzi ya hela za wanaume wengine. Pambana usiwapangie watu furaha zao na maamuzi yao.

Yawe maamuzi mazuri au mabaya hata wao wana case studies kabla ya kuamua wengi wanajua consequences zao.

Unajuwa baba yake Kobe Bryant ni maskini leo pamoja na utajiri wote alioacha. Sasa sio bahati mbaya Kobe mwenyewe hakutaka apate kitu. Na alichaguq mke dhidi yake.

Kila mtu na maamuzi yake kwenye hii dunia ndugu, mradi hela kaitafuta yeye.
 
Mwanetu ujuaji mwingi uwanjani kumbe kwenye mahusiano kilaza tu. 🙆
Tena ni kilaza wa kiwango cha juu sana. Utaoaje mwanamke mwenye watoto watatu? ........achilia mbali umri wake na kuolewa kwake!

Yani niwe star alafu niowe kibibi kizee! mhh! hapo Ng'olo kaleta upuuzi.
Kwamba tuseme anapewa mavi ama?
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Unalea bao la mwanaume mwenzio 🤣🤣🤣🤣
Mweeee aisee e u wacha huo ujinga wanawake wote waliojaaa hapa duniani wee ukaenda kuchukua single maza kweli!? Na wazazi wako walisemaje?
They have no problem kawaida tu. Sie waislam ukimstir mtu hvyo unapata neema kwa mwenyez kuliko angekua chapa ilale. Foster father na mtt mmoja nimezaa na wife wala hakuna shida na mambo yanaenda vzuri.... Unaweza pata mtu normal na kichaa vile vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…