1. Tujikumbushe Ruto alikua Kiongozi wa vijana KANU. Pia Uhuru Kenyatta aliteuliwa kuwa mgombea wa Urais wa KANU mwaka 2002. Mwai Kibaki aliyewahi kuwa Makamu wa Rais akatangazwa mshindi.
2. Baadae 2007 Uhuru akawa Naibu Waziri Mkuu na majina ya Vyama yakabadilika, 2013 Kenyatta akaunda Chama chake (TNA) na Rutto (URP) pia. Hadi Leo watu wale wale kupitia majina mapya ya Vyama (Kenya Kwanza) kutoka KANU wanapokezana uongozi wa Kenya pamoja na kuwa na inayoitwa katiba Mpya.
NB: mabadiliko ya majina ya majina ya Vyama yasikuchanganye (KANU, DP, NARC, PNU, TNA, URP, Kenya Kwanza) familia Ni zile zile zinapokezana tu
2. Baadae 2007 Uhuru akawa Naibu Waziri Mkuu na majina ya Vyama yakabadilika, 2013 Kenyatta akaunda Chama chake (TNA) na Rutto (URP) pia. Hadi Leo watu wale wale kupitia majina mapya ya Vyama (Kenya Kwanza) kutoka KANU wanapokezana uongozi wa Kenya pamoja na kuwa na inayoitwa katiba Mpya.
NB: mabadiliko ya majina ya majina ya Vyama yasikuchanganye (KANU, DP, NARC, PNU, TNA, URP, Kenya Kwanza) familia Ni zile zile zinapokezana tu