SI KWELI Kanu ni Mnyama anayenukia harufu ya ubwabwa porini/vichakani

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Iringa vipo vingi hivi
 
😃😃😃😃 daaah ukute all my life najidanganyaga nilishawahi kutana na chi face 2 face, yaweze kana alikuwaga huyu mdudu. Maana nakumbuka utotoni nilishawahi zua kiazaa zaa kijiji kizima kilijua kijijini hapo kuna chui, by the way nilikutana na linyau kama hilo nahisi,
 
Ee
 
Kumbe ni kinunda na jeuri namna hiyo aisee.
 
Huyu ndiye wa kuitwa fungo ?
Kila sehemu wanajina wanalomwita sijajua kwa upande mwingine ila kwa sehemu niishio wanamwita kanu.
Na nimetega mwenyewe nimmnasa ananukia ubwa bwa mpaka sasa banda la kutegea linanukia
 
Tumekubaliana ni chatu huyo kanu katoka wapi?
Hakuna chatu anatoa harufu msidanganywe mi nakaa sana mapori huku.
Chatu anahema harufu kama mvundo fulani ambayo mnyamaakiisikia anavutiwa nayo mwenyewe anajipeleka hadi mdomoni mwa chatu.
Yaani ni kama unavyoona mamba akiwa nchi kavu anaachama mdomo kutega
 
Sasa nimetega nimenasa ananukia huo ubwabwa wao wanadai ni mti.
Niko tayari kujitokeza nimlete akiwakwenye mtego(kama atanasa tena )niwaletee hapo ofisini kwenu mjidhiirishe wenyewe kama mimo ni mwogo au laa.
Labda hapo kinachokinzani ni jin tuu la huyu mnyama ila mnyama nilokamata ni kama huyo huyo sijaona tofauti.labda jina tuu nimekosea sijajua maana nimeandika jina kulingana na wenyeji niishio nao wanavyomwita.
 
Huyupangaji
 

Attachments

  • 20241012_081202.jpg
    687 KB · Views: 4
  • 20241012_081149.mp4
    5.8 MB
  • 20241012_081350.jpg
    245.7 KB · Views: 3
Mkuu umefanya kosa sana kumuua. Hao viumbe wapo hatarini kutoweka.
Mara ya mwisho kumuona Kanu vichaka makumbuka ilikuwa 1994.

Next time pigia simu Afisa wanyaporiTANAPA watakuja kumkamata sio kuwaua.
Yaani tanapa waje usiku kulinda kuku wangu ili wakamate mnyama ambae hawajui anatokea wapi? Huku ninakoishi ni karibu na msitilu wa makongo juu wanyama ni wengi sana waharibifu kama kenge kicheche na nguchiro ndio balaa nakama
 
Kumbe hilo la harufu ya wali umetupiga jamaa, dah!
Yaani tena mtego unanukia utadhani nimwemwagia huko huo ubwabwa.
Hata ukimgusa mikono inanukia hatani.
Yaani harufu yake ya ubwabwa naona ni mwili wote kama unavyosikia ile ya beberu
 
Mimi ninavojua kuna aina fulani ya majani jamii ya nyasi ya maeneo ya porini hukoooo ndo huwa yanatoa harufu hiyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…