Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umenikumbusha kitu kingine. Kumbe hata malipo ya wachezaji wa kigeni TFF ndio wanayakula? Hawa fisi hawafai kabisa; ufisadi upo damuni mwao!😨😨😨tatizo sio TFF, hivi vilabu viliunda bodi ya ligi Ili kusimamia maslahi Yao lakini kwa ujinga wa viongozi wao imewaachia mamlaka yote TFF.
kutokana na uundwaji wa bodi ya ligi ni kuajili watendaji wake kitu ambacho hawafanyi badala yake TFF ndio inaajili hao watendaji ila mishahara inalipwa na bodi ya ligi.
Kuingia mikataba na wadhamini na TFF kupata asimia 10 ya mapato ya mkataba lakini TFF imekuwa ikiingia mikataba ya udhamini na kuchukua asilimia 20 ya mapato.
TFF ndio inapanga kanuni za ligi na kuchukua mapato mengi ya ligi kama malipo ya wachezaji wa kigeni.
Hakuna kanuni zinapitishwa bila wawakilishi wa klabu kushirikishwa, usipotoshweNajiuliza why hizo kanuni zinapitishwa kienyeji bila wawakilishi wa vilabu
Sasa mbona muanzisha mada anadai TFF wamepitisha kanuni Kibabe? Ukweli ni upi?Hakuna kanuni zinapitishwa bila wawakilishi wa klabu kushirikishwa, usipotoshwe
Ni mpotoshaji tuu huyo, vilabu ndio watekelezaji wa hizo kanuni sasa wataachaje kushirikishwaSasa mbona muanzisha mada anadai TFF wamepitisha kanuni Kibabe? Ukweli ni upi?
Okay, basi kuna shida pahalaNi mpotoshaji tuu huyo, vilabu ndio watekelezaji wa hizo kanuni sasa wataachaje kushirikishwa
Kuanzia kuvaa logo ya mdhamini mabango nk
Hawazisomi hizo.Okay, basi kuna shida pahala
Ukweli ni kwamba wawakilishi wa vilabu waligoma lakini TFF wakatumia ubabe kupitisha. Na kamati ya hadhi za wachezaji haikushirikishwa. Wasingekubali kanuni za kiqumer kama hizi zipite bila kupingwa.Sasa mbona muanzisha mada anadai TFF wamepitisha kanuni Kibabe? Ukweli ni upi?
Hapo ndio tatizo lilipo mkuuUkweli ni kwamba wawakilishi wa vilabu waligoma lakini TFF wakatumia ubabe kupitisha. Na kamati ya hadhi za wachezaji haikushirikishwa. Wasingekubali kanuni za kiqumer kama hizi zipite bila kupingwa.
Tatizo nchi hii kila mtu anajali tumbo lake tu!
Yeah, ni kama wale mkataba wakija hawausomi vizuri, wanasoma sehemu ya hela tu halafu wanasainiHawazisomi hizo.
Uvivu wa kujisomea shule, ukihitimu utaishi nao mtaani!
Mmh sidhani kama ndio muarobaini wa hilo tatizoNi shida kubwa sana. Kwa kuwa TFF wameshindwa kusimamia mpira kwa ufanisi, nashauri TFF ibinafsishwe kwa waarabu huenda tukapata tija.
Tabia ya hovyo sana.Yeah, ni kama wale mkataba wakija hawausomi vizuri, wanasoma sehemu ya hela tu halafu wanasaini
Kabisa mkuuTabia ya hovyo sana.
Uvivu, Uvivu unatuharibia taifa
Hivi lile swala la GSM hadi simba ikagoma kuvaa vilabu vilishirikishwa?Ni mpotoshaji tuu huyo, vilabu ndio watekelezaji wa hizo kanuni sasa wataachaje kushirikishwa
Kuanzia kuvaa logo ya mdhamini mabango nk
Mimi sio mwanasheria ILA nadhani unaweza kutatuliwa Kwenye mahakama ya Kazi/Biashara au vyombo vyovyote vilivyo na nguvu ya kisheria kwenye mambo ya mikataba ya kazi na Biashara. Nadhani hata mahakama za kawaida zinaweza kutoa mwongozo (Hili sio suala la Kimpira BALI kibiashara). Inabidi mwongozo utolewa juu mkataba upi unaopewa kipau mbele yaaniHapo ndio tatizo lilipo mkuu
Sasa huu mkanganyiko unatatuliwaje
Vilishirikishwa, vilabu vyote vikakubali Simba ikakataaHivi lile swala la GSM hadi simba ikagoma kuvaa vilabu vilishirikishwa?
Inawezeka si endorsement au wabongo ,we hauoni ulaya wachezaji kibao wanaingiza mikataba na kampuni za vifaa vya michezo,kwa mfano adidas au Nike na wanatumiwa kutangaza bidhaa mbalimbali tu, Sasa mnadhamini WA ligi anahusikaje na side hustles za players?Mfano Yanga inadhaminiwa na sportpesa, je inawezekana Diarra binafsi akaingia mkataba na betpower? Yanga watakubali?