Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Yeah ushauri mzuriMimi sio mwanasheria ILA nadhani unaweza kutatuliwa Kwenye mahakama ya Kazi/Biashara au vyombo vyovyote vilivyo na nguvu ya kisheria kwenye mambo ya mikataba ya kazi na Biashara. Nadhani hata mahakama za kawaida zinaweza kutoa mwongozo (Hili sio suala la Kimpira BALI kibiashara). Inabidi mwongozo utolewa juu mkataba upi unaopewa kipau mbele yaani
1. Club na Mdhamini
2. Club na mchezaji
3. Mchezaji na mdhamini
4 TFF/ board ya ligi na mdhamini
Ahsante
Wewe unashauri tufanyaje mkuu? Kwa kuwa sasa unaona TFF wameshindwa kuendesha mpira, mm naona ni wakati muafaka wa kuiuza TFF kwa waarabu kama tulivyofanya kwenye bandari. Hakuna namna nyingine zaidi ya hii mkuu.Mmh sidhani kama ndio muarobaini wa hilo tatizo
Mkuu acha kukanyaga haki za wachezaji. Maisha yalivyokuwa magumu hivi wewe unataka wachezaji wakaibe? Waacheni wachezaji wavune hela za wadhamini. Roho mbaya hailipi.Mdhamini mkuu lazima aheshimiwe ,kama CRDB wanapesa wangekuwa wadhamini wakuu....Conflict of interest zipo kila mahali hivyo lazima kulinda maslahi ya mdhamini mkuu...TFF wapo sawa.
Ndio hapo hata mimi nashangaa. Hawa TFF ni wapumbavu sana.Inawezeka si endorsement au wabongo ,we hauoni ulaya wachezaji kibao wanaingiza mikataba na kampuni za vifaa vya michezo,kwa mfano adidas au Nike na wanatumiwa kutangaza bidhaa mbalimbali tu, Sasa mnadhamini WA ligi anahusikaje na side hustles za players?
Hiyo ni ulaya kibongobongo haiwezekani labda baadae sana tukiwa tuna uhakika wa wadhamini lukukiInawezeka si endorsement au wabongo ,we hauoni ulaya wachezaji kibao wanaingiza mikataba na kampuni za vifaa vya michezo,kwa mfano adidas au Nike na wanatumiwa kutangaza bidhaa mbalimbali tu, Sasa mnadhamini WA ligi anahusikaje na side hustles za players?
Yaap lazima iwe hivo, ulaya mdhamini ukileta sheria zako ngumu unasepa wanakuja wengine, sasa sisi yenyewe kumpata tuu mdhamini ilikua mbindeSasa uchache wa wadhamini ndio uwe kisingizio cha kukandamiza haki za wachezaji. Hii nchi imerogwa sio bure.
Hapa ndipo penye tatizo mkuu. Badala TFF waangalie maslahi ya wachezaji, wanaangalia matumbo yao binafsi. Hii nchi ni ya kipumbavu sana.Inawezeka si endorsement au wabongo ,we hauoni ulaya wachezaji kibao wanaingiza mikataba na kampuni za vifaa vya michezo,kwa mfano adidas au Nike na wanatumiwa kutangaza bidhaa mbalimbali tu, Sasa mnadhamini WA ligi anahusikaje na side hustles za players?
Mkuu mbona katika ligi ya England benki ya Barclays inadhamini ligi kuu lakini benki ya Standard Chattered wanaidhamini Liverpool bila shida? Tuache kuendesha mpira kishamba.Yaap lazima iwe hivo, ulaya mdhamini ukileta sheria zako ngumu unasepa wanakuja wengine, sasa sisi yenyewe kumpata tuu mdhamini ilikua mbinde
Au mnataka turudi tena kule ambako ligi haina mdhamini muanze kuitusi tena TFF kushindwa kutafuta wadhamini.
Hao wachezaji hawajakatazwa kuwa na wadhamini binafsi, mradi tuu asiwe mshindani wa NBC kibiashara, hata ingekua ni wewe umemwaga pesa zako kama NBC usingekubali washindani wako watangazwe na wachezaji wanaocheza ligi unayoidhamini wewe, tuache kuwa wanafiq kama sisiem
Mkuu nimeeleza hapo tofauti yao na sisi, wao ushindani wa kudhamini ligi ni mkubwa wadhamini ni wengi hivo masharti hayawi magumuMkuu mbona katika ligi ya England benki ya Barclays inadhamini ligi kuu lakini benki ya Standard Chattered wanaidhamini Liverpool bila shida? Tuache kuendesha mpira kishamba.
Unalalamika Bure Ila tafuta maarifa ya kibiashara utaelewa zaidi. Unahitaji elimu! Elimu! Elimu. Refer sportpesa na 1×bet caf champions league. Pia soma zaidi kanuni na taratibu za udhamini. Yapo mambo,ikiwa huna uelewa nayo ni vyema ukatafuta ufafanuzi kwa wanaojua....sio kujifanya unajua kumbe unajishishia credibility.Kwa mujibu wa kanuni mpya za TFF, wachezaji binafsi hawapaswi kuwa na mdhamini ambaye ni mpinzani kibiashara wa mdhamini mkuu wa ligi kuu (NBC). Hili ni jambo la ajabu sana. Kwanini kanuni hii ya ajabu imepitishwa? Nionavyo mimi kanuni hii inalenga kuwarudisha nyuma wachezaji kiuchumi na kuwafanya waishi maisha ya njaa kama ilivyokuwa zamani.
Hii kanuni inawabana wachezaji tu, huku ikiwa haigusi timu shiriki. Kwa mfano Yanga na Simba wanadhaminiwa na benki ya NMB lakini hawajaguswa. Pia Simba wanadhaminiwa na kampuni ya m-bet na pia kuna baadhi ya timu zinadhaminiwa na sportpesa. Na hawa ni wapinzani wa kibiashara. Mbona wao hawawekewi mizengwe?
Pia huko Ulaya, kwa mfano, utakuta Real Madrid inadhaminiwa na Adidas lakini Ronaldo alikuwa anadhaminiwa na Nike na alikuwa akivaa njumu za Nike bila shida. Na pia benki ya Barclays wanadhamini ligi kuu ya Uingereza lakini wachezaji wa Liverpool wanavaa jezi zimeandikwa Standard Chartered bila tatizo.
Hawa ndio wanajua umuhimu wa udhamini kwenye ligi sio hawa TFF wanajifungia kwenye kiota kimoja na NBC na kusahau kuwa huko Ulaya wachezaji wanapiga mpunga wa kutosha kwa kudhaminiwa na wadhamini wengine mbali na mdhamini anayedhamini ligi zao.
Na kibaya zaidi, wachezaji wa ligi kuu hawaruhusiwi sio tu kuvaa jezi au njumu zenye nembo au jina la mpinzani wa NBC tu, bali hata kujihusisha kwenye matangazo (na haya hayana athari kiwanjani). Kwa mfano, mchezaji Clatus Chama anashiriki matangazo ya CRDB na kupiga mpunga mnene. Na pia mchezaji Mwamnyeto anashiriki matangazo ya NMB yanayompa mpunga mnene. Haya yote yatapaswa kukoma mara moja kwa mujibu wa kanuni mpya za TFF.
TFF kama wameshindwa kusimamia maslahi ya wachezaji ni bora TFF ibinafsishwe kwa mwekezaji kutoka nje atakayekuwa anajali maslahi ya wachezaji. Napendekeza wakati tunawauzia waarabu bandari, tuwauzie pia TFF waiendeshe.
Nawasilisha.
Iko hivi epl inadhaminiwa na barclays, Ila kila club kinatafuta mdhamini ambapo Liverpool walimpata standard chartered kama mdhamini mkuu.....hakuna mgongano wa maslahi hapo Ila ndani ya Liverpool ikitokea Kuna mchezaji anadhaminiwa na nmb ya huko basi itasababisha mgongano wa maslahi na hapo muamuzi ni kanuni Ila sio mihemko. Ni sawa na caf champions league ilivyokuwa inadhaminiwa na 1×bet then vilabu shiriki vinavyodhaminiwa na betting companies nyingne viliambiwa vitafute mdhamini mwingine ndo yanga akampata Haier na Simba akaandika visit Tanzania.Mkuu nimeeleza hapo tofauti yao na sisi, wao ushindani wa kudhamini ligi ni mkubwa wadhamini ni wengi hivo masharti hayawi magumu
Sisi wadhamini ni wakutafuta kwa tochi hivo wakiweka masharti magumu kama hayo inabidi tuu tukubali maana kupata mdhamini ni ngumu
Hii ni Tanzania sio England , wale wapo mbele miaka 100 kisoka
KabisaIko hivi epl inadhaminiwa na barclays, Ila kila club kinatafuta mdhamini ambapo Liverpool walimpata standard chartered kama mdhamini mkuu.....hakuna mgongano wa maslahi hapo Ila ndani ya Liverpool ikitokea Kuna mchezaji anadhaminiwa na nmb ya huko basi itasababisha mgongano wa maslahi na hapo muamuzi ni kanuni Ila sio mihemko. Ni sawa na caf champions league ilivyokuwa inadhaminiwa na 1×bet then vilabu shiriki vinavyodhaminiwa na betting companies nyingne viliambiwa vitafute mdhamini mwingine ndo yanga akampata Haier na Simba akaandika visit Tanzania.
Ondoa neno kanuni za tff ni za ligi ni za ligi kuu zimepitishwa na wenye viti na viongozi wa juu wa vilabuKwa mujibu wa kanuni mpya za TFF, wachezaji binafsi hawapaswi kuwa na mdhamini ambaye ni mpinzani kibiashara wa mdhamini mkuu wa ligi kuu (NBC). Hili ni jambo la ajabu sana. Kwanini kanuni hii ya ajabu imepitishwa? Nionavyo mimi kanuni hii inalenga kuwarudisha nyuma wachezaji kiuchumi na kuwafanya waishi maisha ya njaa kama ilivyokuwa zamani.
Hii kanuni inawabana wachezaji tu, huku ikiwa haigusi timu shiriki. Kwa mfano Yanga na Simba wanadhaminiwa na benki ya NMB lakini hawajaguswa. Pia Simba wanadhaminiwa na kampuni ya m-bet na pia kuna baadhi ya timu zinadhaminiwa na sportpesa. Na hawa ni wapinzani wa kibiashara. Mbona wao hawawekewi mizengwe?
Pia huko Ulaya, kwa mfano, utakuta Real Madrid inadhaminiwa na Adidas lakini Ronaldo alikuwa anadhaminiwa na Nike na alikuwa akivaa njumu za Nike bila shida. Na pia benki ya Barclays wanadhamini ligi kuu ya Uingereza lakini wachezaji wa Liverpool wanavaa jezi zimeandikwa Standard Chartered bila tatizo.
Hawa ndio wanajua umuhimu wa udhamini kwenye ligi sio hawa TFF wanajifungia kwenye kiota kimoja na NBC na kusahau kuwa huko Ulaya wachezaji wanapiga mpunga wa kutosha kwa kudhaminiwa na wadhamini wengine mbali na mdhamini anayedhamini ligi zao.
Na kibaya zaidi, wachezaji wa ligi kuu hawaruhusiwi sio tu kuvaa jezi au njumu zenye nembo au jina la mpinzani wa NBC tu, bali hata kujihusisha kwenye matangazo (na haya hayana athari kiwanjani). Kwa mfano, mchezaji Clatus Chama anashiriki matangazo ya CRDB na kupiga mpunga mnene. Na pia mchezaji Mwamnyeto anashiriki matangazo ya NMB yanayompa mpunga mnene. Haya yote yatapaswa kukoma mara moja kwa mujibu wa kanuni mpya za TFF.
TFF kama wameshindwa kusimamia maslahi ya wachezaji ni bora TFF ibinafsishwe kwa mwekezaji kutoka nje atakayekuwa anajali maslahi ya wachezaji. Napendekeza wakati tunawauzia waarabu bandari, tuwauzie pia TFF waiendeshe.
Nawasilisha.
Hizo kanuni ziko chino ya bodi ya ligi sio TFF.TANZANIA FOOTBALL FITINA (TFF)