Ndiyo,Mhhhh 60% Mzee Baba.
Sasa ukute ushakula mabiriani Yako Ya nn kujichosha na ela Bado ipo πππUnatoa kistarπ€£π€£π€£ Mwisho round mojaπ€£
Umesahau kukamilisha sentensi halafu tumeambiwa tuwatii hao wanaotutunzaπ€£Na tunazitoa wapi? Sisi tuliambiwa tupendwe na tutunzwe hivo vingine viherehere π€£π€£π€£
Lini unapika unialike? If u don't mind..Hapo sawa kma starehe ya kula hata mm Nimo lakini nipike mwenyew sipend kutoka nipike mwenyew nyumban nawaita watoto wa jirani wale hapo Huwa naenjoy sana
Kusugua mpk itoke cheche haipo tunaenda kislow motion hakuna kukomoana π€£π€£π€£Unatoa kistarπ€£π€£π€£ Mwisho round mojaπ€£
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Tukiwa na pesa hata blow job hatufanyi, ni yeye kazi yake kunipa burudani.
Afu km hatujarusha maji tunakwambia shuka nimechoka na huna cha kunifanya
Na sisi tukiwa na hela tunapiga kimoja tu.Me nikiwa na pesa zangu nakuwa jeuri huwezi kuniweka mbuzi kagoma π€£π€£π€£
Hizo style za mademu wasio na pesa ebooh π
Mfano...Nakaa style za kitajiri π€£π€£π€£
Pekeake au na mkewe alishiriki Kutoa msamaha?Alinisamehe sikunyingi
Na ukoowake wote walishirikiPekeake au na mkewe alishiriki Kutoa msamaha?
Exactly.. tuishi tufurahie UHAI wetu.Nimekuelewa sana tunapaswa tuishi.
Unajua wew ni chiziπππKusugua mpk itoke cheche haipo tunaenda kislow motion hakuna kukomoana π€£π€£π€£
Ila yeye Mungu ndio kaweka 10%...Ndiyo,
Mbona wachawi ZAKA Yao minimum ni 6/10?
Sisi wa Mungu inahtajika tuwazidi Ili Mungu aingilie kati kututajirisha.
Nitakualika usijaliLini unapika unialike? If u don't mind..
Lini... nipe ahadi plz..Nitakualika usijali
Agano jipya imeboreshwa,Ila yeye Mungu ndio kaweka 10%...
Sasa AGANO jipya si ya KITAPELI?Agano jipya imeboreshwa,
Mama mjane alitoa 100%, Yesu akapigilia msumari,
Moses kulola pia alivunja hiyo kanuni ya 10% na ndo ikawa mlango wa nguvu kubwa alikuwa nayo!!
Watu wengi wamewahi uza nyumba na Mali zao Kwa ajili ya INJILI.
Nikiwa sinaela nakosa confidence ya kupokea wageni ππsubir subiri ila mwambie mtumishi kama utaaga kwenye ukoowenu kuwa umepata mwaliko πππLini... nipe ahadi plz..
Anajenga hamalizi miaka 10 ANAKUFA na bado ana deni la UJENZI.. Na Maisha hajayafaidi na MWANAUME mwenzie anahamia hapo na kumuoa MKE wake.Yeah , Sadaka ina nguvu.
Then, ishu ya kufurahia MAISHA si lazima uwe na hela nyingi.. hapana. Unaweza kutumia hata hicho kdg ulichokuwa nacho ukajisuuzisha nafsi.
Kuna watu AKILI zao ni KUJENGA tu, mtu wa hivi akikukuta upo sehemu umeagiza mguu wa mbuzi unakula atakushangaa hapo kashapiga hesabu ya lori la Mchanga au mifuko 8 ya Cement.
Anajenga hamalizi miaka 10 ANAKUFA na bado ana deni la UJENZI.. Na Maisha hajayafaidi na MWANAUME mwenzie anahamia hapo na kumuoa MKE wake.