ya pili imekaa kishamba sana haifai na inatakiwa ifutwe.
Miaka ya 2020, nilikuwa nalipigia kelele away goal UEFA champions league,kwamba liondolewe,kanuni hiyo niliiona inamapungufu mengi sana kwa soka la kisasa.
Kuna wadau walikuwa wananipinga sana,,Ukisikiliza hoja zao ni za kusikitisha,Ati wawazidi wazungu wewe..?? & tulia wewe Mtu wa dunia ya tatu...!!
Hatimaye UEFA champions league waliondoa kanuni hiyo Msimu wa 2021/22.
Linapokuja suala la kubadili na kurekebisha Sheria na kununi za Mpira wa miguu na ungana kwa aslimia nyingi na Mzee Arsene Wenger.
Kanuni na Sheria zimewekwa na watu na zinaweza kubadilishwa au kuondolewa na watu vile vile,Mazingira na nyakati hubadilika.
Caf/Africa Sheria na kanuni nyingi zinamatobotobo kibao,mapungufu sana..na hizo nyingi huwapa sana faida watu wa kaskazini..
Sasa kuzibadilisha ,kuziondoa,kuziboresha yataka moyo na ujasiri,,
Wacha Tumtazame kwa makini Motsepe kama Ndie.
Naunga mkono goli la ugenini kuondolewa.