Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Ni kanuni za CAF My dear sio MimiTulizeni midomo...nyie utopolo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kanuni za CAF My dear sio MimiTulizeni midomo...nyie utopolo....
Sasa hatuamini kiasi hiko kwamba tukose goli na alhly watoke droo?Ni kanuni za CAF My dear sio Mimi
Yaanii mshindwe kula Maini Bongo tuwaamini vipi kwenda kula Mfupa Egypt ilihali meno ni yale yale ?Sasa hatuamini kiasi hiko kwamba tukose goli na alhly watoke droo?
Ww utachekwaa...wait and seeYaanii mshindwe kula Maini Bongo tuwaamini vipi kwenda kula Mfupa Egypt ilihali meno ni yale yale ?
Ntakua wa mwisho kucheka baada ya dakika 90!Ww utachekwaa...wait and see
Labda kama Simba wangemuazima Samson Mbangula mwamba anajua kupiga timu kubwa two goals bila majibu ukidhani anapiga kulia ye anaweka kushoto tena pale alipo kipaAchakuwatisha wewe,hata wao wanayonafasi ya kushinda goli 2 kwa mtungi
Hahaa.. na lile goli walilopata huku?Ushindi wowote wa kuanzia 1-2, 2-3 n.k Simba kapita
Sawa mkuuKanuni za CAF Kuelekea nusu fainali ;
◉ Hakuna dakika za nyongeza (Extra time) ikitokea timu zimetoka suluhu ndani ya dakika 90', mikwaju ya penati itaamua timu ipi isonge nusu fainali.
◉ Goli la ugenini litatumika ikitokea timu zimetoka sare. Aliyefunga goli ugenini ataenda nusu fainali.
Kumbe gongowazi nyie tayari mumeshaingia nusu fainali, hongereni sanaBye Bye Makolo
Miaka ya 2020, nilikuwa nalipigia kelele away goal UEFA champions league,kwamba liondolewe,kanuni hiyo niliiona inamapungufu mengi sana kwa soka la kisasa.ya pili imekaa kishamba sana haifai na inatakiwa ifutwe.
Simba itakuwa na advantage ya kufunga mengi ugeniniHahaa.. na lile goli walilopata huku?
Ya kwanza wataenda peanaties.Naombeni elimu kwa matokeo haya itakuwaje ?
Mamelodi 0 - 0 Yanga ??
Mamelodi 1 - 0 Yanga ??
Mamelodi 2 - 0 Yanga ??
Mamelodi 2 - 1 Yanga ??
Mamelodi 3 - 0 Yanga ??